1. FANYA TAFITI NDOGO KUWAHUSU.
Muulize mwenza wako kuhusu asili yao, namna wanavyoishi, nini unatakiwa ufanye na nini hutakiwi kufanya.
Jifunze kusalimia kwa lugha yao kama sio ngumu sana, watafurahi kuona unajitahidi kuwa kama wao na hii itaonyesha ni kwa namna gani upo serious katika kujenga...
NUKUU KUTOKA KWA WATU WENYE HEKIMA
1. “Gereza kuu ambalo watu wanaishi ndani yake ni hofu ya kile ambacho wengine wanafikiria.”
— David Icke
2. “Jihadharini na wale wanaoomba msamaha haraka sana; mara nyingi wanafanya hivyo ili kumaliza mazungumzo, si kwa sababu wanamaanisha kuwa wamekosea.”...
Mwanamke wa kuoa ni muhimu kwao na kwa mwanaume kuwe na uwezo sawa kiuchumi,, kielimu na kidini???.
Wanajukwaa habari zenu,natumaini mu wazima wa afya .mada ni kama ilivyotajwa hapo juu.
Katika miaka ya hivi Karibu swala la kutafuta mwenza wa kuishi naye limekuwa gumu kidogo baina ya vijana wa...
Habari wakuu
Natumaini wote tulisoma kwenye zile shule zetu mambo mbali mbali, ikiwemo mambo ya kuzingatia katika uanzishaji wa kiwanda.
Inawezekana yale tuliyoyasoma shule, tumeyaacha kule kule na sasa tupo miaka zaidi ya kumi kwenye kuajiriwa, bila kuwa na hata karakana ya kunolea mapanga na...
ULEGA AAGIZA UTEKELEZAJI MIRADI SEKTA YA UJENZI KUZINGATIA THAMANI YA FEDHA
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameelekeza Viongozi na Watumishi wa Wizara ya Ujenzi kuhakikisha wanazingatia thamani ya fedha wakati wa utekelezaji na usimamizi wa miradi mbalimbali nchini ikiwemo barabara, madaraja...
Je, unahitaji huduma ya kitaalamu kuhusu mambo ya kodi?
Tunaelewa changamoto zinazoweza kutokea zinazohusu aina mbalimbali za kodi na jinsi inavyoweza kuathiri biashara yako.
Tunatoa huduma za ushauri kuhusu:
1.Ufanisi katika Kulipa Kodi: Kupata njia bora za kulipa kodi kwa kufuata sheria na...
Tuweke unafiki pembeni tuongee ukweli, historia ya mwanamke ni kipengele cha kukizingatia sana, na ninachokoandika hapa ni moja ya sababu ya kwanini unatakiwa kuoa mwanamke ambae umemkuta akiwa bikira
Twende kwenye points
1. Daima atakulinganisha na wanaume wengine.
Mwanamke ambae tayari...
Endapo Umeamua kwenda kulewa pombe pamoja na Malaya uliemchagua , jitahidi Sana:-
1. Usiende kulewa na Malaya maeneo ambayo Ni jirani na kwako au sehemu unakofahamika Sana.
2. Hakikisha umekula umeshiba na unywe maziwa fresh ya kutosha kabla ujaenda kulewa na malaya. Inasaidia kupunguza Kasi...
Karibu tuelimishane mambo kadhaa muhimu kabla ya kufanya ujenzi
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA UJENZI
NOTE: Kufuata taratibu za kitaalamu katika UJENZI kunaweza kusaidia kupunguza gharama za ujenzi mpaka 15% pamoja na kukuepushia hasara inayoweza kutokea mbeleni, sambamba na kukupatia kitu...
Uongozi wa kituo maalum cha kulelea watoto cha Bero Kids (Bero Kids Day Care) kilichopo jijini Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja mgeni rasmi na wahitimu wa mahafali ya pili.
Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Kinondoni Bi. Fatuma Juma akizungumza wakati wa mahafali ya pili ya kituo...
Leo tujifunze kuhusu interview au usaili
Wengi wetu tumeshawahi kudhuria interview na tunajua kabisa mziki na mtiti wa interview sio wa kitoto hasa ukiwa huna uzoefu na namna ipi ya kukabiliana na interview.
Interview inaweza kukupanikisha kiasi cha kukosa amani kabisa na kukufanya ujihisi...
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuheshimu mikataba yake na kampuni tanzu ya Adani Group licha ya mashtaka mapya dhidi ya Gautam Adani, mwenyekiti bilionea wa kundi hilo, anayekabiliwa na tuhuma za utoaji hongo na udanganyifu, afisa mwandamizi wa Mamlaka ya Bandari amethibitisha.
Wiki...
Habari za siku mbili tatu wakuu na wananzengo hapa jukwaani?
Hi video ni ile ya uchaguzi Mkuu 2020 nimeitumia hapa kutaka kusema kitu kuhusu hizi chaguzi
Unajua kwa kawaida kabisa ni wazi Majeshi yetu hayatakiwi kuchagua upande, majeshi yetu hayatakiwi kuonesha hisia zao wazi kisiasa...
👉 AFYA NI TUNU👈
❗CHUKUA NA HII👇👇👇👇
🔞walau mara 2 kwa wiki uwe unafanya hako kamchezo hapo😀usikubali vitunguu na nyanya ziharibike hata siku 1❗
🌹🌹Faida zake🌹🌹
🧅🧅🧅FAIDA ZA KITUNGUU MAJI🧅🧅🧅
🌺🌺kuuwa bacteria
🌺🌺 dawa ya vidonda
🌺🌺dawa ya upere
🌺🌺dawa ya Maumivu kwenye ngozi
🌺🌺dawa ya kifua...
Wakuu.
Mbali na kuagiza gari kutoka nje ya nchi, au kununua showroom kuna option ya tatu ya kununua gari ambalo Mtanzania mwenzako analitumia.
Hii inaweza kua njia salama zaidi lakini pia ya hatari zaidi usipokua makini.
Sasa kuna vitu vya kuzingatia unavyotaka kununua, tutaviweka kwenye...
Unapotumia simu au kompyuta, kuna mambo kadhaa ya kuzingatia ili kuhakikisha usalama, afya, na ufanisi:
1. Usalama wa Mtandaoni:
- Tumia nywila (password) ngumu na salama.
- Epuka kubonyeza viungo vya kutatanisha au kutoka kwa vyanzo visivyoaminika.
- Hakikisha kompyuta au simu ina...
Unapotaka kununua simu mpya, ni muhimu kuzingatia mambo kadhaa ili kuhakikisha unapata kifaa kinachokidhi mahitaji yako. Haya ni mambo muhimu ya kuzingatia:
1. Bajeti: Amua kiasi unachotaka kutumia kabla ya kuchagua simu. Simu zinapatikana katika viwango mbalimbali vya bei, hivyo kuwa na bajeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.