Waziri wa Habari na Mawasiliano ya Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, leo Alhamisi amesema atatoa leseni za kuanza kuchapishwa kwa magazeti ya MwanaHALISI, Tanzania Daima, Mseto na Mawio “Kifungo kimetosha. Kikubwa kazi iendelee,” amesema Nape.
"Agizo la Rais ni Sheria,leo nitatoa leseni kwa...
Huu upuuzi wa eti akikosolewa fulani ni kosa na hali ikiwa vilevile kwa mwingine eti ni uhuru wa maoni si sawasawa kabisa.
Jana amenukuliwa Shaka msemaji wa CCM akisema wale wote walio mshambulia Ndugai eti wametoa maoni yao binafsi na ni uhuru wao.
Ajabu kupitia huohuo uhuru wa maoni binafsi...
Jiulize kama mkuu wa bunge na mhimili unaopaswa kujitegemea kuisimamia serikali umefanya kosa gani?
Kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 ambao unatumika kujengea madarasa na vyoo.
Wewe unasimamia Bunge na linatakiwa kuwa imara ili kuisimamia serikali.
Sio Bunge linalodharaulika kama Prof Assad...
Kunaguka kwa chama tawala ni pamoja na kupoteza imani kwa wananchi.
Wananchi ndio huwa wanapima na kuona mwenendo wa chama walichokiweka madarakani.
Kwa jinsi taifa letu na wananchi walivyo masikini wanapokosa msaada wa chama tawala ili kuwalinda dhidi mafisadi na wakora wa malk ya umma basi...
Afande Sirro anapingwa kila kona kwa kauli yake wakati wa kuuanga miili ya askari wake walio uliwa kibudu na Hamza. Wengi wao wanaelekea kumhurumia Hamza zaidi bila kujali kuwe yeye (Hamza) kauwa watu watatu- ambao walikuwa wapo kazini kutulinda sisi.
Wanaompinga na kumzodoa Sirro wanasukumwa...
Mkapa alikuwa haogopi mijadala ya kimataifa- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTV
Ninachojua tu GENTAMYCINE ni kwamba Siku zote ukiwa na Akili sana, Unajiamini, Msomi na Msomaji mzuri wa Vitabu, una 'Exposure' ya Kutosha, siyo Mnafiki wala Muoga, Mcha Mungu hasa na siyo Mchanganya Mungu na...
Kuna aina flani ya watu mkiwa katika mahusiano hujiona ni watu ambao wako very perfect katika mahusiano ni watu hujiona wapo right kwa kila jambo wanalolifanya na huwa hawapendagi kupingwa na hata ndani ya mahusiano kwa kila jambo hujiona wao ndio final say.
Lakini watu wa aina hii inapotokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.