Mwili wa TB Joshua unatarajiwa kuzikwa Mwezi huu, Nchini Nigeria
Kwa Mujibu wa ripoti kutoka Nchini Humo TB Joshua atapumzishwa kwenye Makazi yake ya Milele Siku ya Jumapili (julai 11, 2021).
Ikumbukwe TB Joshua alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 57 mwaka huu juni, 5 nchini humo.
Taratibu...