Kuna chalii hapa, yeye maji atayatafuta popotee, iwe ni bomba la nje, bafuni, kwenye ndoo popote,
Akiyapata cha maana hamna, ni kuingiza mkono na kuuzungusha.
Yaani huyu imefika hatua akiwa analia ukitaka anyamaze mletee maji kwenye jagi, baasi..
Hili ni tumeona kwa watoto wengi sana
Mda wa...