Katika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF.
Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu.
Unajiuliza nini hiki sasa.
Sio mbaya kujaribu pengine ikawa kweli.
Basi unajaribu kuzama PM unakuta imefungwa.
Kumuanzishia thread haijakaa poa.
Hapa najua...