Hiv ushawai jiukiza sku1 hawa walemavu tunaowapita barabarani kila siku wanaish maisha gani? Kula, kunywa, mavazi, afya nakadhalika.
Unakuta mtu barabaran anaomba hana mikono, miguu; anaendeshwa kwenye wheelchair.
Wapo walemavu wa aina nying ila kuna wale extreme yani. Hiv kweli serikali, well...