kuvutia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Papa Mopao

    Katika AFCON ya mwaka huu ni timu ipi ina mpira mzuri mno wa kuvutia na mnene?

    Kwa wale waliobahatika kuangalia mechi karibu zote za AFCON ya mwaka huu tu 2022, ni timu ipi kwa upande wako inayocheza mzuri, mnene, wa kuvutia kiasi kwamba hutoki kwenye siti Kama hujabahatika kuangalia mpira, basi usome tu jinsi michango ya waliobahatika kuangalia mechi mbalimbali za...
  2. S

    Mikopo kwa wafanyakazi: Mabenki ya humu nchini yamekosa kabisa ubunifu wa kuvutia wakopaji

    Kama wewe ni mfanyakazi wa serikali au wa sekta binafsi,bila shaka utaungana nami kuwa mabenki ya humu nchini yamekosa kabisa ubunifu wa kuvutia wakopaji. Tuna utitiri wa mabenki, lakini hakuna benki ambayo ukieenda, utaona kitu cha tofauti sana na benki nyingine kuanzia kwenye riba na mambo...
  3. MamaSamia2025

    Ellen G. White alifariki mnamo Julai 16, 1915 akiwa na umri wa miaka 87 huko Elmshaven, California

    UKWELI WA KUVUTIA KUHUSU MAMA ELLEN G. WHITE: 1. Ellen ni miongoni mwa watu walioamini kwamba Kristo angerudi Oktoba 22, 1844. 2. Mnamo 1846 Ellen aliolewa na mhubiri wa Kiadventista James Springer White, ambaye alikutana naye kwenye safari ya Orrington mnamo 1845. 3. Ellen na James walikuwa...
  4. Erythrocyte

    Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu yaendelea kuvutia Mabalozi na Wawakilishi wa Jumuiya za Kimataifa

    Kesi hiyo inayoendelea leo kwenye Mahakama ya Uhujumu Uchumi chini ya Jaji Mpya Mustapha Siyani , kama kawaida imehudhuriwa na Mabalozi na wawakilishi wa Jumuiya za Kimataifa . Tayari Mheshimiwa Mbowe amefika ndani ya Mahakama hiyo kwa usikilizaji wa kesi dhidi yake na wenzake watatu ...
  5. L

    Beijing kuvutia tena macho ya watu duniani kutokana na Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi

    Mwezi Agosti mwaka 2008, mji wa Beijing uliandaa michezo ya Olimpiki ya Majira ya Joto, ambayo ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa, na kupongezwa na jamii ya kimataifa. Miaka 13 baadaye, mwezi wa Agosti kwa mara nyingine tena, baada ya kufungwa kwa Michezo ya Olimpiki ya Tokyo, mji wa Beijing umevutia...
  6. L

    Xinjiang machoni mwangu: Mandhari ya kuvutia ya milima ya Tian Shan mjini Xinjiang yaniacha kinywa wazi

    Katika safari yangu ya mkoa unaojiendesha wa Xinjiang Uygur, nimebahatika kutembelea kwenye vivutio kadhaa, ila cha kwanza ambacho nina hamu sana ya kukielezea na ambacho kiliniwacha kinywa wazi kwa kushangaa ni mlima maarufu sana wa Tianshan. Ilituchukua takriban mwendo wa saa mbili hivi hadi...
  7. figganigga

    Hivi ni kweli fukufuku anafanya matiti yawe Makubwa ya kuvutia na kusisimua?

    Salaam Wapenzi wangu, Kuna wadudu wadogo wanachimba shimo sehemu penye mchanga, inadaiwa ukimchukua ukamung'atisha kwenye chuchu la titi, inarutubisha na kufanya ziwa liwe kubwa la kupendeza. Hata ukinyonyesha halilali na kuwa ndarandefu. Wadudu wengine walioonesha mafanikio makubwa wanakaa...
  8. Meneja Wa Makampuni

    Rais Samia Suluhu usisahau kuvutia wawekezaji kujenga viwanda vinavyozalisha kemikali kutokana na gesi

    Mama yetu gesi asilia kwa jina jingine inaitwa METHANE (CH4), kama unavyoiona hapo in kaboni moja. Gesi hii inamatumizi mengi kama vile KUPIKIA, KUWASHIA, KUZALISHIA UMEME, KAMA NISHATI VIWANDANI LAKINI PIA GESI HII INATUMIKA KUZALISHA KEMIKALI MBALIMBALI ZENYE THAMANI KUBWA KULIKO GESI...
  9. S

    Fahamu jinsi ya kutunza ngozi, iwe yenye afya na inayovutia zaidi

    Habari Wana JF Nauliza mafuta gani au tiba mbadala au njia gani inafaa tumiwa kwa mtu anayefanya kazi juani(sun rays) muda mrefu ili kutunza afya ya ngozi? ============ Ngozi ya mwanadamu inahitaji matunzo ili iweze kuwa na afya na mvuto wake wa asili. Ngozi isipotunzwa vizuri huweza kupata...
Back
Top Bottom