kugombea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Rais Samia Suluhu Hassani amewahi kugombea katika nafasi ya kisiasa akafanikiwa kushinda?

    Nimefuatilia sehemu Mbalimbali yanapopatikana madini ya historia ya Mhe. RAIS, sijapata sehemu amewahi kugombea akapigiwa kura na kushinda. Naomba anayejua kama amewahi kushinda Uchaguzi atushirikishe. Kama ajawahi kushinda, Je wapo Marais wengine walioingia madarakani kidemokrasia ambao hakuna...
  2. R

    Fomu za Kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT

    Wakuu habari zenu. Samahani naomba kufahamishwa utaratibu wa kuchukua form ya kugombea nafasi ya Spika iliyoachwa wazi na Job ndugai kupitia chama cha Mapinduzi - CCM upoje? Form zinaanza kutolewa lini , na je mtu yeyote anayejiona ana sifa na ni mwanachama wa CCM anaweza kugombea ...
  3. F

    Hawa walazimishwe kugombea Uspika wa JMT

    Kama tunahitaji Maspika goigoi wa kuburuza wako wengi sana. Lakini kama tunahitaji Spika imara wa kuisimamia serikali kwa kumsaidia Rais kukamilisha kazi basi hawa walazimishwe kuchukuwa fomu kwa nguvu wapende wasipende: 1. Joseph Butiku 2. Kassim Majaliwa 3. Palamagamba Kabudi (wazungu...
  4. Naipendatz

    Duni Haji kumrithi Maalim Seif Uenyekiti ACT Wazalendo

    Makamu Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo, Zanzibar Juma Duni Haji amejiuzulu nafasi hiyo, ili kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho, iliyokuwa ikishikiliwa na Maalim Seif Sharif Hamad aliyefariki dunia Februari 17 mwaka huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Duni maarufu kama ' Bob...
  5. Lord OSAGYEFO

    Je, kwanini Raia wa Zanzibar anaweza kugombea Urais wa Tanzania lakini Mtanzania Bara hawezi kugombea Urais wa Zanzibar?

    Wadau nimekuwa najiuliza sana juu ya hili Suala, Kwanini Mtanzania Bara mwenye Uraia wa Huku Bara hawezi kugombea URAIS wa ZANZIBAR bali Mzanzibar Raia wa Zanzibar anaweza kugombea URAIS wa TANZANIA? Mwenye Ufahamu atujuze
  6. Analogia Malenga

    Ufilipino: Manny Pacquiao Atangaza Kugombea Urais - 2022

    Bondia wa Ufilipino Manny Pacquiao ametangaza nia ya kugombea urais wa nchi hiyo mwaka 2022 ili kupambana na umasikini wa nchi hiyo Pacquiao aliingia kwenye siasa mwaka 2010 ambaye alichaguliwa kama Seneta amesema yuko tayari kuchuana na uongozi ulioko madarakani Ametangaza kuwapelekea suluhu...
  7. J

    Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

    Rais wa JMT Mh Samia Suluhu Hassan amesema hana wazo la kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa 2025. Chanzo: Gazeti la CCM, Uhuru PIA, SOMA: CCM: Gazeti la Uhuru limepotosha; Rais Samia hakusema kuwa hatogombea 2025 News Alert: - CCM yasimamisha uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa siku 7 na...
  8. Q

    CCM: Gazeti la Uhuru limepotosha; Rais Samia hakusema kuwa hatogombea 2025

    Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama. Mama shituka mapema you will thank me later. PIA, SOMA: - Gazeti la...
  9. peno hasegawa

    Kupitia mafunzo ya JKT ni lazima ili kugombea Urais?

    Ninatarajia kugombea urais JMT,wakati ukifika. Je, ni lazima niwe nimepitia mafunzo ya JKT? Ninaomba kuwasilisha.
  10. J

    Mwanaharakati Jane Magigita ajitosa kugombea Ujumbe Muwakilishi kwa Mkoa wa Dar es Salaam kuwakilisha Mashirika yasiyo ya Kiserikali

    Mfahamu mgombea nafasi ya mjumbe wa Baraza la Kitaifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NACONGO) mkoa wa Dar ES SALAAM Bi. Jane Magigita, Mwaka 2014 alitunukiwa tuzo ya MARTIN LUTHER KING AWARD kwa kupigania haki za kisheria za Wanawake. Tuzo hiyo ya haki ya Dk. Martin luther king, Jr...
  11. M

    Kwa nini Ally Saleh akatazwe kugombea Urais TFF? Ni ubaguzi wa wazi

    Tanzania ni muungano wa nchi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar. Hilo halina ubishi kabisa. Pia ni kweli Zanzibar tunacho chama cha soka yaani ZFA. ZFA ni mwanachama wa CECAFA NA CAF lakini wamekataliwa kuwa wanachama wa FIFA KWA SABABU SIO NCHI HURU. Kwa kuwa FIFA wameamua hivyo kutokana na...
  12. Erythrocyte

    Mbunge wa zamani wa Ubungo, Saed Kubenea achukua fomu kugombea Urais wa TFF

    Hii ndio taarifa ya sasa kutoka ofisi za TFF , Hata hivyo kabla ya kukabidhiwa fomu yake Kubenea alilalamika kwamba kulikuwa na njama za kumchelewesha makusudi.
  13. Erythrocyte

    Mbunge wa Kinondoni Abbas Tarimba achukua fomu ya kugombea Urais wa TFF

    Hii ndio taarifa ya leo hii kutoka kwa watoa fomu
  14. Erythrocyte

    Waliomchukulia fomu ya kugombea urais wa TFF Wallace Karia wamelipwa nini?

    Kuna Taarifa kwamba Mwenyekiti wa zamani wa Simba Swedi Nkwabi aliyemkimbia MO pamoja na Mamluki Ntahilaja anayetajwa kutoka Yanga leo wameonekana kwenye ofisi za TFF kwa kile kinachodaiwa eti kumchukulia fomu "bilionea" Karia ili aendelee kutafuna hela za TFF. Swali ni hili: Wamelipwa nini...
  15. J

    CCM ingeruhusu demokrasia kwenye nafasi ya Mwenyekiti taifa ili marais wastaafu waweze kugombea pia!

    Ni swala la demokrasia tu. Marais wanastaafu wakiwa bado na nguvu mfano Dr Shein na JK. Hata mh Karume,mh Sumaye na mh Pinda hata yule Vuai Nahodha wa Zanzibar bado wako fiti. CCM ingebadili utamaduni wake ili kutoa fursa kwa wastaafu kuendelea kasaidia kukiongoza chama, hii inawezekana...
  16. Meneja Wa Makampuni

    Serikali iangalie upya sifa za kugombea ubunge

    Habari za leo ndugu zangu, Uzi wangu leo utakua mfupi sana. Ni ushauri tu sifa za kugombea ubunge zibadirishwe walau mgombea awe na Shahada. Na wanaogombea udiwani walau wawe na diploma. Wanaogombea uenyekiti wa vijiji walau wawe na cheti cha form four. Ndugu zangu ni ushauri tu. Ninyi...
  17. Linguistic

    Karia kugombea tena urais wa TFF. Je, Karia anastahili nafasi nyingine?

    Wakati akihojiwa na Mtangazaji wa Efm Radio, Bwana Wallace Karia amesema ni wazi kwamba mwaka huu atagombea tena nafasi ya Urais wa TFF. Amesema atafanya hivyo ili atekeleze mambo aliyoongeza kwenye Ilani yake na mengine mapya aliyoanzisha. Je, KARIA ANASTAHILI NAFASI NYINGINE?
  18. Tumia akili

    Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

    Wakuu, Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake. August ya mwaka 1974, Rais Richard...
Back
Top Bottom