Dah! Supapawa alifika huku lini, raia wake wanakimbia makwao na kuwa wakimbizi.....tena kwenye ardhi ya Urusi.
In the latest example of the war increasingly spilling into Russia, the Bryansk region came under fire overnight, according to a Russian official.
Shells hit two villages close to the...
Msingi wa vyama vyote siasa Duniani umezaliwa ubavuni mwa vyama vya wafanyakazi. Kwa sababu kundi la vyama vya wafanyakazi wote wanakua wamesoma na werevu, ndio kundi la kwanza kuona ukandamizaji katika jamii, na kuanza kutoa elimu kwa jamii.
Vyama vya wafanyakazi mara nyingi kazi ngumu ya...
Hivi vita vinachekesha, yaani unavamia nchi ya watu halafu unalalamika kwamba usipigwe kwenye baadhi ya maeneo ya hiyo hiyo nchi ya watu....
=================
MOSCOW, Feb 17 (Reuters) - Russia on Friday accused the United States of inciting Ukraine to escalate the war by condoning attacks on...
Kambi ya kijeshi iliyo ndani ya Urusi, kama kilomita 600km kutoka Ukraine leo imetaharuki kwa kushambuliwa na drone ya Ukraine, japo wameiangusha kwa kuishambulia ila wamekufa watatu, huu ni ujasiri kwa Ukraine maana ni kambi ya kijeshi iliyo ndani ndani ya Urusi, ni kama mashambulizi ya kataifa...
Duniani kuna mzaha na utani mwingi sana, utakuta mtu yaani mlimwengu mzinifu, msherati,mlevi, mla rushwa, mbea, muongo, mwizi, mnafiki, mfitini, mtu wa dhuluma,muuaji.
Hivi hawa watu wanapata wapi nguvu ya kusema oooh Mungu atakulipia, Mungu yupi huyo anaekuongoza kwenye hizo dhambi zako zote...
WAR IN UKRAINE
Pentagon gives Ukraine green light for drone strikes inside Russia
https://www.thetimes.co.uk/article/ukraine-drone-warfare-russia-732jsshpx
Sifa za hii ndege ni za kiajabu ajabu, kitengo cha wana hewa (airforce) kitaagiza 100 kama hizi, zina uwezo wa kusafiri kwa mwendo kasi tena bila rubani na zitashambulia kwa silaha kali ikiwemo manyuklia.
=================
The US Air Force will unveil its new B-21 Raider on Friday, a high-tech...
Baada ya Urusi kushindwa kwenye frontline na kukiuka miiko ya kivita na kuanza kupiga mabomu yake uswahilini, G7 wamekutana kwenye kikao cha dharula na kuazimia kuongeza juhudi ili kuhakikisha hizi mbinu za Urusi zitadhitiwa pia ili ngoma irudi kwenye mapigano baina ya wanajeshi.
=======...
...mchezo mchafu unaoendeshwa na Nato huko Ukraine tulishautambua.
....tumeitisha jeshi lote la akiba.
....hivi punde, Dunia itashuhudia isichokuwa ikikitarajia.
Putin.
Nb: Ndugu zangu tuombe Mungu atunusuru.
China carried out its largest-ever military exercises around Taiwan following a controversial visit to Taipei by US House Speaker Nancy Pelosi.
Pelosi was the most senior US official to visit Taiwan in 25 years, angering China, which sees Taiwan as part of its territory.
What did China say...
Mikwara imeisha, wamesubiriwa wafanye kweli ila ndio kama hivyo USA alishaingia mkataba kuigusa Taiwan umeigusa USA. Sasa Wachina wanageuza baada kupiga bahari mabomu......
China carried out its largest-ever military exercises around Taiwan following a controversial visit to Taipei by US House...
Ukraine wamepata wapi jeuri ya kushambulia kwa ndege, wanarusha kutokea uwanjani kabisa na kushambulia supapawa, duh..... miezi miine sasa Urusi ameshindwa kufumua hako kajirani kainchi kadogo sana ukilinganisha na Urusi, amepoteza meli kubwa, majenerali, ndege zaidi ya 200, vifaru ndio usitaje...
Haka kainchi kamekua kero, kameua Warusi hadi basi na bado hakakua kameanzisha shughuli ya haya makombora, sasa kameanza kuyarusha na kufanya maangamizi makubwa kwa wavamizi na wadhulumaji wa kutokea Urusi....takbirrrr!!!!
=========================
Ukrainian forces fired three large tactical...
Imeibuka hulka ya wanasiasa kushambulia taasisi na watendaji majukwaani.
Ni dhahiri kwamba mifumo ina mapungufu. Hivi PM anashambulia taasisi au mtendaji ambaye juu yake kuna bodi, katibu mkuu na waziri, hii ni hulka gani? Micromanagement sio ideal.
Yupo mmoja alihangaika na principal officers...
Gavana wa jimbo la Belgorod nchini Urusi ameishutumu Ukraine kwa kushambulia ghala lake la mafuta katika mji huo.
Vyacheslav Gladkov alisema kupitia Telegram kwamba moto mkubwa uliozuka Ijumaa asubuhi kwenye ghala hilo, ulisababishwa na mashambulizi ya anga kutoka kwa helikopta mbili za...
Serikali ya Norway imeituhumu China kwa kuhusika na mashambulio ya kimtandao katika mifumo ya Bunge lake mnamo mwezi machi 2021.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Ine Eriksen Soereide amesema uchunguzi umebaini kuwa mashambulizi hayo kwenye mfumo wa barua pepe yalifanywa kutoka China.
Asema...
Ukisikiliza mjadala huu utagundua kuwa kumbe vijembe na kushambulia watu kunakofanywa na "darasa la saba" hawa yaani Mbunge Lusinde wa Mvumi na Msukuma wa Geita kuna baraka za Spika Ndugai na ni mkakati wake anaotumia (kwa vile wana uwezo wa kubwabwaja lakini hawajitambui) kuzima kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.