kulipa kodi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MKATA KIU

    Hakikisha mshahara wako wa mwezi mmoja unatosha kulipa kodi ya miezi sita , kama hautoshi tambua umepanga nyumba sio size yako. madeni hayatakuisha

    habari wadau. Nimegundua watu wengi wanapanga nyumba zenye kodi kubwa kulipo uwezo wao. wanateseka sana na mikopo hasa muda wa kodi unapofika. wakifata hii sheria ya asili ya maswala ya kodi za nyumba, wataishi kwa amani sana
  2. Stephano Mgendanyi

    JANETH MAHAWANGA; Anauliza; Ni Upi Mpango wa Serikali wa Kuhakikisha Jamii Inapata Uelewa Kuhusu Umuhimu wa Kulipa Kodi na Kudai Risiti?

    JANETH MAHAWANGA, Mbunge wa Viti Maalum; Anauliza; Ni Upi Mpango wa Serikali wa Kuhakikisha Jamii Inapata Uelewa Kuhusu Umuhimu wa Kulipa Kodi na Kudai Risiti? Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad chande amesema kuwa Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kujenga uelewa kuhusu umuhimu...
  3. Mindyou

    Rais Samia: Wanaofanya biashara wakiulizwa kuhusu kodi wanasema kuna maelekezo kutoka "juu". Sijawahi kutoa maelekezo mtu asilipe kodi!

    Wakuu, Leo akiwa anazungumza, Rais Samia amesema kuwa kuna wale wafanyabiashara ambao wakitakiwa kutoa kodi wanasema kuna maelekezo kutoka juu. Rais Samia amesema kuwa kwa Tanzania, uongozi wa juu kwenye serikali ya Tanzania ni nafasi ya Rais na kwa kuwa yeye ndio Rais amesema wazi kuwa...
  4. G

    Bilionea Mulokozi hulipa kodi ya bilioni 7 kwa mwaka. Je, wewe una mpango wa kulipa Kodi kiasi gani kusukuma maendeleo ya nchi yetu?

    Kulipa Kodi ni wajibu wa kila mwananchi. Tulipe Kodi kwa maendeleo ya nchi yetu. Mkurugenzi wa MAT superbrand hulipa Kodi na tozo mbalimbali za thamani ya bilioni hadi Saba kwa mwaka. Je, wewe kama mtanzania mzalendo unapanga kulipa Kodi kiasi gani kama tozo na Kodi mbalimbali ili maendeleo...
  5. milele amina

    Watanganyika,Huwa tunafanya kazi za kuzalisha na kulipa Kodi muda upi!

    Nimeuliza TU!
  6. notyfeky

    Biashara ya saluni ya kunyoa na kupunguza nywele utaratibu wa kulipia mapato ya serikali ukoje?

    Habari. Biashara ya saluni ya kunyoa na kupunguza nywele utaratibu wa kulipia mapato ya serikali ukoje? Naomba ufafanuzi nisije kuyatimba wakati mwaka bado bikra huu.
  7. L

    Utajiri Wa Elon Musk unaweza Kufadhili Bajeti Ya Tanzania kwa Miaka zaidi ya kumi mfululizo Pasipo Mtu yeyote kulipa kodi wala ushuru wa aina yoyote

    Ndugu zangu Watanzania, Hivi Dunia Jamani kuna watu wana Hela,kuna watu wana pesa,kuna watu wana Fedha. Watu wana hela mpaka unajiuliza wao wanazipata wapi wakati kuna watanzania wanafanya kazi usiku na mchana kuanzia migodini ,mashambani , mabarabarani,viwandani lakini hawapati pesa hizo...
  8. TRA Tanzania

    Bado siku 2 kumaliza mwezi Novemba, lipa kodi kwa maendeleo ya Taifa

    Bado siku 2 tu kumaliza mwezi Novemba. Wahi ulipe kodi yako kwa maendeleo ya Taifa.
  9. Waufukweni

    Rais Samia: Walipa Kodi Wanakubali Faini za Makosa Lakini Si Kulipa Kodi Kwani "Ni jambo gumu na sirahisi kukubalika"

    Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizindua Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi leo tarehe 04 Oktoba 2024, jijini Dar es Salaam, amesema kuwa malalamiko ya walipa kodi yanatokana na ukweli kwamba kodi ni jambo gumu na mara nyingi si rahisi kukubalika. Amesema kuwa ni kawaida kwa mtu kuwa tayari...
  10. Eli Cohen

    Kuna mtu kasema nyani/sokwe/tumbiri wanajifanya hazimo ili wasiitishwe kulipa kodi!

    Hii mijamaa ina akili sana duuh, ebu tazama
  11. nipo online

    Utaratibu wa kulipa kodi kwa mtaji wa chini ya milion ukoje?

    Mwez ujao kuna rafiki yangu anataka kufungua kijiduka cha mtaaji wa laki 8 vip TRA hawatamsumbua? Na kama watamsumbua ili kuepuka afanye nini? Kuepuka? Au kitambulisho cha mjasiriamali vip?
  12. Mkalukungone mwamba

    Wafanyabiashara Ngara walia na mifumo ya kodi Mipakani wamweleza Waziri Mkuu Majaliwa

    Malalamiko ya mifumo ya kikodi maeneo ya mipakani kutokuwa rafiki, kumewasukuma wafanyabiashara wilayani Ngara, mkoani Kagera kuwasilisha kero hiyo kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa bungeni, jijini Dodoma. Baada ya kukutana na wafanyabiashara hao, Waziri Mkuu ameagiza Waziri wa Viwanda na...
  13. M

    Digital content creators kuanza kulipa kodi

    Mabadiliko ya muswada mpya wa sheria ya kodi umefanyika na sasa digital content creator watakua wanalipa kodi
  14. H

    Ni wakati sasa viongozi wa dini/nyumba za ibada walipe kodi TRA

    Habarini, Anasa na ufahari umezidi kwa watu hawa kiasi kwamba wanajiona wao ni special hapa diniani kwa kuishi kwa nguvu na hela za watu. Iweje wanaopeleka hela kanikani na miaokitini walipe kodi ila wanaopokea hizo hela wasilipe kodi? Huo ni ujinga mkubwa na kama kuna hoja ya maandamano basi...
  15. BARD AI

    TRA: Vitu viwili duniani haviepukiki ni Kifo na kulipa Kodi

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema moja ya Wajibu wake ni kuendelea kuhamasisha ikiwemo kutoa Elimu ya Mlipakodi kwa Watanzania ili watambue thamani na Umuhimu wa Kufanya hivyo ikiwa ni kwa Maendeleo yao na Maslahi mapana kwa Taifa. Kauli hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam leo Agosti...
  16. BARD AI

    Rais Kagame asema anafikiria kuanzia Kodi ya Makusanyo ya Kanisa kutokana na Utapeli unaofanywa na Viongozi wake

    Rais wa Rwanda, #PaulKagame amesema ongezeko la Makanisa ambayo mengi kati yake yamekuwa yakichukua Fedha za Waumini na kuwatajirisha Viongozi wa Madhehebu utailazimu Serikali kuanzisha Kodi ya Makusanyo ya Kanisa. Pia Soma: Kagame ni muongozo sahihi katika masuala ya kidini nchi za Afrika...
  17. Wafuasi wa Rais

    Wananchi tusiishie kulipa kodi peke yake, bali twende mbali zaidi kwa ajili ya Taifa letu. Sasa tujitolee kwa hali na mali

    Ndugu wananchi wenzangu! Kulipa kodi ni suala la kisheria. Lazima kila mwenye kipato alipe kodi. Tusiishie hapo. Twende mbali zaidi. Tujitolee bure kwa ajili ya Taifa letu wenyewe. Kujitolea sio suala la kisheria kwa sasa. Sio lazima kwa sasa. Lakini kuna wengi tunaotamani hata liwe la...
  18. Aliko Musa

    Jinsi Mama Fatma Alivyotumia Mbinu Ya Kipekee Sana Kuendesha Majengo Ya Kupangisha

    Utangulizi. Mama Fatma ni mama mwenye nyumba anayeheshimika sana katika kijiji cha Mivumoni. Ana majengo mawili ya kupangisha, ambayo yamejengwa kwa mbao imara na mabati ya kijani. Kila mwezi, wapangaji wake wanafika ofisini kwake, ambayo ni sehemu ya nyumbani kwake, kulipa kodi na kumshukuru...
  19. A

    Rais Samia alisisitiza kuhusu kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo lakini inafanyika kinyume chake

    Bwana yesu asifiwe. Iko hivi, kuna kifaa nilinunua chenye thamani ya laki tatu, muuzaji aliponiandikia risiti aliandika elfu tatu, nikasema hili sikubaliani nalo. Wakaniambia wanipunguzie kidogo bei halafu risiti ile niichukue, nikasema no, mwisho jamaa akaandika laki tatu. Hivi ni wangapi...
  20. mwanamichakato

    Kupanua tax base-makanisa, ministries, misikiti vihusike kulipa kodi

    ♻️ Kwa kuzingatia wigo mdogo wa walipa kodi ktk nchi yetu dhidi ya idadi kubwa ya wananchi.. ♻️ Kufuatia deni la taifa kuongezeka kila leo.. Kufuatia mtikisiko wa thamani wa fedha yetu.. ♻️ Kufuatia ukwasi mkubwa wa taasisi za kidini kupitia mapato ya Sadaka,dhaka,mafungu ya kumi..Malimbuko...
Back
Top Bottom