kukuza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Analogia Malenga

    Ubalozi wa Marekani wasema wapo na JF kwenye kukuza Citizen Journalism

    Ubalozi wa Marekani ni wageni kwenye sherehe ya kutoa tuzo za Stories of Change, Balozi Battle ametoa hotuba nzuri.
  2. BARD AI

    Uganda: Bunge lashangazwa na Ripoti kuwa Wafugaji wanatumia ARV kukuza na kunenepesha Kuku na Nguruwe

    Kamati ya Bunge ya VVU/UKIMWI ya Uganda imepokea taarifa hiyo kutoka Mamlaka ya Taifa ya Dawa Nchini humo ambayo imekiri kufahamu Dawa za Kurefusha Maisha na Kunenepesha zimekuwa zikitumika kwa Wanyama na haikuchukua hatua zozote. Mkaguzi Mwandamizi wa Dawa kutoka NDA, Amos Atumanya amesema...
  3. Pascal Ndege

    Tuseme sasa wawekezaji basi tujikite na kukuza wawekezaji wa ndani

    Hii siasa ya kuleta wawekezaji naona imekuwa mwiba kwa nchi hii mikataba mingi ni ya hovyo kabisa. Kuna wawekezaji Tanzania wazalendo wamewekeza pesa nyingi kuliko wageni kwanini tusijikite kukuza wawekezaji wa ndani ya nchi. Tatizo siyo uzoefu wapewe wafanye makosa ndio wajifunze. Sidhani...
  4. D

    SoC03 Utawala Bora na kukuza ushiriki wa wananchi katika maamuzi ya kijamii na uchumi

    Utangulizi Utawala bora na ushiriki wa wananchi ni mambo muhimu katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii na kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Utawala bora unaohusisha uwazi, uwajibikaji, haki, na kuheshimu haki za binadamu unaimarisha demokrasia na kuleta ustawi katika taifa...
  5. Nsanzagee

    Kukaa kimya ni hekima na kuepusha madhara yasiyo ya lazima! Kusakwa kwa wanaharakati ni kukuza jambo na kuongeza joto la upinzani wa mkataba

    Ikiendelea hivi kama ambavyo wao wanaona ni busara kuwasaka na kuwakamata wanaharakati na wanapigia kelele mkataba! Ni kukuza joto la upinzani na kuongeza kelele zaidi na hata kuchochea vitu vingine visivyotarajiwa! Ilikuwa sawa kabisa kwa serikali kupuuza hizi kelele huku wao wakijikita...
  6. eliakeem

    Kuadhimisha Siku Kiswahili Duniani: Nini Mchango wa JamiiForum Katika Kukuza Kiswahili Duniani

    Ni Jukwaa pendwa na watu wengi sana. Watumiaji wa kiswahili, lakini pia kiingereza. Nimeanzisha uzi huu ili kupata maoni ya wanaJF kuhusu ambavyo jukwaa hili pendwa lilivyochangia kukuza kiswahili nchini, nje ya mipaka ya nchi na duniani kwa ujumla. Karibuni kuchangia.
  7. Ramsey255

    SoC03 Kukuza utawala bora na uwajibikaji

    Mabadiliko katika Nyanja ya Siasa: Kukuza Utawala Bora na Uwajibikaji Utangulizi. Mabadiliko katika nyanja ya siasa yana jukumu muhimu katika kuendeleza utawala bora na uwajibikaji katika jamii. Kupitia makala hii, nitaainisha baadhi ya mabadiliko ambayo yanaweza kuchangia katika kuimarisha...
  8. R-K-O

    Hii misaada ya EU kukuza uchumi hakuna namna ya sisi wananchi kuwaomba directly ama wao wasimamie? Kuipa serikali zinatafunwa bila kufikia wananchi

    Ishakuwa kawaida kila mara kusikia umoja wa mataifa ya i;aya wanatoa misaa ya ku;eta unafuu wa hali za uchumi kwa wamamchi, pesa zinatolewa lakini zinaishia juu kwa juu Maana tangu zamani tunasikia tu misaada ya kuwainua watanzania kiujasiriamali ili wakuze uchumi inatoka kila mwaka. Ajabu ni...
  9. jemsic

    SoC03 Kulinda na kuendeleza umoja wa kitaifa wakati wa mageuzi ya kisiasa na kiuchumi ili kukuza utawala bora

    UTANGULIZI Umoja wa kitaifa ni hali ya mshikamano kati ya watu wa taifa. Ni hisia ya kuhusishwa na utambulisho wa pamoja ambao huwaunganisha watu na kuwaleta pamoja, bila kujali tofauti zao za kikabila, kidinii, kiitikadi na kiasili. Umoja wa kitaifa ni muhimu kwa taifa lenye nguvu na ustawi an...
  10. Tonytz

    SoC03 Kukuza ujuzi wa masomo ya kijamii kutaongeza uwajibikaji

    Ujuzi wa masomo ya kijamii ni taaluma ambayo inajumuisha masomo mbalimbali yanayozingatia utafiti wa jamii ya binadamu, miundo ya kijamii, taasisi za kijamii tabia na mienendo katika jamii na mwingiliano katika jamii. Maudhui katika masomo haya ya kijamii huchotwa kutoka vyanzo vya masomo...
  11. RAMAKISIMA

    SoC03 Uwazi katika utoaji huduma kwa shule za serikali

    ANDIKO LA MAONI Maendeleo ni mchakato unaohusisha ushirikiano baina ya wananchi, haiwezekani wananchi wote wakafanya kazi zote kwa pamoja katika eneo moja .Ni lazima kuwe na mgawanyiko wa kazi ili kuleta tija katika utendaji na kuzia mwingiliano wa majukumu. Mgawanyiko wa majukumu huainisha...
  12. I

    SoC03 Namna gani sekta ya michezo iwe, kukuza na kundeleza michezo

    Sekta ya michezo ni miongoni wa sekta mbalimbali za serikali, ambapo hii sekta inajihusisha na masuala ya kukuza na kuendeleza michezo Tanzania, mfano mpira wa miguu, mpira wa mikono, ghofu, mchezo wa ngumi au masumbwi, kuogelea, riadha n.k. Tanzania katika kuhakisha ukuaji wa michezo serikali...
  13. W

    SoC03 Umuhimu, hatua za kukuza na hasara zitokanazo na teknolojia nchini Tanzania

    Teknolojia ni matumizi ya maarifa, mbinu, mchakato, zana, na vifaa ili kubuni, kujenga, na kutumia bidhaa au huduma kwa lengo la kutatua matatizo, kuboresha maisha, na kufikia malengo ya kibinadamu. Inahusisha matumizi ya sayansi, uhandisi, na maarifa mengine ya kibinadamu kwa lengo la kuunda...
  14. jemsic

    SoC03 Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika kukuza Uwajibikaji Tanzania

    Picha: RF studio DIBAJI Uwajibikaji ni moja ya nguzo muhimu sana ya ustawi wa taifa lolote duniani. Hata maitaifa makubwa na yenye ustawi kimaendeleo kama Marekani yamezingatia uwajibikaji ili kufikia hapo walipo sasa. Teknologia ni moja ya nyezo umuhimu katika karne ya ishirini na moja ambayo...
  15. benzemah

    Serikali inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi ili kukuza uchumi

    Katibu Mkuu Wizara ya UItamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi hatua inayosaidia kuwekeza katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu ambayo ndio msingi wa...
  16. F

    SoC03 Kukuza utawala bora kwenye uchumi nchini

    Kuleta utawala bora katika nyanja ya uchumi wa Tanzania ni muhimu kwa maendeleo endelevu na ustawi wa nchi. Utawala bora unahusisha uwajibikaji, uwazi, ushiriki wa wananchi, utawala wa sheria, na kupambana na ufisadi. Hapa chini ni orodha ya hatua ambazo zinaweza kuchukuliwa ili kufanikisha...
  17. Baltazary Twati

    SoC03 Ajiralink.com - kuunganisha vijana na fursa za ajira na ukuaji wa kifikra na utendaji kwa vitendo

    Kichwa cha habari: Ajiralink.com - Kuunganisha Vijana na Fursa za Ajira na Ukuaji wa kifikra na utendaji kwa vitendo. Kwa kuzingatia vigezo na masharti yaliyotolewa, naomba kutoa andiko kuhusu wazo la Ajiralink.com, jukwaa litakalolenga kuondoa changamoto ya upatikanaji wa ajira, nafasi za...
  18. N

    Rais Samia aajiri vijana 18,449 serikalini kukuza ufanisi wa kazi

    Rais Samia Suluhu Hassan ameendeleza juhudi zake za kuwawezesha vijana na kuboresha ufanisi wa kazi katika taasisi za serikali. Ndani ya miezi sita ya kwanza ya mwaka 2023,serikali imeajili vijana 18,449. Idadi hiyo inajumuisha walimu wapatao 13,130 ambao wamepata nafasi za ajira katika sekta...
  19. Gideon Ezekiel

    SoC03 Sababu zinazoweza kukuza uchumi

    Wachumi na watalaamu wa mambo ya uchumi wamekuna vichwa na sasa wanakubali kuwa sababu hizi zinaweza kukuza uchumi wa nchi kama zitafanywa kwa kuzingatia kanuni zake, na kwa msisitizo. Na suala la uchumi mbovu katika nchi zinazoendelea ni jambo la kawaida, kiasi kwamba viwanda vingi vimekufa na...
  20. Mwl.RCT

    SoC03 Kofi Annan | “Utawala bora labda ndio sababu muhimu zaidi katika kutokomeza umaskini na kukuza maendeleo”

    Picha | Kofi Annan (1938-2018) - kwa hisani ya JOEL SAGET/AFP via Getty Images UTANGULIZI Uongozi bora ni muhimu sana katika kutokomeza umaskini na kukuza maendeleo. Kama alivyosema Kofi Annan, uongozi bora ni labda sababu muhimu zaidi katika kufanikisha malengo haya. Kwa hiyo, ni muhimu...
Back
Top Bottom