kuolewa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Gulio Tanzania

    Nadhani nusu ya Wanawake Tanzania hawafai kuolewa

    Huu utafiti binafsi nilioufanya pamoja na kuwa idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume nimekuja gundua kuna idadi ndogo ya wife material kwa mana hiyo nusu ya wanawake wa sasa hawafai kabisa kuolewa. Kwa hali ya sasa ukifikilia kwa makini ni kama hatuna wanawake wakuoa wengi wamekuwa na viburi...
  2. ktroshaban

    Ushauri: Mpenzi wangu nilietaka kumuoa ameondoka na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine

    Nilikuwa na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka miwili. Hatukujaaliwa kupata mtoto na wazazi wangu walimtambua kama mkwe. Niliingia kwa miguu yote miwili katika penzi lake nikidhani ndio tayari chaguo langu, nilimpenda kupitiliza. Hivi ninavyowataarifu kaenda kuishi na mwanaume mwingine tena...
  3. Ryan Holiday

    Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

    Hello WanaJf Bibi yangu Rukia kuna siku aliniuliza Mjukuu wangu unajua kwa nini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi? Mimi: Hapana Bibi Bibi: Hii ndiyo sababu mjukuu wangu "Kuonja onja umeshashiba". Mimi: Inamaana gani bibi? Bibi: Nikimaanisha kwamba mambo yanayopatikana kwenye ndoa...
  4. TheChoji

    Binti wa TB Joshua kuolewa Arusha

    Binti pekee wa mhubiri wa kimataifa wa Naijeria, Temitope Joshua almaarufu TB Joshua, anafunga ndoa jumamosi hii tarehe 8/5/2021 jinini Arusha. Binti huyo ajulikanae kwa jina la Serah anaolewa na kijana wa kichaga anaeitwa Brian Moshi. Ndoa itafungiwa kanisa la RC- Unga Limited na kufuatiwa na...
  5. mkamanga original

    Kuongezeka kwa Wimbi la wanawake kuzalia nyumbani (kuzaa kabla ya kuolewa)

    Kuna ongezeko kubwa la mabinti kuzalia home kwa wazazi kabla ya kuolewa. Nimefanya utafiti ,majibu yangu yamejuwa na ukweli, Lakini sababu kubwa ni kutokana na 1. wanawake wengi kukata tamaa, 2.umri mkubwa, 3.lakini pia nimekutana na majibu ya wanawake waliamua kushika mimba baada ya...
  6. Yoda

    Mwanamke kuolewa ni muhimu na ni mafanikio makubwa au mtindo wa maisha mtu anaouchagua tu?

    Kwa nini mwanamke kuolewa inaonekana ni jambo muhimu, kipaumbele, heshima na mafanikio makubwa kuliko kupata PhD, kujenga nyumba yake, kumiliki biashara yake, kuwa boss wa kampuni kubwa n.k? Mafanikio makubwa si yale ambayo mtu anayapata kupitia jitihada zake mwenyewe kuliko yale ya kupewa au...
  7. KITAULO

    Kuolewa na mwanaume amaizing ilikuwa ni matamanio ya kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia

    Kuna hili jambo ningependa tujadiliane ama tushirikishane kidogo. Hakuna asiejua kuwa kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia huwa matamanio yetu ni siku moja kuolewa na kutengeneza familia na mwanaume fulani hivi amazing(fantancy vs reality). Sasa tatizo linakuja kuwa huwa wanawake wengi...
  8. Cash Generating Unit

    Dada zetu hivi unajisikiaje wenzako wanavyoolewa wewe upo tu umebung'aa?

    Dada zetu mseme ukweli hivi huwa unajiskiaje mwenzako anaolewa afu wewe huolewi?? Ulishawai kaa chini ukajiuliza why siolewi?? Unajiskiaje unaletewa card ya mwaliko afu ww miaka nenda rud unagegedwa tu huolewi Unajiskiaje unahudhuria kwenye harusi za wenzako afu wew upo tu??? Huolewi Au bado...
  9. CK Allan

    Simulizi: Masikini Aisha

    Aisha alikuwa binti mzuri Wa uso na umbo ..Aisha alijulikana kwa ukarimu wake na upole.. Siku moja Aisha akiwa na wasichana wenzake walitekwa na kuozeshwa kwa wanaume kinguvu... Aisha aliishi utumwani kwa tabu akifanyishwa kazi za kila namna.. Wanasema hakuna marefu yasiyo na ncha...
Back
Top Bottom