Huenda nikawa tofauti kimtazamo na wengine lakini kama kijana inabidi uwe mbunifu na risk taker. Usijali kuhusu hasara siku zote biashara ngumu zenye hasara kubwa ndobiashara zenye mafanikio. Ukipata fursa ya kwenda kutafuta maisha ughaibuni hata kama nikwakuvuka bahari kwa kutumia mashuwa vuka...
001:
umasikini ni jamb baya sana. Katika maisha yangu niliapa nitakuja pambana na umasikini kwa namna yoyote ile mradi na mimi niwe mtu miongoni mwa watu.
Kwa majina naitwa Nelson ama wengi wamezoea kuniita bob nelly.mwaka 2013 nikiwa na miaka ishirini na nne nilitoroka nyumbani na kuja Dar es...
Vijana wengi siku hizi wanaogopa Sana kuoa eti kisa hawajajipanga vizuri kimaisha kwa hiyo wanahisi wakio watashindwa kuhudumia familia zao.
Vijana wengi ckuiz wamejiaminisha kwamba lazima utengeneze Mambo yako hasa ya kiuchumi ndo uvute mwanamke ndani na wapo wengine ambao wanaamini kijana...
KUMRUHUSU BINTI AONDEKE NYUMBANI AKAJITAFUTIE MAISHA NI KUMFANYA AWE MALAYA!
Anaandika, Robert Heriel.
Mwanamke hatafuti maisha Ila anatafutiwa, maisha ya mwanamke yapo Kwa mume wake au Mzazi wake. Ni hatari na kosa kubwa kumruhusu binti yako akatafute maisha. Mwanaume ndiye anayekula Kwa...
Habari wakubwa
Naomba niseme tu nimechoka kukaa nyumbani kuwa kula kulala, maisha ya kukaa nyumbani yamenichosha natamani na mimi nianze kujitegemea nianze kulipa kodi, ninunue chakula kwa pesa yangu mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.