kutisha

Kutisha (Russian: Кутиша) is a rural locality (a selo) in Levashinsky District, Republic of Dagestan, Russia. The population was 1,922 as of 2010. There are 22 streets.

View More On Wikipedia.org
  1. John Haramba

    Sadio Mane, picha la kutisha kutoka hotelini baada ya kubeba AFCON

    Sadio Mane akiwa hotelini baada ya fainali ya AFCON.
  2. luangalila

    Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wana hips na wowowo za kutisha, inasababishwa na nini?

    Kwa utafiti tu kutazama ktk pirika pirika na mihangaiko ya hapa na pale hapa jijini Dar es Salaam. Katika maeneo tofauti tofauti kwenye mkusanyiko mfano katika vituo vya mwendokasi, ferry Kigamboni, nimegundua wanawake wa siku hizi wengi sanaaa wana hips za kuvutia, rangi za ngozi wengi ni...
  3. LIKUD

    Ufanano wa kutisha Kati ya vidole vya binadamu na vidole vya nyani/sokwe

    Ndio maana baadhi ya Wana nzuoni huwa wana toa hoja kwamba maandiko yanapo SEMA binadamu aliumbwa Kwa sura na mfano wa Mungu ni kwamba Kuna kitu kimepotoshwa hapo na kwamba ukweli ni kuwa binadamu aliumbwa ama alitengenezwa Kwa sura Na mfano WA Nyani/sokwe . "humans were created in the images...
  4. L

    TRA wameanza kutisha wafanyabiashara hata kuwafungulia kesi na kuwafunga

    TRA wameanza kutisha wafanyabiashara hata kuwafungulia kesi na kuwafunga, wanafunga tena account za watu ( biashara na kuchukua pesa za watu). Hasa TRA mkoa Singida nimepata kesi kwa rafiki yangu wamefunga account yake, walichukua hela na sasa wanamsumbua kwa madai watamfunga.
  5. M

    Chahali: Madini yanatoroshwa kwa kasi ya kutisha

    Dear Mama @SuluhuSamia naambiwa watu wanatorosha madini kama "hakuna kesho." Na wala hakuna usiri kwenye wizi huo. Mamlaka husika zinafahamu kinachoendelea lakini ndo hivyo, sekta ya madini imegeuzwa #ShambaLaBibi. Unfortunately, ufisadi umerudi kwa kasi ya upepo wa kisulisuli
  6. M

    Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

    Kuna ufisadi Mkubwa unafanyika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Arusha (AUWSA). Ufisadu huu unafanywa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi AUWSA, Eng. Justine Rujomba kwa kushirikiana na Waziri wa Maji Ndg. Juma Aweso na Katibu Mkuu Engineer Sanga. Kuna Mradi wa Ujenzi wa...
  7. Point less

    Natafuta muvi kali zenye sifa kama hizi!

    Kwanza ziwe za kuchekesha Pili ziwe za kutisha Tatu ziwe za maajabu Nne ziwe na mkono wa kufa mtu Kusiwe na huzuni kwenye muvi hiyo Na pia kama katuni pia napendelea Naombeni tafadhali NA PICHA ZAKE IKIWEZEKANA
Back
Top Bottom