Ni mrembo hakika, kwa sura na umbo ameumbika. Tatizo hataki kuoga, linapokuja swala la kuoga ni ugomvi mkubwa.
Yeye huwana uso, husugua makwapa, na kuiosha Tukuyu, baada ya hapo ndio Hadi kesho.
Mswaki anapiga vizuri kabisa.
Hana tabia yoyote mbaya, nyumba Safi Kama peponi, adabu ndio mahali...