kujiua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 2Laws

    SoC02 Kwanini Wanaume wanaongoza kwa kujiua?

    UTANGULIZI "Kila mwaka watu 703,000 wanajiua idadi ya wanaume ikiwa mara tatu ukilinganisha na wanawake" (Shirika la afya Duniani) Pamoja na kuwa baadhi ya jamii zinaamini mwanaume kujiua ni hatua ya ujasiri; Mkazo/Msongo wa mawazo,Kukosa kazi,Kutengwa/Unyanyapaa,mizozo ( hasa katika...
  2. Mpwayungu Village

    Mahakama nchini Kenya yatupilia mbali hoja za Raila Odinga

    Kweli kifo cha nyani miti yote huteleza, huyu mwamba ndiyo basi tena kwenye ndoto zake za kuwania Urais japo hatujui ya Mungu mengi. Nchini Kenya mahakama ya juu haifati mkumbo wala power of the power inafata sheria na miongozo siyo sisi bongo. Mungu ibariki Kenya ila Tanzania lolote litupate...
  3. S

    Watoto Kujiua tatizo ni nini?

    Safari Ya Maisha | Maisha Hayawezi Kuwa sawa | JE NI SAWA | Mwandishi Wa nakala ya safari Ya maisha anauliza | tatizo ni nini hasa je ni deko | au kutokukomaa kwa nafc na yale tunayopitia ? | malezi ya wazazi | kuiga katika mitandao | mihemko ? | Msongo wa mawazo | au tatizo ni nn hasa |...
  4. kyagata

    Ila haya maisha wakati mwingine yanaweza kukufanya utamani kujiua

    Huyo jamaa hapo chini anaitwa Robin Ernest kimambo.ni class mate wangu pale udbs miaka kadhaa iliyopita. Leo wakati mimi bado nawaza ni lini utumishi watatoa majina ya written interview nikagombanie salary ya TGS D ambayo ni sawa na shillings 710,000/=, huyu class mate wangu kateuliwa na...
  5. NetMaster

    Share hapa ushuhuda kama uliwahi kufikiria / kujaribu kujiua na ulichojifunza kinachoweza kusaidia wengine

    Miaka 10 iliyopita kuna kipindi nilikuwa nimejiandaa kujiua, nilipanga kabisa muda na siku, nilishaandika hadi barua. Sintosahau 2013 nilivyotaka kujiua nikiwa nimeshamaliza form 4 matokeo yametoka na nimefeli, nyumbani nipo nipo tu kama zigo, wazazi walilalamika kachoma pesa kunisomesha kwa...
  6. Miss Zomboko

    Fahamu sababu zinazopeleka Watu kujiua au kujaribu kujitoa uhai

    Matatizo ya Afya ya Akili: Watu wengi hufanya maamuzi ya kujaribu kujiua baada ya kupatwa na Msongo wa Mawazo au Sonona. Msongo wa mawazo unaweza kuleta maumivu makali ya kihisia Kupitia Matukio mabaya: Mtu ambaye amepitia matukio mabaya ikiwemo Ukatili Utotoni, Ubakaji, Unyanyasaji wa kimwili...
  7. mwanamwana

    Mwanaume ajinyonga hadi kufa golini. Aacha chupi ya kike pembeni

    Tyson Kilasi (32), Mkazi wa Kijiji cha Mawindi Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe, amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwenye goli la kuchezea mpira wa miguu wa kijiji hicho huku pembeni akiwa ameacha nguo ya ndani ya kike. Mwenyekiti wa kijiji cha Mawindi Kata ya Igima, Elias...
  8. Sema Kimeumana

    #COVID19 Chanjo ya UVIKO-19: Wasiotaka kuchanjwa wafunguliwe kesi ya kutaka kujiua

    Wadau, Dunia sasa linaingia katika wimbi la nne (fourth wave) ya maambukizi ya korona, kama tunavyosikia na kuona kupitia vyombo vya habari vya kimataifa, Ujerumani maambukizi yamefikia takriban 52,000+ ndani ya masaa 24 ambacho ni kiwango kikubwa ukilinganisha na waves zilizopita huko nyuma...
  9. La Quica

    Mama achinja wanea wawili na kisha kujiua.

    Katika hali ya kushangaza mwanamke mmoja mkazi wa Lalago wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu amewachinja watoto wake wawili kwa kisu kisha yeye mwenyewe kujiua. Zaidi tazama video. 👇
  10. Miss Zomboko

    Kiongozi wa zamani wa Bolivia ajaribu kujiua akiwa Gerezani

    Rais wa zamani wa mpito wa Bolivia Jeanine Anez amefanya jaribio la kujiua akiwa jela siku moja baada ya kufunguliwa mashtaka ya "mauaji ya halaiki" kutokana na vifo vya waandamanaji vilivyotokea mwaka 2019. Mmoja ya mawakili wa Anez, Jorge Valda, amesema kiongozi huyo wa zamani ambaye...
  11. R

    Kama kujiua au kuwaua wengine ni kosa la jinai, basi na kukataa chanjo ya Corona ni kosa la jinai, HOW?

    Simple logic inaniongoza hivi: 1. Kwa ugonjwa wa corona, kama kuna reservoir/hot spots/potential hotspots ambao ni unvaccinated individuals herd immunity will not be attained. 2. It follows then that in order to get herd immunity and eliminate the virus, all should be vaccinated 3. And to...
  12. Kasomi

    Alex Korosso afa na hela za kikundi cha Uigizaji

    Mwenyekiti wa chama cha Waigizaji Tanzania (TDFAA) bwana Chiki mchoma Amesema Alex Korosso maarufu kama Simba ambaye amejiua kwa kujipiga risasi baada ya kumuua kijana mmoja aitwaye Gift kwa kumpiga risasi alikuwa mtunza hazina wa kikundi hicho cha Waigizaji- Tanzania kilichopo Dar es Salaam...
  13. Midnight

    Kwa wanaotaka kujiua, soma hapa ujue namna ya kujizuia

    Pumzika kwa amani ndugu Jonathan, member na mwanachama mkongwe wa JF. Kwa wapenzi wa jukwaa la biashara kule kuna mtu mmoja najua mtamkosa sana, muhimu ni kutambua kuwa sisi ni mapito na duniani tunapita tu. Nawasalimu kwa jina la jamuhuri. Kazi iendelee. Naomba niende moja kwa moja kwenye...
  14. beth

    Utafiti: Wagonjwa waliokaa ICU wapo kwenye hatari ya kujidhuru na kujiua

    Utafiti uliofanywa na Watafiti kutoka Ottawa umebaini kulazwa Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) huongeza hatari ya Mtu kutaka kujiua au kujidhuru baadaye. Imeelezwa, kitendo hicho kinaweza kuwaathiri Wagonjwa kwani kukaa Hospitali wiki au miezi kadhaa kisha kupitia kupindi cha uponaji ili mwili...
Back
Top Bottom