kujieleza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Frumence M Kyauke

    Donald Trump - Truth Social itakuwa fundisho kwa mitandao inayonyima watumiaji uhuru wa kujieleza

    Mtandao wa Donald Trump "Truth Social" unaweza kutengeneza mamilioni au kughafilika! Umejikita kupeperusha masuala ya kisiasa yenye mashiko moto moto na kumpa rais wa zamani nafasi mpya ya uonevu Ukweli wa mtandao huu wa Kijamii umejikita kutengeneza pesa. Ajabu, pia unapiga marufuku "matumizi...
  2. Nanyaro Ephata

    Katiba ya Tanzania na Mipaka ya Uhuru wa Kujieleza

    Ni kiwango kipi cha Uhuru kinakubalika na watawala kisiwe Uchochezi? Kama Taifa tumetoa Uhuru (Demokrasia) pana sana kwenye sekta ya uchumi hasa Ubinafsishaji wa bei ya kutupwa ya mali na mashirika ya umma. Lakini tumebana sana na kwa kiwango cha kutisha Uhuru na Demokrasia ya mawazo kisiasa...
  3. msovero

    Askofu Gwajima na Jerry Silaa waitwa kwenye Kamati ya Bunge kujieleza kwa kusema uongo na kushusha hadhi ya Bunge

    Spika wa Bunge amewaita Mbunge Josephat Gwajima na Jerry Slaa mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya bunge Wanatakiwa kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya bunge Gwajima ametakiwa afike Dodoma Agosti 23 saa saba mchana, Slaa ametakiwa afike...
  4. J

    Umuhimu wa Uhuru wa kujieleza

    Huwa ni msingi wa haki nyingine za kibinadamu.Ikiwa watu wana uhuru wa kujieleza wanaweza kusema pale haki zao nyingine zinapovunjwa na kuwawajibisha wavunja haki Uhuru wa kujieleza husaidia vyombo vya habari kuupa Umma taarifa muhimu kuhusu mambo yanayoendelea kwenye jamii yao Huwapa...
  5. Analogia Malenga

    Watumishi Chato watakiwa kujieleza kwa kutohudhuria sherehe za mazingira

    Watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Chato wameagizwa kuandika barua ya kujieleza sababu za kutoshiriki maadhimisho ya siku ya mazingira duniani. Maadhimisho hayo mkoani Geita yalifanyika wilayani Chato na kupelekea shughuli hiyo kuhudhuriwa na watu wachache, ukilinganisha na maandalizi...
  6. msovero

    Waziri Ummy punguza kujieleza, unajifunga sana katika maelezo yako

    Dada Ummy sina shaka na utendaji kazi wako lakini nakushauri upunguze kujieleza kwa sababu maelezo unayotoa yanakufunga. Mtangulizi wako pamoja na kuwa na maneno mengi lilipokuwa linakuja suala nyeti la kitaifa alikuwa makini sana kuchunga kauli zake ili kuepusha maswali na mijadala isiyo ya...
  7. Mung Chris

    Je, asiye mwanasheria anaweza kumsaidia mtu asiyeweza kujieleza mahakamani na kumtetea?

    Naomba kuuliza, Kuna ndugu yangu yupo mahakamani hana uwezo wa kujieleza mbele ya mahakama, je mimi raia wa kawaida nisiye mwanasheria naweza nikamsaidia kumtetea na kumsaidia kwenye shughuli zake za kisheria? Kama ni ndio hii sheria ni mpya na imeanza lini ya kumruhusu mtu wa kawaida. Ahsanteni.
  8. Rumishaeli

    Bunge team summons Pinda

    By Elisha Magolanga In Summary He said there were about 70 DEDs implicated in the theft of public funds who were transferred instead of facing prosecution. Dar es Salaam. The parliamentary Local Authority Accounts Committee (LAAC) yesterday...
Back
Top Bottom