kuzika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Polisi: Mwili wa Hamza tumeshaufanyia kazi

    Nimemsikia kamanda Sirro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
  2. Idugunde

    #COVID19 Mwongozo wa Serikali ukoje kuhusu kuzika wafu waliofariki kwa Covid-19?

    Wadau hakuna mahala unaweza kupata updated info kama Jf. Wadau mwenye info kamili atujuze kwa sasa utaratibu uko vipi kuzika mtu aliyefariki kwa covid-19. Ifahamike kwa sasa vifo ni vingi sana uraiani na vina ukaribu na matatizo ya kupumua. Nawakalishe mimi Idugunde
  3. Determinantor

    Kwa hali hii ya Kigoma, tujiandae kuzika

    Siandiki kumtisha MTU, ndio ukweli mtupu! Kigoma tayari kulikua na maambukizi makubwa sana kwa mujibu wa VP akiwa Makere-Kasulu alitamka hivyo. Nilitegemea serikali yenye akili ingeweza hata kuwaelimisha watu wake kuhusu hii mikusanyiko, matokeo yake wamehamishia akili zao walizonazo...
  4. S

    #COVID19 Is it true that the telecast of covid-19 horrible situation in Uganda is just a propaganda?

    ABOUT THE FOOTAGE below:- In Uganda, people of Kasese almost killed health officials following their illicit move of burying an empty coffin which they claimed to be carrying the Covid-19 dead body. This came after the long lived and widespread rumours in Uganda, that the government is...
  5. Naja naja

    Baada ya Mazishi ya Hayati Magufuli tuambiwe ni kiasi gani cha pesa kilichotumika kwenye shughuli nzima

    Kwa jinsi hii shughuli ya msiba inavyoendeshwa inaonyesha wazi kuna mabilioni ya fedha yanapotea kwa kutumia mgongo wa kumzika kiheshima Rais Magufuli. Kuna wengine bila shaka wanatumia fursa hii kupiga pesa, pesa ambazo kwa namna moja au nyingine zingesaidia mambo mengi mno MF madawa...
  6. D

    Mzee wangu yupo hoi, huenda Serikali ingeweka wazi, Mzee wangu asingeshiriki kuzika rafiki yao aliyefariki kwa changamoto

    Naandika huku naumia sana. Maisha ya mzee wangu yako hatarini sana anapumua kwa shida sana. Chanzo cha kuumwa. Kuna rafiki yao mzee mwenzao alifariki, wakaambiwa kuwa chanzo cha kifo cha huyo rafiki yao ni mapafu. Kutoka hospital ya Bugando ndugu wa marehemu walipewa mwili kwenda kuzika...
  7. Doctor Mama Amon

    Haki na majukumu kwa marehemu: Nani mwenye jukumu la kuzika maiti, yupi asiye nalo na kwa nini?

    Baba, Mama, na watoto wao wawili mapacha walioteketea kwa moto huko Kilimanjaro. Hivi, katika mazingira ambako mabaki ya mtu aliyekufa hayawezi kupata huduma za mazishi zinazotolewa na dini za kigeni kama vile Ukristo, Uislamu, Uhindu, na Ubuda, utaratibu gani wa kisheria unapaswa kutumika...
  8. safuher

    Suala la wafiwa kuandaa chakula kwa ajili ya wanaokuja kuzika ni utaratibu wa kupigwa vita

    Suala hili lipigwe vita vikali sana kwa sababu ni sherehe tu ndio inayo namna ya kupika ili waliokuja kwenye hiyo shughuli wapate kula. Haiwezekani umefiwa na kipenzi chako halafu hapo hapo unawapikia wanaokuja kumzika wale washibe waende zao. Wale wanaokuja kukupa pole na kuzika ndo wakupe...
  9. D

    Mwibara: Baada ya Tundu Lissu kuzuia njia ili kivuko kisishushe magari na mizigo, azua tafrani baada ya maiti kukwama kwenda kuzikwa. Tazama video

    Jana niliweka video humu ikionyesha Tundu Lissu kuzuia njia kwa magari yake ili kivuko kisiweze kushusha abiria na mizigo. Wapo waliosema kuwa nilikuwa nadanganya umma. Haya fuatilieni video hapo chini watu wanalalamika kuwa maiti zao zinachacha kwenye kivuko.
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    Msilete Umjini wenu mkija kuzika kijijini

    MISIBA NA UMJINI WA WATU WA MJINI. Vijana wa mjini ninawaomba sana bamyiitu, mkienda kijijini msilete umjini wenu kwenye mambo ya msingi. Jaribuni kufanya yale ya utaratibu wa kijijini. Salimia, nyenyekea, piga stori, chekesha, yaani fanya yote yafaayo kwa jamii ya wanakijiji uliowakuta pale...
  11. TODAYS

    Hii ndiyo njia mpya ya kuzika mwili wako au wa ndugu yako

    Kampuni moja ya Marekani imetoa taarifa za kina kuhusu namna ya kuzika mtu kwa njia ambayo ni rafiki kwa mazingira. Utafiti wa majaribio ulifanyiwa maiti za watu walitoa idhini kabla ya wao kufa, umeonesha kwamba tishu laini mwilini huvunjika vunjika kwa njia salama na kuoza kabisa baada ya siku...
Back
Top Bottom