Yanga inapaswa kufikiria kuachana na Kennedy Musonda.
Tokea aje hapa nchini, Musonda hajatoa kile kilichotegemewa kwa 100%. Ni mchezaji mzuri sana, lakini yapo yanayofikirisha juu yake.
Musonda hana muendelezo mzuri. Ni michezo michache sana amecheza kwa kiwango cha juu, iliyosalia anakuwa wa...