Makelele mengi kuhusu chanjo ya corona, mbona hamjahoji au kukataza dawa/chanjo tunazozitumia hospitalini leo hii?
Aina za chanjo ambazo kila mtoto wa Kitanzania anazipata na zinatoka west/USA
BCG (Bacile Calmette-Guérin)
DTP au DPT (Dondakoo, Pepopunda na Kifaduro)
Surua
Polio
Magonjwa haya...