Habari wadau,
Leo nimepata muda kujiuliza hivi hii tabia ya Watanzania (walio wengi) au jamii yetu kupenda sana tabia ya kuanzisha michango na kuchangia tumeipata wapi? Au ni ile toka enzi za siasa za ujamaa na kujitegemea?
Sipingi kuchangia mambo muhimu, ni jambo jema sana kuchangia mambo...