Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Nape Nnauye, amefanya mahojiano na kituo cha redio cha VOS FM na kuelezea matarajio ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, ambapo kampeni za uchaguzi huo zimeanza leo kitaifa.
Nnauye amesema...