True story,
Tangu nimezaliwa mpaka Sasa nishakuwa kwenye mahusiano serious ×3 ukiachana na zile chapa ilale ambazo nimepita mpaka sikumbuki idadi ya nliopitanao, Na kwa Sasa Niko single Wala sipigi chapa ilale tena,
Ila hivi karibuni nimepita changamoto Sana, Kuna mtoto mumoja mchaga wa huru...