Akuliarusiarsuup Kuua (Danish: Sandflugtdalen) is a river and valley of the same name in the Qeqqata municipality in central-western Greenland. Its source is the meltwater outflow from Russell Glacier, an outflow of the Greenland ice sheet. The river is a tributary of Qinnguata Kuussua, the main river in the Kangerlussuaq area. For most of its run, the river flows very slowly through the sandur basin of the valley, forming meanders amongst large fields of glacial silt quicksand. The climate is polar continental, with the area receiving very little rainfall.
Kuna "misconceptions" nyingi kuhusu chanjo ya Covid19. Baadhi za kitabibu na nyingine za elimu ya tabia. Zile za kitabibu nawaachia madaktari na wataalamu wa afya wazijibie. Mimi najibu hizi ambazo ni Socio-Cultural infuenced.
1. Chanjo ya Corona ni mpango wa wazungu kutuua?
JIBU: Wazungu...
1. Vyama vyote vya siasa ni mali ya serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hivyo Nchi ina jukumu la kuvilea, kuvilinda na kuvipa nafasi ya kushiriki kazi za kimaendeleo ya nchi kwa ujumla.
2. Baraza la usalama na Deep state Viwe na jukumu la kuweka mfumo wa uongozi wa kila chama na uteuzi...
Dubai inapitia kipindi kigumu cha hali mbaya joto kali. Eneo hilo ndani ya Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) lina joto kali linalovuka mpaka nyuzijoto 50 na kuhatarisha maisha ya watu zaidi ya milioni 3 wanaoishi katika mji huo.
Hivi karibuni nchini Canada zaidi ya watu 500 waliripotiwa...
Ukisikia kuna kupungukiwa akili, ndiyo huku.
Ukikaa mbele ya luninga yako, halafu ukasikia kuwa mazalio ya samaki yanaharibiwa na wavuvi maharamia wa majini. Halafu baadaye ukamsikia mvuvi haramia akitamka kuwa wameanzisha mapambano dhidi ya samaki kwa sababu amezamisha meli ya kisasa ya uvuvi...
Wazungu wana msemo kwamba "some people are so vain that they forget to be clever"
Ndivyo navyowaona Polisi wetu wa Tanzania. Yaani mtu mwenye tuhuma nzito za kutaka kuua viongozi, hadi unamkamata lazima uwe na ushahidi dhidi yake mzito. Sasa iweje unamkamata kwa tuhuma nzito kiasi hicho, halafu...
Erick Kabendera, Muandishi ambaye aliakamatwa kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kujihusisha na genge la uhalifu ambapo aliachiwa Februari 24, 2020 baada ya kukaa mahabusu kwa miezi saba
Akizungumza na BBC Swahili, Erick amesema aliponyeka majaribio mawili ya kuuawa ambapo moja lilifanyika...
Habari zenu wadau,
Leo tupeane mbinu mbalimbali unazotumia kukabiliana na mdudu msumbufu mbu.
Wengi wetu hutumia chandarua lakini zinaleta bad looking ya chumba chako. Pia si muda wote utakua kitandani ndio ujikinge na mbu.
Ukitumia spray nayo maharufu makali, ukifunga dirisha especially hizi...
Serial Killer Acquitted:
Phillip Onyancha, who confessed to killing 17 people in 2010, has been acquitted of a murder charge by High Court.
Onyancha led police to different towns where he committed heinous acts, decomposing bodies were found.
--
A suspected serial killer facing three murder...
Tokea Rais Samia aingie madarakani kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Naona kila anachofanya anapata sifa kutoka kwa watu wengi hasa wa upinzani.
Kwa maono yangu hivi anavyofanya mama ndio kuua upinzani, sio kuwakamata na kuwatisha na kuwabambikia kesi na kuwafunga, mama akiendelea...
Wana Miezi Mitatu hawajapewa Mishahara na si kwamba labda Tajiri 'Mzanzibari' hana Pesa bali kaamua Kuwafanyia 'Kusudi' baada ya Kuwaambia Wachezaji wanamuangusha kwani anawapa kila Kitu hivyo wakitaka Wafurahi basi nao pia Wamfurahishe.
Hivyo basi Wachezaji wengi wa Azam FC sasa kutokana na...
Mnamo agosti tarehe 20 mwaka wa 2020, kiongozi wa Upinzani wa Urusi na mwanaharakati wa kupambana na ufisadi Alexei Navalny aliwekeea sumu ya kulemaza neva kwa jina Novichok na kukimbizwa akiwa hospitalini katika hali mbaya .
Uchunguzi ulionyesha kupatikana kwa smu hiyo katika damu yake na hilo...
Huwa kuna kishawishi kuwa Mimba ni Kama kauvimbe tu, kwa hakika hata Kama ni mimba ya siku moja, kuitoa ni dhambi na wale wote wanaoshiriki kuitoa mf. Madaktari na Wauguzi waliofanikisha Mpango huo, Mume au boyfriend aliyesupport kwa namna yoyote, wote wana hatia mbele ya Muumba.
Kila kiumbe...
Diamond Platnumz ni mwanamziki mkubwa duniani,
Niko Ulaya na nimeshuhudia popote panapopigwa muziki wa afropop basi ni Nigeria, South Africa, DRC na Tanzania, nikisema Tanzania basi ni muziki wa Diamond Platnumz au kundi zima la WASAFI.
Mwaka 2017 nilikuwa Nairobi na kwenda club ambapo...
Ushahidi huu hapa
Natoa pole kwa Wafiwa .
zaidi soma:
https://www.jamiiforums.com/threads/mama-anna-mghwira-usiongee-sana-peleka-vielelezo-juu-ya-kifo-cha-mama-yake-hoyce-temu.1872308/...
Habari ya leo wakuu,
Mimi ni mjasiriamali nnaye jihusisha na usafi nimejikita zaidi katika uchafu sugu ulio shindikana mfano kung'arisha masink yaliyo na uchafu sugu,Tiles zilizo na uchafu sugu,sofa zilizo na uchafu sugu na vyote nang'arisha kurudi kuwa na muonekano mpya kabisa haijarishi aina...
Hawa ndiyo "vijana wa kazi"wa Mwendazake Magufuli...
Waliitumikia LEO kwa kuvunja sheria na maadili ya Utumishi kwa kunyanyasa wanaowaongoza (wananchi) kwa sababu wana madaraka na kusahau kabisa kuwa kuna KESHO...
Walitegemea KULINDWA NA MTU badala ya matendo yao ya HAKI..
Katika video hii...
Mahakama Kuu Kanda ya Tabora imemuhukumu kutumikia kifungo cha kwenda jela miaka minne Lameck Essau Meza mkazi wa Sikonge mwenye umri wa miaka 38 baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumuua bila kukusudia mkewe Dafroza Paul.
Akisoma hukumu hiyo Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Tabora...
MFANYABIASHARA, Adelard Lyakurwa (58), anayefanya shughi uli zake Kariakoo amepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka moja la kutishia kumuua mfanyabiashara mwenzie marufu, Valence Lekule kwa silaha, Bastola
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo...
Shirika letu la Bima (NHIF) limechangia kuua Huduma za Afya katika kulipa Madai ya Hospitali zetu kwa kuchelewesha kulipa kwa wakati, ambapo hospitali zote nchini zimekuwa zikilamika kuchelewesha malipo hayo ili ziweze kununua dawa,vifaa tiba na kulipa uendeshaji wa hospitali
NHIF imekuwa na...
Toka apple ameachia processors za Silcon M1 based on ARM achirtecture, ambapo zimeishinda processor ya intel yoyote yenye nguvu katika single thread kuanzia kwenye graphics rendering, na kila kitu mjadara umekuwa mkubwa mtandaoni.
Kabla ya hapo mjadara mkubwa ulikuwa ni AMD ryzen 5000 dhidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.