kuimarisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Rais Mwinyi aipongeza Benki ya CRDB kwa kuimarisha afya nchini

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Ali Mwinyi ameiopongeza Benki ya CRDB kwa juhudi inazozionyesha kuboresha afya nchini na kuzitaka kampuni nyingine binafsi kujitoa ili kuongeza nguvu kwani mahitaji ni makubwa. Rais Mwinyi ametoa pongezi hizo kwenye kilele cha...
  2. Stephano Mgendanyi

    Vijana Fanyeni Michezo Ili Kuimarisha Afya Zenu na Kutimiza Malengo na Ndoto Zenu

    NAIBU WAZIRI CHILO: VIJANA FANYENI MICHEZO ILI KUIMARISHA AFYA ZENU NA KUTIMIZA MALENGO NA NDOTO ZENU Mbunge wa Jimbo la Uzini Muheshmiwa KHAMIS HAMZA CHILO Amewataka Vijana (Wanamichezo) wa Jimbo la Uzini kufanya Michezo kama sehemu ya Kuimarisha Afya zao na Kukuza Vipaji na Kitimiza Ndoto...
  3. D

    SoC03 Uwajibikaji na Utawala Bora katika kuimarisha usawa wa kijinsia

    UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA KATIKA KUIMARISHA USAWA WA KIJINSIA Utangulizi Usawa wa kijinsia ni moja ya malengo muhimu katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii na kuimarisha taifa kwa ujumla. Ili kufanikisha lengo hili, uwajibikaji na utawala bora ni mambo muhimu yanayohitajika...
  4. D

    SoC03 Uwajibikaji wa vyombo vya habari katika kuimarisha demokrasia na utawala bora

    UWAJIBIKAJI WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUIMARISHA DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA Utangulizi Vyombo vya habari vina jukumu muhimu katika kukuza demokrasia na utawala bora katika jamii. Uwajibikaji wa vyombo vya habari unahusisha jukumu la kutoa taarifa sahihi, kuelimisha umma, na kushughulikia...
  5. D

    SoC03 Uwajibikaji wa Kiongozi: Njia ya kujenga imani na kuimarisha utawala bora

    UWAJIBIKAJI WA KIONGOZI: NJIA YA KUJENGA IMANI NA KUIMARISHA UTAWALA BORA Utangulizi Uwajibikaji wa kiongozi na utawala bora ni mambo muhimu katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii na kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Kiongozi anayejali uwajibikaji na kutenda kwa haki na...
  6. Francis001

    SoC03 Kuimarisha Utawala Bora Tanzania: Kukuza Uchumi na Ajira kwa Vijana

    Utangulizi Tanzania, kama nchi inayoendelea, inakabiliwa na changamoto nyingi katika kufikia Utawala Bora. Hata hivyo, kwa kuzingatia mabadiliko na utekelezaji wa mikakati sahihi, Tanzania inaweza kufungua fursa mpya za maendeleo katika nyanja zote za kiuchumi na kijamii. Makala haya...
  7. M

    SoC03 Kuimarisha Uwajibikaji na Utawala Bora Katika Sekta Yote: Mwongozo wa Hatua za Mabadiliko

    Kichwa Cha Andiko: Utasaidia kuongeza uwajibikaji na kuboresha utawala bora katika sekta yoyote kwa kuzingatia hatua zifuatazo: 1. Kuunda mfumo wa uwajibikaji: Fanya uhakiki wa muundo wako wa uongozi na uwajibikaji. Hakikisha kuwa majukumu na wajibu wa kila mtu wanaeleweka wazi. Weka njia za...
  8. godfray_grace

    SoC03 Kuimarisha Huduma za Usafi

    Utangulizi: Sekta ya huduma za usafi ni muhimu sana katika kukuza afya na ustawi wa jamii. Hata hivyo, nchini Tanzania, kuna changamoto nyingi linapokuja suala la kupata huduma bora za usafi. Kuna hitaji la kuwa na jukwaa la kisasa na lenye ufanisi ambalo litawawezesha wateja kuwasiliana na...
  9. Mwl.RCT

    SoC03 Mchango wa Taasisi za Dini katika Kuimarisha Utawala Bora: Jinsi ya Kushirikiana na Taasisi za Dini

    MCHANGO WA TAASISI ZA DINI KATIKA KUIMARISHA UTAWALA BORA: JINSI YA KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA DINI Imeandikwa Na: Mwl.RCT UTANGULIZI Je, unajua kuwa taasisi za dini zina mchango mkubwa katika kuimarisha utawala bora nchini Tanzania? Taasisi za dini ni mojawapo ya nguzo muhimu za jamii...
  10. Mwl.RCT

    SoC03 Moyo wa simba: Kuimarisha ujasiri na uadilifu katika maamuzi yako

    MOYO WA SIMBA: KUIMARISHA UJASIRI NA UADILIFU KATIKA MAAMUZI YAKO Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Maamuzi ni sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Tunafanya maamuzi madogo na makubwa kila wakati, kuanzia chakula cha kula hadi kazi ya kufanya. Hata hivyo, si maamuzi yote tunayofanya...
  11. G

    SoC03 Kuimarisha Uwajibikaji kupitia Teknolojia ya Mawasiliano

    Tanzania inakabiliwa na tatizo la uwajibikaji duni kwa viongozi wa umma na watumishi wa serikali katika nyanja mbalimbali. Hali hii imesababisha kushuka kwa kiwango cha utawala bora na kuhatarisha ustawi wa jamii. Hata hivyo, teknolojia ya mawasiliano inaweza kutumika kuleta mabadiliko chanya...
  12. G

    SoC03 Kuimarisha Utawala Bora kwa Kupunguza Ushirikiano wa Kisiasa katika Uteuzi wa Viongozi wa Serikali

    Mfumo wa uteuzi wa viongozi wa serikali umekuwa na changamoto kubwa nchini kwetu. Mara nyingi, uteuzi hufanywa kwa misingi ya uhusiano wa kisiasa au urafiki badala ya uwezo na uzoefu wa mgombea. Hii imepelekea kuwepo kwa viongozi wasio na uwezo wa kusimamia vizuri masuala ya umma na kusababisha...
  13. G

    SoC03 Kuweka Wazi Mfumo wa Uteuzi wa Viongozi wa Serikali na Kuimarisha Utawala Bora

    Katika nyanja ya Uongozi, kumekuwa na changamoto kubwa katika mfumo wa uteuzi wa viongozi wa serikali. Mara nyingi, uteuzi hufanywa kwa misingi ya uhusiano wa kisiasa au urafiki badala ya uwezo na uzoefu wa mgombea. Hii imepelekea kuwepo kwa viongozi wasio na uwezo wa kusimamia vizuri masuala ya...
  14. Nunias Mathayo

    SoC03 Elimu ya Tanzania iwe ni msingi bora wa kuimarisha maendeleo ya kiuchumi kisiasa na kijamii kupitia fursa mbalimbali

    ELIMU NI MSINGI BORA WA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZA KIJAMII ,KISIASA NA KIUCHUMI KUPITIA MFUMO WA ELIMU TANZANIA ELIMU ni maarifa yanayopatikana kwa njia ya kujifunza au kusikiliza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingne ili kuwa na uelewa juu ya jambo flani linalohusu jamii,uchumi na siasa...
  15. Roving Journalist

    Serikali ya Tanzania kuimarisha ushirikiano wake na Misri katika sekta za biashara na uwekezaji

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inakusudia kuimarisha ushirikiano wake na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri katika sekta za biashara na uwekezaji. Hayo yamebainishwa wakati wa mazungumzo baina ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor...
  16. guojr

    SoC03 Nafasi ya uzalendo katika kuimarisha Utawala Bora

    Utangulizi: Utawala bora ni msingi wa jamii inayofanya kazi vizuri na yenye ustawi. Inajumuisha kanuni kama vile uwazi, uwajibikaji, utawala wa sheria, na ushiriki wa raia. Ingawa kanuni hizi ni muhimu kwa utawala bora, jukumu la uzalendo halipaswi kupuuzwa. Uzalendo, upendo na kujitolea kwa...
  17. D

    SoC03 Kuimarisha uwajibikaji na utawala bora: Changamoto na nafasi

    Utangulizi Uwajibikaji na utawala bora ni mada muhimu katika maendeleo ya jamii na taifa lolote. Kwa kuwa na uwajibikaji thabiti na utawala bora unaoheshimu sheria, nchi inaweza kuendeleza mazingira ya haki, usawa, na maendeleo endelevu. Hii inahitaji uchambuzi wa kina na mjadala katika nyanja...
  18. The Burning Spear

    Mrithi wa Samia ana kazi nzito kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye Mstari

    Katika Jambo linalotishia uhai wa taifa Letu ni kuelemwa na madeni huku pesa yetu ikikosa thamani kabisa, Hakuna juhudi zozote Za makusudi zinazofanywa na seriakli ya Samia kuokoa uchumi wa Taifa letu... Ni masikitiko makubwa Kwamba Sasa watu wanchota mihela Kwa kadri wawezavyo nakukopa mikopo...
  19. partsonamani

    SoC03 Utawala Bora na Uwajibikaji Katika Kuimarisha Maendeleo ya Jamii

    Utawala bora na uwajibikaji ni misingi muhimu katika kujenga jamii yenye maendeleo thabiti na ustawi. Utawala bora unahusu mfumo wa uongozi uliojengeka kwa msingi wa uwazi, uwajibikaji, ushirikishwaji, na haki za binadamu. Uwajibikaji, kwa upande mwingine, ni wajibu wa viongozi na taasisi...
  20. JanguKamaJangu

    Waziri Tax akutana na Balozi wa Urusi Nchini Tanzania, wakubaliana kuimarisha uhusiano wa Kidiplomasia

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Shirikisho la Urusi nchini, Mhe. Andrey Avetisyan katika ofisi za Wizara Jijini Dododma Leo tarehe 31Mei 2023. Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamekubaliana...
Back
Top Bottom