Lecturer is an academic rank within many universities, though the meaning of the term varies somewhat from country to country. It generally denotes an academic expert who is hired to teach on a full- or part-time basis. They may also conduct research.
Kama kichwa cha habari kinavojieleza mimi ni mwanafunzi mwaka wa pili chuo X degree ya ualimu( bachelor of science with education) semester ya kwanza nilipata GPA 3.5 semester ya pili 4.2 na semester ya tatu 3.2 lakini najua na ninauwezo wa kupata 3.6 kutokana na bado sjafanya field ( teaching...
Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer.
Mimi; unafanya biashara gani teacher...??
Lecturer; Hahaahahhaaaaa sina biashara.
Mimi; Kwanini...??
Lecturer; Unajua ukifungua biashara ukimuweka mtu mara akuibie mara ufilisike mara hivi mara vile.
Mimi; Sindo...
Hivi kama tume ya ajira/Chuo cha Ardhi mnakosea matokeo ya watu 8 tu, inakuwaje kwa watu 100-800?
Ni kweli watu wanawekewa matokeo yao kwa usahihi? Mtu wa quality assurance anafanya nini mpaka matokeo haya yanarushwa kwenye tovuti ya PSRS? Watu 8 tu?
POST ASSISTANT LECTURER (ENVIRONMENTAL SCIENCES) – 1 POST
EMPLOYER College of African Wildlife Management -Mweka (CAWM)
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-05 2022-06-18
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Teaching up to NTA level 8 (Bachelor’s Degree);
ii. Preparing learning resources for tutorial...
POST ASSISTANT LECTURER (TOURISM GEOGRAPHY) – 1 POST
EMPLOYER College of African Wildlife Management -Mweka (CAWM)
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-05 2022-06-18
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Teaching up to NTA level 8 (Bachelor’s Degree);
ii. Preparing learning resources for tutorial exercises...
Yule jamaa aliyetuletea stori yake ya kumtafuna lecturer wake kanizidishia ujasiri kwa sasa kila demu naona nammudu hata awe amenizidi kipato namna gani wademu wa hovyo wote napiga chini natafuna watoto wa kishua
POST: ASSISTANT LECTURER-ECONOMICS – 1 POST
POST CATEGORY(S): BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES
EMPLOYER: Mzumbe University
APPLICATION TIMELINE: 2021-11-25 2021-12-08
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
1. Undergo an induction course in pedagogical skills for those who have not...
Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.
Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.
Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye...
Habari wakuu naomba kujuzwa juu ya huyu aliyepitia njia hii atakua na kigezo cha kuwa mhadhiri wa chuo kikuu?
Vigezo vya TCU ni first degree yaani Bachelor uwe na at least GPA ya 3.5 then Masters uwe na at least GPA ya 4.
Sasa huyu alipata GPA 3.2 first degree , kisha akafanya Masters akapata...
POST: ASSISTANT LECTURE – 1 POST
POST CATEGORY(S): ENGINEERING AND CONSTRUCTION, ENVIRONMENTAL SCIENCES AND GEOGRAPHY, WATER, MINING AND NATURAL RESOURCES
EMPLOYER: Water Institute – WI
APPLICATION TIMELINE: 2021-08-16 2021-08-30
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
To instruct students...
Katika kuendeleza dhima ya Uchumi wa viwanda wanafunzi wamemzawadia lecturer wao viatu na shati . Kazi ndo imeanza.
**Wakihojiwa wanaonyesha kufurahia tendo hilo.
Kwanza nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania.
Nina ndugu yangu yuko nje ya nchi alikuwa akifanya kazi sasa ameomba kazi hapa Tanzania kwenye moja ya vyuo vikuu maana ni PhD holder. Na pia Alipata kazi South Africa japo yeye anapendelea kurudi nyumbani. Sasa anapenda kujua mishahara ya vyuo...
Naomba msaada wa mawazo ndugu zangu wana JF. Mawazo yenu yana faida kubwa sana. Ni mara ya pili naandika uzi unaofanana na huu lakini mara ya kwanza niliambulia patupu. Sikupata mchango wenu kabisa. Niliumia kidogo lakini nina desturi ya kutokukata tamaa.
Nakwenda moja kwa moja kwenye mada...
POST: ASSISTANT LECTURER – EDUCATIONAL PSYCHOLOGY (GUIDANCE AND COUNSELLING) – 1 POST
POST CATEGORY(S): EDUCATION AND TRAINING
EMPLOYER: Dar es Salaam University College of Education(DUCE)
APPLICATION TIMELINE: 2021-02-17 2021-03-02
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
To undergo an...
Habari wataalam, kuna ndugu hapa ameomba kupata information kutoka kwa wadau..ni hivi jamaa aliharibu matokeo ya bachelor hayakua mazuri (GPA) lower second.
Kwani hakua serious na shule wakati huo. Ila amejiongeza amekwenda kufanya Master ametoka na GPA ya first class 4.5. Sasa amepata mzuka wa...
Ndugu zangu,
Mimi ni ndugu yenu nimemaliza chuo mwaka huu nina Degree ya Human Resource Management. Nimesomea Morogoro Mzumbe nina GPA ya 4.2.
Kwa muda mrefu nilikua natamani sana kuwa mwalimu wa chuo kikuu kwa hiyo natamani kupata mawazo yenu kwamba kwa jinsi gani nitaweza kufanikisha ndoto...
The University of Nairobi continues to record honourable milestones after a Kiswahili lecturer from the institution bagged an award in the US.
In a statement from the university released on Tuesday, August 18, Prof. Iribe Mwangi, the Chairman, Department of Kiswahili was awarded by the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.