kuoga

  1. Crocodiletooth

    Kuna siri kubwa iliyofichwa katika kuoga maji ya maporomoko ya Marangu

    Hakuna kuongea sana siri za kimungu zilizopo katika maji hayo ni za ajabu na zinastaajabisha ni mara 1000 zaidi ya maji ya upako, fanyeni hivyo mje kutoa ushuhuda hapa. Sina mengi, twendeni.
  2. JanguKamaJangu

    Mtoto wa miaka mitatu aliwa na fisi Mwanza wakati akienda kuoga kwenye dimbwi

    Mtoto Emanuel Marco Nyagela mwenye umri wa miaka mitatu mkazi wa Kijiji cha Mwangika kata ya Mwabomba wilayani Kwimba mkoani Mwanza amefariki dunia baada ya kuliwa na fisi wakati akienda kuoga kwenye dimbwi akiwa na wenzake. Tukio hilo jana Desemba 27 saa 12 jioni kijijini hapo baada ya mtoto...
  3. sifi leo

    Kwenye vita hii natoa tahadhari kwa Balile, Kigwangalla vua nguo uoge ili utakate

    Niona vita kali kati ya Hamisi Kigwangalla Mbunge na ndugu yangu Ta Balille, Chanzo cha vita ni RIPOTI aliyoitoa Balile na wenzake mbele ya Makamu wa Rais siku za hivi karibuni. Za chini chini inasemekana Kigwangalla anapambana RIPOTI ile kusema ni uongo mtupu, Ta Balille anampotosha Makamu wa...
  4. K

    Hivi mkeo wa ndoa anapokublock kwenye simu anakua na maana gani?

    Kwema waheshimiwa? Hivi mkeo wa ndoa mnaeishi nae nyumba moja na kulala same bed anapokublock kwenye normal calls or WhatsApp, anakua na maana gani? NB;Hii kesi ni ya jamaa yangu.
  5. Nyani Ngabu

    RC Robert Gabriel awachana wanawake wa Mwanza! Awataka wajifunze kuoga na kupulizia manukato

    Mwanza, Mwanza, Mwanza! Kwa kweli mmebahatika kuwa na maRC wenye vituko. Huyu wa sasa naye sijui atatumbuliwa? Hebu muangalieni hapa…
  6. my name is my name

    Kufanya mapenzi wakati wa kuoga

    Kufanya sex wakat wa kuoga raha sana. Raha yake inaeza kuwa mara 100 ya sex zinazofanyika sehemu nyingine. Ukifanya sex wakat wakuoga especially kwenye bathtub unaweza ukahisi upo dunia nyingine kabisa kumbe maisha ndio haya haya 😂 kama hujawai kufanya sex wakati wa kuoga jaribu leo uone...
  7. Chinga One

    Unaoga mara ngapi kwa siku?

    Kuoga ni tabia au mazoea hujengwa tangu utoto, waliokua wavivu wa kuoga utotoni hata wakiwa wakubwa hali huwa hivyo hivyo na kinyume chake husadifu ukubwani. Je, wewe unaoga mara ngapi kwa siku? Au waoga kila ukichafuka?
  8. YEHODAYA

    Utafiti waonyesha Watanzania wengi wachafu huwa wanaenda kulala usiku bila kuoga

    Watu huamka asubuhi kwenda kwenye shughuli mbalimbali ambazo husabibisha mwili kuchafuka iwe kwa jasho au vumbi au chochote hivyo kufanya mtu awe mchafu. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na taasisi ya usafi imegundulika kuwa Watanzania wengi huenda kulala usiku bila kuoga wanaenda na uchafu...
  9. Analogia Malenga

    James Hamblin, daktari ambaye haoni sababu ya watu kuoga mara kwa mara

    Hamblin alifanya utafiri juu ya utakasaji wa mwili ambao hivi karibuni ulichapishwa katika kitabu. Hamblin alifanya utafiri juu ya utakasaji wa ngozi ambao hivi karibuni ulichapishwa katika kitabu. Daktari bingwa wa tiba ya uzuwiaji wa magonjwa James Hamblin alifanya utafiti kuhusu...
  10. sky soldier

    Ni kitu gani kingine huwa unakifanya bafuni ukiachana na kuoga

    Binafsi na ukubwa wangu huu, nimeoa na nina familia, naishi vizuri tu na jamii ila kuna katabia ka ajabu sana ninako na ni siri yangu tu hakuna anaejua. Niingiapo bafuni huwa nageuka kama mtoto, Napenda sana kucheza mziki, ntaruka ruka, nitacheza kiduku, nitacheza bolingo, n.k Nilikuwa dancer...
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    Msimsimange, mie nampenda hivyo hivyo

    Ni mrembo hakika, kwa sura na umbo ameumbika. Tatizo hataki kuoga, linapokuja swala la kuoga ni ugomvi mkubwa. Yeye huwana uso, husugua makwapa, na kuiosha Tukuyu, baada ya hapo ndio Hadi kesho. Mswaki anapiga vizuri kabisa. Hana tabia yoyote mbaya, nyumba Safi Kama peponi, adabu ndio mahali...
  12. Gily Gru

    Foleni ya kuoga ya nyumba za kupanga

    Kwenye nyumba za kupanga moja hivi kuna mpangaji mmoja huwa anachukua mda mrefu kuoga, akiingia yeye lazima achukue dakika kam arobaini. Wapangaji wenzake wanachukia Sana maana inawabidi wasubiri mda mrefu atoke na wengi huchelewa asubuhi. Mama mwenye nyumba leo kamtolea uvivu kamwambia “wewe...
  13. Kimbweka

    Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

    Watu wengi hupendelea kutumia maji ya moto kuoga pale hali ya hewa inapobadilika na kuwa ya baridi au wakati mwingine mtu anaumwa hivyo anatumia maji ya moto. Lakini kwa ajili ya urembo na afya ya ngozi, maji ya moto yanatajwa kuwa ni kitu muhimu sana kama vilivyo vipodozi vingine vinavyoisaida...
Back
Top Bottom