Imekuwa kawaida kipindi cha Mfungo wa ramadhani viongozi wa serikali, taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kufuturisha.
Sasa basi ili kuondoa dhana ya upendeleo au double standard ni vyema basi katika kipindi hiki cha Mfungo wa Kwaresma basi futari ikaandaliwa pia na taasisi hizo.
Ni...
Mungu uwajalie Watumishi wako wanaokesha na kuomba kwa ajili ya Taifa Hili
Naelewa KKKT kimara kuna mfungo unaendelea
BCIC kwa Askofu Gamanywa kuna mfungo wa siku 70 unaendelea
Kwa Mtume Mwamposa kadhalika kuna mfungo unaendelea
Na katika makanisa mbalimbali ambayo sijayataja
Basi ninaomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.