kuhoji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr Dudumizi

    Ni nani anayetaka kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya kuhoji tu?

    Habari zenu wanaJF wenzangu, Nauliza hili swali hapa, ila nina uhakika hakuna atakaekuwa tayari kujitokeza kunijibu. Hii ni kwa sababu wengi wanatumiwa ili mkono uende kinywani, lkn umafia wa yule anaewatumia wanaujua vizuri sana. Hapa nazungumzia ule upande wa kondoo kutembea kichwa chini...
  2. R

    Wabunge na Mawaziri wasomewa tamko la TEC; hakuna aliyeweza kuzuia wala kuhoji uhalali wake. Waungana na waumini kukaa kimya

    Wabunge na mawaziri pamoja na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wamefika katika makanisa mbalimbali NCHINI leo kushuhudia usomwaji kwa waumini maazimio na tamko ya TEC. Katika hatua hiyo hakuna kiongozi yeyote aliyeripotiwa kupinga badala yake wote wamepiga makofi na kuwaombea maisha...
  3. GENTAMYCINE

    Mazuzu Mkutanoni wametajiwa Kocha Mpya na Kusahau Kuuliza Maswali na Kuhoji Kupigwa Fedha nyingi

    Injinia una Akili sana yaani ulianza Kwanza kwa Kuwadanganya kuwa mmepata Faida ya Tsh Bilioni 17 na kwamba kwa Msimu ujao mtatumia Tsh Bilioni 20 na ulivyoona hujaeleweka na Wanajipanga Kukuhoji ukaona isiwe taabu. Mazuzu waliojazana Kukusikiliza Ukiwaokota ( Ukiwadanganya ) hawakujua kuwa...
  4. C

    Kuna uwezekano wa kuhoji uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mahakamani?

    Narudi nyumbani baada ya Hustles za hapa na pale. Naombeni wenye uelewa kuhusu Hili jambo mnifahamishe. Je, Kuna uwezekano wa KUHOJI uhalali wa MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBAR MAHAKAMANI?
  5. sky soldier

    Watu wengi wamehitimisha kwamba MC Joel alijirusha, wanasahau kuhoji kwamba kuna kurushwa kwa nguvu na kutishiwa ujirushe

    Ndio kawaida ya watu wengi kufikia conclusion wakiona mtu karuka ghorofani basi kajirusha, Tukumbuke pia kuna kuruka kwa mazingira haya. A. Kurushwa na mtu au watu wengine kwa nguvu, hapa inaweza kuwa mtu anasukumwa kwa nguvu ili adondoke, kuna watu wana nguvu hana haja kukusukuma anakurusha...
  6. Makonde plateu

    Vijana wa chadema ongezeni uwezo wa kuhoji

    Na Thadei Ole Mushi. Kuna nyimbo zinaimbwa sasa na watu wa karibu na Mbowe kuwa Operarion 255 zinatumia fedha za mwenyekiti Mbowe na kuwataka watu wengine kuchangia chama kama Mbowe anavyofanya. Ok twende sawa hapa Haya yanayotokea CHADEMA hata CCM yapo kama kulivyo na ujinga mwingi sana...
  7. BARD AI

    Tume ya Hakijinai kukagua Vituo vya Polisi, Magereza, kuhoji Wafungwa, Wananchi na Askari

    JF SUMMARY Tume ya Kuboresha Taasisi za Hakijinai Nchini itaanza ziara ya siku 12 katika Mikoa 13 kwa kutembelea Magereza Makuu 14 na Makazi ya Askari ili kupata maoni kutoka makundi mbalimbali wakiwamo Wananchi na Askari wa Vyeo vya chini. Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mkuu Mstaafu #OthmanChande...
  8. INSIDER MAN

    EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

    Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema. Kwani Hando...
  9. Victor Mlaki

    Uwezo wa kuhoji kila kitu ni sifa muhimu ya ukuzaji wa ubinadamu na chachu ya maendeleo katika njia tofauti

    Binadamu ameumbwa kwa upekee unaomfanya kila mmoja kujuona kwa namna yake. Hitaji kubwa la mwanadamu ni uhuru dhidi ya kila kitu. Taasisi nyingi zilizopo leo kwa upekee wake zina mazingira ya kupora uhuru na kujenga mazingira ya hofu kwa mwanadamu ili aweze kutawalika. Baadhi ya maandiko ya...
  10. RWANDES

    Imekaaje Rais Samia kwenda na kiti chake kwenye ibada leo tarehe 14.10.2022 mkoani Kagera?

    Leo katika maadhimisho ya baba wa taifa hayati Julius Kambarage Nyerere amefanyiwa ibada na viongozi mbalimbali mkoani Kagera akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN. Minongo'no mikubwa imekuja baada ya yeye kupewa kiti chake kwenye nyumba ya ibada. Hii naona kama...
  11. MK254

    Raia wa Urusi waanza kuhoji kuhusu ushindi walioahidiwa, wachoka kusubiri

    Wingu la taharuki limewakumba Warusi, waliahidiwa ushindi ila wanachokiona ni maiti za vijana wao zinaletwa nyumbani kuzikwa na kila wakiingia kwenye mitandao wanasoma jinsi wanajeshi wao wanapitia kibano, miji inakombolewa kimzaha..... ======================================= A Moscow...
  12. E

    Kenya 2022 Wakenya mnajidhalilisha kwa kuhoji 0.01%

    Hivi mmejaribu kuchukua kura ambazo kila mgombea amepata na kujaribu kuziweka into percentage with 2 decimal places? Ukitumia kanuni za hesabu mtapata kilekile kilichotangazwa na IEBC. Ila sasa ukishapata hizo figue huwezi kuanzia hizo percent kutafuta kura maana umezifanyia adjustment ili...
  13. Dr Matola PhD

    Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

    Leo ni Jumapili ya matawi Yesu anaingia Jerusalem, lakini nikitafakari imani yangu ya ufuasi wa kristu napata mashaka makubwa sana. To declare interest mimi nimezaliwa nimejikuta tu ni mkatoliki kwahiyo nipo hivyo mpaka leo, mahusiano yangu na Mungu naamini ni mazuri kiroho lakini mahudhurio...
  14. Bondpost

    Nani aliwahi kuhoji haya kipindi cha Magufuli?

    Ndugu zangu watanzania, wakati tunaendelea kujadili siasa za nchi yetu ni vema tuangalie serikali zilizopita na ya sasa kwa kuangalia namna ambavyo kumekuwa na tofauti katika utendaji wake wa mambo mbalimbali. Leo hii napenda kuwauliza wenzetu wanaopenda kuweka ulimganyo wa utendaji wa...
  15. Kamanda Asiyechoka

    Ushauri: Job Ndugai karibu CHADEMA, utapata heshima kubwa kwa kusimamia misingi ya katiba na kuhoji harufu ya ufisadi. Utapata kick kubwa

    Nadhani hukujua kuwa wanaCcm kuwa ni watu wabaya na wenye unafiki kiwango cha Phd. Hukufanya kosa lolote kuhoji na kueleza unavyoumia baada ya Rais Samia kukopa pesa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ili hali kuna tozo na kodi. Walikuvizia, ukaomba msamaha kinafiki kama walivyowanaCCM na...
  16. M

    Hisia za wananchi mtaani: Kilichomfukuzisha Ndugai ni kuhoji kwake kwa nini Pesa nyingi za mkopo kupelekwa Zanzibar licha ya idadi ndogo ya watu

    Kujiuzulu kwa Ndugai kumeambatana na hisia tofauti za wananchi. Lipo kundi la wananchi libalooamini kuwa kilichomfanya Samia akasirike, kuwa mbogo na kukunjua makucha dhidi ya Ndugai kinyume cha haiba yake ya upole ambayo wananchi wameizoea ni. kutokana na Ndugai kuonyesha mshangao bungeni wa...
  17. Naipendatz

    Silaa, Polepole na Gwajima waitwa Kamati Kuu ya CCM kujieleza

  18. beth

    #COVID19 China: UN yaitaka China kumwachia huru Raia aliyefungwa kwa kuhoji namna Mamlaka zinavyoshughulikia Covid-19

    Umoja wa Mataifa umetoa rai kwa China kumwachia huru Zhang Zhan (38) ambaye alihukumiwa kifungo baada ya kuhoji namna Mamlaka zinavyoshughulikia mlipuko wa COVID19. Zhang alisafiri kwenda Wuhan Februari 2020 ambapo aliripoti kuhusu janga la Corona kupitia simu yake ya mkononi. Alikamatwa Mwezi...
  19. N

    Serikali haina mamlaka kuhoji juu ya imani za watu, hii ni hatari sana

    Hii ni zaidi ya hatari kama sheria iko namna hii basi ibatilishwe, maana kuna dhehebu zingine imani yao wanaamini kujilipua mabomu kwaajili ya mungu ni sawa je serikali isiingilie? kwa maana nyingine hakuna haja ya kusajili madhehebu Nauliza pia kile kikao Cha Gwajima na Mkurugenzi wa...
  20. The Palm Tree

    This is very funny! Eti mbunge Jerry Silaa kaomba kibali cha spika ili wajumbe kamati ya "kuhoji" wakamtwe na kuletwa ukumbini...!!

    Hii inasomeka hivyo kwenye twitter account ya Joseph Mbilinyi a.k.a Mr Sugu Je hii ni kweli au kulikuwa na confusion ya tarehe na muda aliotakiwa kufika mbele ya kamati...? Inasemekana pia kamati ya Haki, Kinga na maadili ya bunge haikumpelekea wito rasmi wa barua mbunge huyu zaidi ya kusikia...
Back
Top Bottom