lecturer

Lecturer is an academic rank within many universities, though the meaning of the term varies somewhat from country to country. It generally denotes an academic expert who is hired to teach on a full- or part-time basis. They may also conduct research.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Ushauri: Kwa matokeo haya naweza kuwa lecturer?

    Kama kichwa cha habari kinavojieleza mimi ni mwanafunzi mwaka wa pili chuo X degree ya ualimu( bachelor of science with education) semester ya kwanza nilipata GPA 3.5 semester ya pili 4.2 na semester ya tatu 3.2 lakini najua na ninauwezo wa kupata 3.6 kutokana na bado sjafanya field ( teaching...
  2. Ibrahimeliza

    Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer Swali

    Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer. Mimi; unafanya biashara gani teacher...?? Lecturer; Hahaahahhaaaaa sina biashara. Mimi; Kwanini...?? Lecturer; Unajua ukifungua biashara ukimuweka mtu mara akuibie mara ufilisike mara hivi mara vile. Mimi; Sindo...
  3. Samba

    Matokeo ya interview Chuo cha Ardhi kwa kada ya Assistant Lecturer - ICT yarekebishwe

    Hivi kama tume ya ajira/Chuo cha Ardhi mnakosea matokeo ya watu 8 tu, inakuwaje kwa watu 100-800? Ni kweli watu wanawekewa matokeo yao kwa usahihi? Mtu wa quality assurance anafanya nini mpaka matokeo haya yanarushwa kwenye tovuti ya PSRS? Watu 8 tu?
  4. Jamii Opportunities

    Assistant lecturer (Environmental Sciences) at Mweka

    POST ASSISTANT LECTURER (ENVIRONMENTAL SCIENCES) – 1 POST EMPLOYER College of African Wildlife Management -Mweka (CAWM) APPLICATION TIMELINE: 2022-06-05 2022-06-18 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Teaching up to NTA level 8 (Bachelor’s Degree); ii. Preparing learning resources for tutorial...
  5. Jamii Opportunities

    Assistant lecturer (Tourism Geography) at Mweka

    POST ASSISTANT LECTURER (TOURISM GEOGRAPHY) – 1 POST EMPLOYER College of African Wildlife Management -Mweka (CAWM) APPLICATION TIMELINE: 2022-06-05 2022-06-18 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Teaching up to NTA level 8 (Bachelor’s Degree); ii. Preparing learning resources for tutorial exercises...
  6. S

    Jamaa aliyemla lecturer wake amenizidishia ujasiri

    Yule jamaa aliyetuletea stori yake ya kumtafuna lecturer wake kanizidishia ujasiri kwa sasa kila demu naona nammudu hata awe amenizidi kipato namna gani wademu wa hovyo wote napiga chini natafuna watoto wa kishua
  7. Jamii Opportunities

    Assistant Lecturer (Economics) at Mzumbe University

    POST: ASSISTANT LECTURER-ECONOMICS – 1 POST POST CATEGORY(S): BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES EMPLOYER: Mzumbe University APPLICATION TIMELINE: 2021-11-25 2021-12-08 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES 1. Undergo an induction course in pedagogical skills for those who have not...
  8. tamuuuuu

    UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

    Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani. Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo. Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye...
  9. JAMBONIA LTD

    Je huyu anaingia katika vigezo vya kuwa lecturer?

    Habari wakuu naomba kujuzwa juu ya huyu aliyepitia njia hii atakua na kigezo cha kuwa mhadhiri wa chuo kikuu? Vigezo vya TCU ni first degree yaani Bachelor uwe na at least GPA ya 3.5 then Masters uwe na at least GPA ya 4. Sasa huyu alipata GPA 3.2 first degree , kisha akafanya Masters akapata...
  10. Jamii Opportunities

    Assistant Lecturer at Water Institute

    POST: ASSISTANT LECTURE – 1 POST POST CATEGORY(S): ENGINEERING AND CONSTRUCTION, ENVIRONMENTAL SCIENCES AND GEOGRAPHY, WATER, MINING AND NATURAL RESOURCES EMPLOYER: Water Institute – WI APPLICATION TIMELINE: 2021-08-16 2021-08-30 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES To instruct students...
  11. and 300

    Lecturer UDSM azawadiwa na Wanafunzi

    Katika kuendeleza dhima ya Uchumi wa viwanda wanafunzi wamemzawadia lecturer wao viatu na shati . Kazi ndo imeanza. **Wakihojiwa wanaonyesha kufurahia tendo hilo.
  12. mdau mpya

    Msaada: Mishahara vyuo vikuu Tanzania

    Kwanza nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania. Nina ndugu yangu yuko nje ya nchi alikuwa akifanya kazi sasa ameomba kazi hapa Tanzania kwenye moja ya vyuo vikuu maana ni PhD holder. Na pia Alipata kazi South Africa japo yeye anapendelea kurudi nyumbani. Sasa anapenda kujua mishahara ya vyuo...
  13. B

    Msaada: Ni vigezo vipi vinahitajika ili kuwa Mkufunzi wa Chuo?

    Naomba msaada wa mawazo ndugu zangu wana JF. Mawazo yenu yana faida kubwa sana. Ni mara ya pili naandika uzi unaofanana na huu lakini mara ya kwanza niliambulia patupu. Sikupata mchango wenu kabisa. Niliumia kidogo lakini nina desturi ya kutokukata tamaa. Nakwenda moja kwa moja kwenye mada...
  14. Jamii Opportunities

    Assistant Lecturer – Educational Psychology (Guidance And Counselling) at DUCE

    POST: ASSISTANT LECTURER – EDUCATIONAL PSYCHOLOGY (GUIDANCE AND COUNSELLING) – 1 POST POST CATEGORY(S): EDUCATION AND TRAINING EMPLOYER: Dar es Salaam University College of Education(DUCE) APPLICATION TIMELINE: 2021-02-17 2021-03-02 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES: To undergo an...
  15. JAMBONIA LTD

    Je, anaweza kukidhi vigezo vya kuwa lecturer?

    Habari wataalam, kuna ndugu hapa ameomba kupata information kutoka kwa wadau..ni hivi jamaa aliharibu matokeo ya bachelor hayakua mazuri (GPA) lower second. Kwani hakua serious na shule wakati huo. Ila amejiongeza amekwenda kufanya Master ametoka na GPA ya first class 4.5. Sasa amepata mzuka wa...
  16. M

    Ninatamani nifanikishe ndoto yangu ya kuwa Mhadhiri

    Ndugu zangu, Mimi ni ndugu yenu nimemaliza chuo mwaka huu nina Degree ya Human Resource Management. Nimesomea Morogoro Mzumbe nina GPA ya 4.2. Kwa muda mrefu nilikua natamani sana kuwa mwalimu wa chuo kikuu kwa hiyo natamani kupata mawazo yenu kwamba kwa jinsi gani nitaweza kufanikisha ndoto...
  17. MK254

    Akili kubwa - UoN Kiswahili Lecturer Awarded in US

    The University of Nairobi continues to record honourable milestones after a Kiswahili lecturer from the institution bagged an award in the US. In a statement from the university released on Tuesday, August 18, Prof. Iribe Mwangi, the Chairman, Department of Kiswahili was awarded by the...
Back
Top Bottom