kunufaika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Vijana kunufaika na fursa za mafunzo ya uzoefu wa kazi na uanagenzi

    VIJANA KUNUFAIKA NA FURSA ZA MAFUNZO YA UZOEFU WA KAZI NA UANAGENZI. Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi Taifa Cde. Victoria Mwanziva amefika Wizara ya Vijana, Kazi na Ajira na kukutana na Mkurugenzi wa Ajira na ukuzaji ujuzi Ndugu. Ally Msaki; Lengo likiwa ni kuona namna gani vijana...
  2. crankshaft

    Mtazamo wangu: Jinsi wasanii wa WCB wanavyoweza kunufaika na kazi zao

    Wcb wasafi ndio lebo namba moja afrika mashariki na kati hivi sasa lakini wasanii wake ni masikini kwa sababu kikubwa katika wanachotengeza kinaishia kwa mameneja na kidogo kwao. Nimewahi kumsikia mkubwa fela pale wasafi fm alisema analipwa milion 40 kwa mwezi na mond ukiweka mbali mgao kutoka...
  3. M

    SoC02 Faida za Sayansi na Teknolojia ni zipi? Ni jinsi gani tunaweza kunufaika na Sayansi na Teknolojia kwenye jamii?

    UTANGULIZI SAYANSI ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo,kutazama na kujaribu. Na TEKNOLOJIA ni vifaa na mashine zinazotumika katika matengenezo au uzalishaji wa vitu. SAYANSI na TEKNOLOJIA ni nyanja zinazotegemeana kwakuwa ujuzi unaopatikana kisayansi unategemea au kuchangia sana...
  4. wanzagitalewa

    Watanzania watakavyonufaika na mkopo wa TZS trilioni 2.4 kutoka IMF

    Kabla sijaanza kueleza ni kwa namna gani Watanzania watanufaika na mkopo wa shilingi trilioni 2.4 kutoka Shirika la Fedha Duniani, kwanza ifahamike kwamba hakuna nchi duniani ambayo haikopi, nchi zinatofautiana kiwango na sababu za kukopa. Baada ya hilo, nielekeza kwamba mkopo ambao Tanzania...
  5. Ze Bulldozer

    Maswa: Wakazi elfu 10 kunufaika na mradi wa maji wa Rais Samia wa Isulilo

    MRADI wa Maji ya bomba wa kijiji cha Isulilo katika wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kuwanufaisha wananchi wapatao 10,497. Mradi huo unatekelezwa na wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa) kwa ufadhili wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, Meneja wa Ruwasa wilaya ya...
  6. L

    Wanafunzi wa Afrika wazidi kunufaika na ufadhili wa masomo kutoka China

    Na Tom Wanjala Mwezi Juni mwaka huu, maelfu ya wahitimu kutoka vyuo vikuu nchini China walifuzu na shahada mbalimbali. Miongoni mwao, walikuwa wanafunzi kutoka bara la Afrika. Wahitimu hawa walijumuika na wenzao wa China, wakiwa wamevalia majoho rasmi, tayari kupokea vyeti vya kuashiria kuwa...
  7. K

    Mchongo wa kunufaika na Shilingi Trilioni 1.3 za IMF

    Great thinkers mambo vipi. Naomba niende Moja kwa Moja kwenye kiini. Mheshimiwa Rais amesema Kuna fedha shiling Tilioni Moja na bilioni mia tatu zinakwenda kuchemsha Nchi. Sasa jameni hebu tupeana uzoefu na michongo ya namna ya kunufaika nazo kihalali kabisa. Yaani kama ni ajira tenda au...
  8. MC RAS PAROKO

    Fanya hivi kunufaika na ongezeko la tozo katika miamala ya simu (M-Pesa, Tigo Pesa, Halo Pesa)

    Ni matumaini yangu mu buheri wa afya, Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi. kwa kuwa kam tujuavyo kumekua na kilio kikubwa kutoka kila kona nchini kutokana na ongezeko la gharama za kutuma na kutoa pesa kupitia simu zetu (Mobile Money Transactions). Nikiwa ni muhanga...
  9. B

    Dkt. Liberata Mulamula: Tanzania kunufaika na Soko Huru la Biashara Afrika - AfCFTA

    29 June 2021 Dar es Salaam, Tanzania Eneo la soko huru kupitia mkataba wa AfCFTA yafikia nchi 38, tanzania kufaidika Tanzania imeridhia na pia kufikia hatua za mwisho kuingia katika soko kubwa la biashara kupitia eneo la soko huru barani Afrika AfCFTA litalokuwa na idadi ya zaidi ya watu...
  10. J

    Dkt. Faustine Ndugulile: Watanzania kunufaika na biashara Mtandao kufikia 2025

    Watanzania kunufaika na Biashara Mtandao kufikia 2025. "Lengo letu kufikia 2025 zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania tuwafikie kwa mawasiliano ya Internet na hadi 2025 tuwe tumeweka mazingira wezeshi ya biashara mtandao (E-commerce)". Ameyasema hayo Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari...
Back
Top Bottom