kulinda amani na utulivu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Elitwege

    Usiichukulie poa Tanzania katika medani za kivita, walioijaribu walifutika

    Tanzania ilipewa jukumu kubwa la kuongoza vikosi vya Umoja wa Mataifa huko DRC, 2013/14 kazi kubwa ya kuisambaratisha M23. Kwa msioifahamu Tanzania vizuri,mwaka 2008 tulikuwa front line visiwa vya Comoro tukarejesha Amani ya ukanda ambapo napo aliibuka jamaa mmoja akaanza kudharau na kupuuzia...
  2. Cute Wife

    LGE2024 Mwigulu: Tufanye uchaguzi wa amani na utulivu

    Wakuu, Mwigulu amewahimiza wananchi wa Mkoa wa Singida kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika kesho, Novemba 27, 2024. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya...
  3. ChoiceVariable

    Pre GE2025 Rais Samia: Wameishiwa Wanataka Kuharibu Amani Yetu,Tusikubali

    Ujumbe umewafikia Chadema na Mabwana zao Mabeberu.👇👇 Ndugu zangu wananchi ili tuendelee kupata tunayoyapata haya miradi ya kila aina, vituo vya umeme na mambo mengine msiende kufanya makosa (kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Novemba 2024), kwanza dumisheni uhuru na utulivu katika wilaya...
  4. Mturutumbi255

    Leo ni siku ya kuleta mabadiliko mazuri. Endelea mbele kwa nguvu na Imani

    Asubuhi mpya ni nafasi mpya ya kuandika ukurasa mwingine wa maisha yako. Jipe moyo, ongeza bidii, na uamini uwezo wako. Hakuna kinachoweza kusimama mbele yako ikiwa una nia thabiti na moyo wa ujasiri. Kumbuka, kila changamoto ni fursa ya kukua na kila mafanikio ni matokeo ya juhudi zako. Leo...
  5. Ojuolegbha

    Balozi Nchimbi asimamishwa Ndanda, ampigia simu Waziri TAMISEMI, nae apokea maelekezo ujenzi wa kituo cha afya

    BALOZI NCHIMBI ASIMAMISHWA NDANDA, AMPIGIA SIMU WAZIRI TAMISEMI, NAE APOKEA MAELEKEZO UJENZI WA KITUO CHA AFYA ▶️ Asisitiza wananchi kuendelea kulinda amani, utulivu na mshikamano nchini ▶️ Atoa wito kwa Serikali kuhakikisha wakulima wanakuwa salama na wafugaji pia kwani wanategemeana Msafara...
Back
Top Bottom