Salaam!
Je, ni sawa kupanga kujenga mnara pasipo kukaa chini na kupiga hesabu juu ya gharama zake?
Siasa ni sayansi, je ni sawa chama Cha siasa kumpitisha mgombea asiyekubalika ,asiyekidhi matakwa ya wapiga kura?
Ni sawa kuleta mgombea asiyependwa na wananchi?
Ni sawa kupeleka n'gombe...