kuwa na familia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nikija kuwa na familia kuna vitu sintoruhusu

    Moja ni kuwaalika ndugu zangu nyumbani kwangu ambapo watoto wangu wanaishi na sio ndugu zangu tu hata ndugu wa mume. Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki. Majirani wote siwataki kabisaa . Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja . Kwangu pawe kwangu tu hawa watu hawana wema ni...
  2. Sasa ni wakati wa kuwa na familia

    Mambo mengine kumbe huja automatic, nakuwa na msukumo mno wa kuwa na familia,watoto najihisi msukumo tokea ndani ya nafsi yangu Umri unakimbia age mate wote nafikiri now wanafamilia kama si kuzalisha au kuzalishwa 1yr left to reach 30floor Natamani sasa mtu wa kupigizana nae kelele nimechoka...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…