Maisha ya Tundu Lissu yamejaa majaribu makubwa na vizingiti vingi anavyowekewa na wasiomtakia mema ikiwepo system.
Mfano,
Walidhani watamshinda kwa hoja bungeni ikashindikana.
Walidhani watamshinda mahakamani kwa makesi ikashindikana.
Wakaona wamuuwe Mungu akakataa ikashindikana.
Wakasema...