Kuṭṭaka is an algorithm for finding integer solutions of linear Diophantine equations. A linear Diophantine equation is an equation of the form ax + by = c where x and y are unknown quantities and a, b, and c are known quantities with integer values. The algorithm was originally invented by the Indian astronomer-mathematician Āryabhaṭa (476–550 CE) and is described very briefly in his Āryabhaṭīya. Āryabhaṭa did not give the algorithm the name Kuṭṭaka, and his description of the method was mostly obscure and incomprehensible. It was Bhāskara I (c. 600 – c. 680) who gave a detailed description of the algorithm with several examples from astronomy in his Āryabhatiyabhāṣya, who gave the algorithm the name Kuṭṭaka. In Sanskrit, the word Kuṭṭaka means pulverization (reducing to powder), and it indicates the nature of the algorithm. The algorithm in essence is a process where the coefficients in a given linear Diophantine equation are broken up into smaller numbers to get a linear Diophantine equation with smaller coefficients. In general, it is easy to find integer solutions of linear Diophantine equations with small coefficients. From a solution to the reduced equation, a solution to the original equation can be determined. Many Indian mathematicians after Aryabhaṭa have discussed the Kuṭṭaka method with variations and refinements. The Kuṭṭaka method was considered to be so important that the entire subject of algebra used to be called Kuṭṭaka-ganita or simply Kuṭṭaka. Sometimes the subject of solving linear Diophantine equations is also called Kuṭṭaka.
In literature, there are several other names for the Kuṭṭaka algorithm like Kuṭṭa, Kuṭṭakāra and Kuṭṭikāra. There is also a treatise devoted exclusively to a discussion of Kuṭṭaka. Such specialized treatises are very rare in the mathematical literature of ancient India. The treatise written in Sanskrit is titled Kuṭṭākāra Śirōmaṇi and is authored by one Devaraja.The Kuṭṭaka algorithm has much similarity with and can be considered as a precursor of the modern day extended Euclidean algorithm. The latter algorithm is a procedure for finding integers x and y satisfying the condition ax + by = gcd(a, b).
Hili jambo nimeliongea mara kadhaa huko nyuma na leo napenda kuliriudia kwani ni kikwazo kwa watu katika kujitafutia maendeledo yao na pia katika kutatua changamato zao za kifedha.
Kwa wasiolewa, sheria hii inalenga kuhakiksha mtumishi habaki na take home ndogo isiyokidhi mahitaji yake na ya...
Uzalendo ni pamoja na kuyaweka wazi yanayotukera katika nchi bila kujali yanafanywa na nani.
Ndugu zetu pale kijitonyama, wasiojulikana, waziri Masauni hadi mama Samia tuvumiliane tu. Uzalendo kwanza.
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Kuna maswali ya msingi kwa awaye yote...
Mamlaka za Ghana zinachunguza kifo cha Mwanaume mmoja kilichotokana na kushambuliwa na Simba katika bustani ya Wanyama Jijini Accra ikidaiwa alikuwa na lengo la kuiba Watoto wa Simba.
Uongozi wa bustani hiyo umesema uchunguzi wa awali umeonesha marehemu aliruka ukuta wa futi 10 kisha wa futi 20...
Siku hizi kumeibuka tabia ya mashirika na makampuni binafsi na ya serikali kupenda ma intern/volunteer/wa kujitolea kwa sana.
Je, ni jambo jema? Wengine hawalipwi kabisa, wengine wanalipwa kidogo. Pia wanatoa ahadi hewa za kukupa ujuzi au kukupa mkataba ambao hautaupata bila connection.
NB...
Ndugu zangu,
Awali ya yote naomba niseme naijua kiasi fulani historia ya taifa hii. Kwa mtazamo wangu, kuna 'legacy tricks' zinazotoka toka kipindi cha ujamaa ambazo tumezishikilia, hasa systems za nchi hii, kwa kuwa kwa mtazamo wao zilifanya kazi huko nyuma kwa hiyo hawataki kuziacha.
Hii...
Chama Cha walimu Tanzania, kwasasa wanatumia nguvu kubwa kuwashawishi walimu kujaza form ya TUF 15 ambayo ukiisoma inataka mwanachama aijaze ili kuridhia makato yanayokatwa na mwajiri kwenda CWT.
Swali ninalojiuliza kama makato yao yamekuwepo miaka yote Tena wakati mwingine bila ridhaa ya...
Nasikia kumbe aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Obama alikuwa Shoga ( Gay ) ila kumbe yule tuliyekuwa tunadhani ni Mkewe Michelle Obama hakuwa Mwanamke bali alikuwa ni Mwanaume na inasemekana hata Wamarekani kadhaa ( wenye Akili Kubwa na Udadisi wa Mambo hili ) walilijua ila CIA ilitumia Nguvu...
Harmonize alikuwa na show nchini Kenya lakini kwa mara nyingine tena amekosa watu kama kawaida yake akifanya shows nje ya Tanzania.
Na alipojaribu kutoroka hiyo aibu aliishia kukoswa koswa na kipigo kitakatifu kutoka kwa wakenya wachache waliojitokeza.
Bahati nzuri polisi waliwahi na kumchukua...
Kwa kweli nilishtushwa Sana niliposikia mama Salma Kikwete, akilitumia Bunge la Jamhuri ya Tanzania, badala ya kuongelea Shida za watu wa Jimbo lake la Mchinga, anaongelea mambo yake binafsi.
Eti anataka yeye kama mke wa Rais mstaafu, naye alipwe pension!
Hivi hawa viongozi wa CCM wanatuonaje...
Kama kawaida yetu wanaume!
Kuna muda nilisema nimestaafu lakin mmm hakuna kustaafu
Unakutana Na mtoto hadi unachanganyikiwa ,
Mwezi wa 2 nikiwa hapa jijini changi nikapita Hotel inaitwa Indulge Urbun
Nikamuona demu Mrembo Sana yan ! Ni mnigeria nikaanza kumlia timing,
Ilikuwa Jumapili...
Kesho ni kumbukumbu ya kutimiza mwaka 1 toka Raisi wa 5 wa Tanzania John Pombe Magufuli alipo fariki dunia, Magufuli alikuwa ni M-Socialist wa mlengo mkali wa Shoto na mwanamagauzi mkubwa wa uchumi.
Ni yeye Magufuli ambaye ameacha legacy kubwa sana Tanzania ya vitu ambavyo ni alama ya uongozi...
Wakuu Kwema!
Leo sina mengi Sana ya kusema,
Mtoto wangu aliniuliza hivi; Baba ni Dalili gani ya wazi itakayonifanya nimjue kiongozi huyu ni Mpumbavu ili nijiepushe naye?
Swali lake linashangaza Sana. Ukizingatia yeye ni mtoto wa miaka sita tuu.
Nikamjibu;
Kiongozi Mpumbavu utamtambua Kwa...
Rais samia hua anatoa kauli na maelekezo yenye utata. Lakini wenye kuelewa wanajua ni mwelekeo wake wa kupendelea sekta binafsi iliyojaa 'wahuni'
Inafaa atambue sekta binafsi kuleta ufanisi inatakiwa kua shindani sio kubebwa kwa kusudi kuingia ubia na majeshi au mashirika au mamlaka za umma...
Hili ni swali ambalo nimekutana nalo mahala fulani na mmoja wa wachangiaji ambaye ni Mr Kyle Krebs ambaye ni B.S. in Electrical Engineering & Mathematics, The University of Utah anajibu kama ifuatavyo:
1. Hawataweza kufika kwenye Mainland kwa sababu Mmarekani ana madude kama haya 11
USS...
Waziri Mkuu wa Sweden Magdalena Andersson amekataa wito wa upinzani wa kuitaka Sweden kufikiria jambo la kujiunga NATO. Waziri Mkuu huyo amesema kufanya maombi ya kujiunga NATO kwa sasa kutaleta taharuki zaidi ktk eneo la Europe na kuhatarisha amani zaidi.
Sweden kwa mara ya mwisho ilikuwa...
Hivi 'logically' tu kama dhamira na dhamiri yako Kuu ilikuwa ni kuwa Spika wa Bunge inawezekana ukabadilika na sasa Kuutaka Unaibu Uspika ambao haukuwa Chaguo lako la Moyoni?
Ushauri wangu wa bure tu GENTAMYCINE Kwenu nyie 'Natural Failures' mpatao 70 ambao Dada na mwana Simba SC Mwenzangu Dk...
Leo maji yamewafika shingoni wanakosa jinsi ya kukutoa madarakani wanaanza kujipitisha huku wakisema katiba mpya inahitajika, walidhani mfumo dume utadumu milele hawakujua mungu ndiye apangae. Sasa hivi wa CCM wanaumizwa na katiba kuliko wana Chadema.
Kazi Bunge nikuisimamia Serikali iliyopo madarakani itende Kwa maslahi ya Taifa. Kazi hii imegeuka siyo main objective tena bali lengo kuu la bunge lililopo chini ya uongozi wa sasa na ujao nikushirikiana na Serikali. Kushirikiria maana rahisi nikutengeneza pertnership na kwenye partnership...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.