Pengine hadi sasa hujui, wala hujawahi kufikiria kuwa; wewe ndo hayo mabadiliko unayotamani sana kuyaona duniani.
Kwa namna moja ama nyingine, umekuwa ukijichukulia kuwa mfinyu na usiye na nafasi kabisa ya kuibadilisha dunia hii.
Swali ni! KWANINI ULIUMBWA? Kwanini ulikuja katika hii dunia...