kundi

Faisal Karim Kundi (Urdu: فیصل کریم کنڈی‎) is a Pakistani politician who served as the 17th Deputy Speaker of the National Assembly of Pakistan from 2008 to 2013.
Faisal Karim Kundi hails from a known political family of Khyber Pakhtunkhwa. He started his political career in 2003 and served PPP as Divisional Coordinator D.I.Khan Division.
Born in 1975 in Dera Ismail Khan and graduated from UK. He had an intrinsic inclination towards politics and was groomed by Late Benazir Bhutto during her stay in London. He contested election from NA-24 on PPP ticket in General Election of February 2008 and was elected as the 17th Deputy Speaker of the National Assembly of Pakistan on Wednesday March 19, 2008. He secured 246 votes out of 318 polled.
He has the honour of being the youngest (33 years old) Deputy Speaker from amongst so far elected Deputy Speakers.

View More On Wikipedia.org
  1. LIKUD

    Kama unashangaa au hauoni mantiki ya Putin kuivamia Ukraine basi wewe upo kwenye Kundi la watu hawa

    Unatazama movie , kwenye movie Kuna tukio limetokea let's say WTC imelipuliwa. One week later maelfu ya wamarekani wanakusanyika katika viwanja vya Madison square garden Kwa ajili ya kufanya ibada maalumu ya kuwaombea marehemu walio poteza Maisha Yao kwenye tukio Hilo pamoja Na kulaani walio...
  2. L

    China yafanikiwa kurusha satelaiti B ya kundi la kwanza la mfumo wa L-SAR kwa ajili ya kufuatilia majanga ya asili

    Saa 7:44 Februari 27, China ilifanikiwa kurusha satelaiti B ya kundi la kwanza la mfumo wa satelaiti wa L-SAR kwa kutumia roketi ya Long March 4C kutoka kwenye Kituo cha Kurushia Satelaiti cha Jiuquan. Pamoja na kazi nyingine, satelaiti hiyo itatumiwa hasa kufuatilia mazingira ya kijiolojia...
  3. I am Groot

    Kundi la Al-qaeda lina mapato 416.5B kwa mwaka. Mwaka 2021 55.5B zatumika kununua silaha

    Kundi la al-Shabab mwaka 2021 lilitumia TZS bilioni 55.5 kununua silaha, Taasisi ya Hiraal imeeleza. Ripoti imefafanua kuwa kundi hilo lenya mfungamano na al-Qaeda lina mapato ya TZS bilioni 416.5 kwa mwaka, linayokusanya pia kupitia kodi katika maeneo ya Somalia inayoyakalia. Swali: Ni nani...
  4. S

    Simle anaylsis: Matokeo ya mechi za nyumbani na ugenini za USGN ndio yataamua timu mbili za kufuzu kundi "D"

    Sababu kubwa ni moja tu, hii timu mpaka sasa ndio inaonekana ni kibonde katika hili kundi na haishangazi sana kwani Niger (Timu ya Taifa na hata vilabu vya nchi hiyo) hawana record nzuri katika soka kama tulivyo Tanzania. Kwahiyo, timu zitazoifunga hii timu ya USGN nyumbani na ugenini, ndio...
  5. John Haramba

    Auawa na kundi la watu kwa kuchoma Quran

    Mtu mmoja ameuawa na kundi la watu kwa madai ya kuchoma kurasa za Koran katikati mwa Pakistan, Khanewal, polisi wanasema, katika tukio la hivi karibuni la vurugu zinazohusiana na kukufuru ama kukashifu dini nchini humo. Polisi wanasema zaidi ya watu 80 wamekamatwa kuhusiana na mauaji hayo siku...
  6. Equation x

    Unatakiwa ujitambue kundi uliopo kabla ya kuanzisha biashara

    Wengi wanatamani kumiliki biashara kubwa kubwa, lakini mwisho wa siku wanakuwa ni watu wa kutamani tu, wakianzisha biashara kesho watafunga na wataamia nyingine na mwisho wa siku hakuna biashara tena. Ni vizuri kufahamu makundi haya, na pia kujitathmini:- Wafanyakazi Hawa ni waajiriwa na...
  7. Jackwillpower

    Knights of Templar: Moja ya makundi hatari duniani

    Kuna makundi mengi ya siri ambayo ni hatari sana kama KNIGHTS OF MALTA, KNIGHTS OF EULOGIA (SKULL AND BONES), KNIGHTS OF COLUMBUS, KNIGHTS OF MALTA Japo Kundi hatari zaidi ni The Jesuits ambao wanacontrol the Knights Templar, Knights of Columbus and the Knights of Malta. CIA, FBI, NSA, ASIO...
  8. evangelical

    Wamachinga kuwekwa kundi moja na wanawake watoto na walemavu ni matusi kwao

    Nimesikia kwamba wamachinga wamewekwa kwenye wizara inayoshughulikia wanawake,wazee, watoto na kundi Maalumu (walemavu). Nafahamu kuna baadhi ya wamachinga wachache ni walemavu na wanaweza kufall kwenye hiyo wizara kusaidiwa. Nafahamu pia sio walemavu wote hawajiwezi kuna baadhi yao wachache...
  9. The Khoisan

    Furaha Dominic: Askofu Gwajima ndiye kiongozi wa kundi linalomkwamisha Rais Samia

    Kwenye interview ya Furaha, amemchanachana Askofu Gwajima kwa kusema kuwa ni MNAFIKI na MUONGO. Kazungumzia vipi alivyowatapeli wananchi wa Kawe kwa kudai kuwa ndani ya siku 100 atawajengea wana Kawe Barabara na kuwapeleka Birmingham. Kwa kweli Gwajima amekuwa Muongo kwa siku nyingi sana...
  10. Scars

    PICHA: Kundi la malaika likipita mitaa ya kwetu muda huu

  11. Yohana M Magembe

    Kundi la wababaishaji wa kisiasa ni lipi kati ya haya?

    Katika kuzingatia màhitaji ya wakati huu kisiasa, watu wengi wamejiweka katika nafasi za kisiasa na kila mmoja akijiona mbobezi wa mambo ya siasa na mchambuzi mahili, hapa yamejitokeza makundi kadhaa kwenye Jamii zetu ambayo. 1) Wasomi na wahitimu wa vyuo vikuu bila kujali amesomea nini wenye...
  12. N

    CCM ni mnara wa Babeli kutaka kutawala milele. Rais Samia tulishauri ulifute kundi la Hayati Magufuli hukutaka kusikia, sasa umeona?

    Utangulizi wangu una mada moja kwa mbili ili kuvileta vitu viwili Wakati Mama Samia anatawazwa kuwa mkuu wa nchi, watu wengi kwenye mitandao tofauti, JF ikiwa kinara walimshauri sana kwa nguvu kubwa kuwa avunje Baraza la Mawaziri na kuliunda upya. Kwa kufanya ivo angekuwa amejiwekea heshima na...
  13. S

    Msamaha wa Spika Ndugai kwa Rais Samia ni kifo cha mende kwa lile kundi

    Walidhani wanaweza kutumia wingi wao kila idara na bungeni kutingisha gogo. Lkn wamekumbana na kisiki cha Zanzibar kikiwa kinalindwa na katiba ya nchi na chama. Wanaanzia wapi kuukata mpingo? Aliyepewa jukumu la kukitikisa kisiki kapima kina cha maji halafu mwenyewe kaona isiwe taabu. Kwani...
  14. Ngungenge

    Kumbe Ndugai ndio kiongozi wa hili kundi mtandaoni

    Zilianza threat za wana CCM tunawajua kuwa watakuwepo Jamii forum kwa miaka 10 ambao ghafla wakanda kumpiga Rais Samia Akaja Polepole na Shule ya Uongozi Wanaharakati wao wa Facebook, Instagram na twitter wakitumia kauli za "hawezi Lucas viatu, hatoshi nk" Sasa Ndugai katoa siri yao na...
  15. chiembe

    Kuelekea 2025: Vyombo vya dola vitaruhusu kundi la mgombea Urais lililoamini katika utekaji, upotezaji,na kutupa watu baharini?

    Hili ni kundi ambalo halijatosheka na damu liliyokunywa, na tayari limeanza kujipanga kunywa damu zaidi ya watanzania, kutupa miili yao baharini, kupoteza raia kwa njia ya kuteka kwa magari aina ya Noah, kufukuza watumishi bila kufata taratibu, kuchukua kwa nguvu pesa za wafanyabiashara, mali...
  16. Da'Vinci

    Fahamu makundi ya tabia za wanadamu

    Hello.. Lately I’ve been writing random topics centered on personality traits, this Topic will be serving as a sequel of those Topic. Will focus on other perspective of personalities Personalities ni nini? Kwanza kabisa hakuna definition maalumu ya personality hivyo basi ma Guru wa saikolojia...
  17. S

    Sasa ni dhahiri ndani ya CCM kuna kundi la Rais Samia na la Hayati Magufuli

    Huu ndio ukweli ulio wazi ingawa CCM wenyewe hawawezi kukiri hadharani. Kuna hatari ya kundi la Mwendazake kutaka kumuhujuma Mama na mnyukano huu unalenga uchaguzi wa 2025. Hata hivyo, kundi la Mwendazake wajue tu kwa katiba hii mbovu, hakuna wataloweza na ninachowashauri waungane na wapinzani...
  18. masopakyindi

    Mgogoro wa KKKT Konde: Tatizo ni hela iliyoliwa na kundi la Askofu

    Imebidi niingie chimbo kuchunguza mgogoro huu wa Dayosisi ya Konde. Wazungu wanasema penye mgogoro usiotaka kuisha- FOLLOW THE MONEY! Kiti cha Askofu kimeshindwa kurudishwa Tukuyu maana ofisi ya Tukuyu ilimokuwa Dayosisi imeuzwa au kupangishwa kwa milioni 200. Ofisi wameuziwa au kupangishwa...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Hivi tukio hili tunaweza kuliweka kundi la Uchawi? Niliyoyaona live siku ile

    Kwema Wakuu! Leo nitasimulia tukio lililoniacha mdomo wazi mpaka leo nisielewe nini kilitokea. Tukio hili ni halisi, sio Stori ya kubuni. STORI KAMILI! Mimi ni jamii ya watu ambao usiku tunaona mambo mengi, waotaji WA ndoto, waonaji na wakati mwingine watu tunaolala lakini tunahangaika usiku...
  20. B

    CCM jitengeni na kundi la Wasiojulikana

    Kabla ya vyama sisi sote ni watanzania. Moja ya imani za CCM ni kuwa binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja. Tumefikaje huku kwenye kuuwana, kutekana, kutesana, kupotezana, kubambikiziana kesi na yote yenye ukakasi huu? Ilikuwaje kina Sabaya wakatambulika kama vijana wazalendo...
Back
Top Bottom