Pendekezo langu kwa nchi yangu ni kuwa. Ili kuwa kiongozi wa nchi. Ni lazima utimize masharti haya
Cha kwanza unatakiwa uwe na kiasi cha dollars milioni 5+
Unatakiwa uwe na biashara halisi ambayo inakuingizia pesa Izo. Kwa ufupi uwe mfanya biashara ambaye una mafanikio
Ndo tunakupa nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.