Wana fitness ya hali ya juu,,wanapiga mashuti, wako vizuri sana kiufundi,Wana Kasi sintoshangaa wakifuzu robo fainali licha ya uchanga wao,,
Wataokota alama zote 9 nyumbani kwao sioni kama Simba ataambulia chochote akiwafata kwa uchezaji wao huu,,mpaka sasa wamempiga presha costsntine na...