kutibiwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Dar: Freeman Mbowe (CHADEMA) augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay

  2. J

    Dkt. Kigwangalla aenda kutibiwa Dodoma General hospital, ashangaa kukaguliwa barakoa getini

    Mbunge wa Nzega Kijijini Dkt. Kigwangalla amesema amekumbana na ukaguzi wa barakoa muda mchache uliopita pale geti kuu la Dodoma general hospital. Dkt. Kigwangalla amesema amefika hospitalini hapo kwa matibabu. Mungu ampe wepesi na uponyaji wa haraka. Nawasalimu kwa jina la JMT!
  3. Nyani Ngabu

    Nani anatoka Marekani kuja kutibiwa Tanzania?

    Juzi wakati Rais Samia alipotembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete [siyo ule moyo wa Kikwete 🤣 uliopo ndani ya kidari chake], alisema kuwa alifarijika kusikia kwamba miongoni mwa wagonjwa wanaoenda hapo kutibiwa, wanatoka nchi za jirani na hata Marekani. Hapo kwenye Marekani alisema kwa...
Back
Top Bottom