legacy

In computing, a legacy system is an old method, technology, computer system, or application program, "of, relating to, or being a previous or outdated computer system," yet still in use. Often referencing a system as "legacy" means that it paved the way for the standards that would follow it. This can also imply that the system is out of date or in need of replacement.

View More On Wikipedia.org
  1. Kichwamoto

    Job Ndugai ulimnanga Lissu; sasa jitokeze utuambie legacy yako ni ipi

    Hello JF Niende kwenye mada straight, ni wakati muafaka Jobo Ndugai aweke hadharani legacy yake ya uspika na ya kibunge huko kongwa sambamba na oanisho la kumnanga ndugu Lissu kuhusu ubunge wake wa miaka10 huko Singida Mashariki kwamba hakuacha legacy yoyote. Baada ya kuachia kiti cha uspika...
  2. Superbug

    Miaka 30 ijayo zaidi ya nusu ya Wana-JamiiForums tutakuwa tumeshakufa. Je, tunajiandaaje kuagana na kuacha legacy?

    Asilimia 70 ya tulio humu leo tutakuwa tumeshakufa ifikapo mwaka 2052 yaani hatutamuona rais wa tatu tokea samia au au rais wa tisa wa taifa letu kama wajao watatawala kwa miaka 10 @1 je tunajiandaaje kuagana sisi kwa sisi? Binafsi namuaga jamaa mmoja anaitwa Mbususu Enthusiast jina lake...
  3. Lord denning

    Amos Makalla, Legacy yako ni Jiji la Dar es Salaam kuwa Safi

    Nimesoma Dar, nimeishi Dar kabla sijahamia Mkoani Ruvuma, kusema kweli Dar imekuwa na sifa kuu 3 1. Uchafu 2. Mipango miji mibovu iliyopelekea ujenzi holela wa Makazi hadi maeneo ya biashara( vibanda vya machinga) 3. Joto na foleni za Barabarani Namba tatu ni sababu zilizo nje ya uwezo wa...
  4. M

    Kumkwamisha Rais Samia Suluhu ni kuikwamisha Tanzania

    ==== Ukweli ni kwamba, lipo kundi ndani ya Taifa hili tukufu la Tanzania linaloinyooshea vidole Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imekumbwa na Rushwa na Ufisadi wa kutisha ghafla. Kundi hili hatari kwa Taifa letu linamwona Rais Samia Suluhu Hassan...
  5. almandoJr

    Car4Sale Subaru Legacy for sale

    subaru legacy price : 7m location: DSM
  6. Determinantor

    Je, kila kinachofanyika "kinalenga kufuta Legacy" ya Magufuli?

    Wajumbe, swali liko very straight, linajitegemea wala halihitaji kurembwa. Recently kumekua na juhudi kubwa sana za kutaka kuuaminisha umma kuwa Magufuli alikua sahihi sana na hivyo kwa yale ambayo aliyafanya akiwa hai hayapaswi kupingwa, kuachwa, kurekebishwa, kuboreshwa kwakua kwa kufanya...
  7. M

    Ukisikia urithi ndio huu; Mwananchi Kosovo ampa kura Hayati Magufuli badala ya wagombea waliokusudiwa

    UKISIKIA URITHI NDO HUU Tarehe 14/11/2021 kulikuwa na uchaguzi wa mzunguko wa pili wa Meya wa Prizren, ambao ni mji mkuu wa kihistoria wa nchi ya Kosovo. Katika uchaguzi huo wagombea wawili walioongoza kwenye matokeo ya mzunguko wa kwanza uliofanyika Oktoba 2021 walichuana ili kupata mshindi...
  8. B

    Legacy: Waimba Mapambio Wanapokwama

    Hapa sina cha kuongeza:
  9. Nyankurungu2020

    Kila nikizunguka Tanzania naiona legacy ya hayati Magufuli ambayo haitafutika kirahisi

    Nikitembea kwenye barabara za lami ambazo alizisimamia kwa zaidi ya miaka 20 na kurahisisha usafiri hapa nchini naona hayati alilitendea jema taifa letu. Vipi kuhusu Mfugale Flyover na Kijazi interchange! Leo hii Kibaha mpaka Mbezi foleni ni story iliyosahaulika. Stand ya kisasa ya ya...
  10. Junnie27

    Subaru legacy B4 for sale

    Subaru legacy Sport rims Proper spoiler 9m 0626409908
  11. K

    Tunapima Legacy ya Awamu ya Nne na Tano kwa Uzani: Mfano wa karatasi v/s Chuma

    Mtapima wenyewe. Kanuni ya maumbile ni moja tu. Kilo 1 ya karatasi ni sawa na Kilo 1 ya chuma. Awamu ya Nne v/s Awamu ya Tano i. Kuweka mazingira ya uwekezaji kuwa ya kuvutia v/s...
  12. Jidu La Mabambasi

    Rais Samia tunasikitika kuona unaiumiza legacy yako uliyoanza kuijenga vizuri

    Siyi siri, matukio ya hivi karibuni dhidi ya vyama vya upinzani hayajafurahisha Kitaifa wala Kimataifa. Hatua za kuvichukulia hatua vyama hivyo kwa kutumia nguvu ya dola na si nguvu ya hoja, imezua wingu zito juu ya dhamira ya Rais kiuchumi. Wengi tunajiuliza, je Mama anahujumiwa? Hata hivyo...
  13. F

    Legacy ya Magufuli Haiwezi Kufutika kwa Siasa Uchwara

    Haya ni maoni yangu na mtu yeyote halazimishwi kuyapokea. Sihitaji kurudia mazuri ya Magufuli. Tunajua alikuwa Rais wa watu aliyeongoza kwa ajili ya watu wa chini kabisa. Wazalendo wa Nchi hii hatuwezi kubabaishwa na kelele za wachache waliomchukia kwa sababu tunazozijua (e.g. u-puppet...
  14. Idugunde

    Ukweli: Legacy aliyoiacha hayati Mkapa ni kulipatia taifa uongozi wa hayati JPM tuache kupindisha ukweli

    Hayati Benjamini Mkapa aliona mbali mwaka 2015 baada ya CCM iliyokuwa chini ya Jakaya kuwa imepoteza imani kwa wananchi. Mkapa aliona mbali na kuhakikisha taifa letu linapata kiongozi ambae atalinyoosha taifa lililopinda. Ukweli ni kuwa hayati Mkapa ndie alieona umahiri wa hayati JPM kusimamia...
  15. Suley2019

    Maandamano yaendelea kushika kazi Afrika Kusini kufuatia kukamatwa kwa Jacob Zuma

    Mamia ya watu wamekamatwa nchini Afrika Kusini huku ghasia zikienea kufuatia kufungwa jela kwa rais wa zamani Jacob Zuma. Waandamanaji wanaomuunga mkono Zuma kwanza waliingia mitaani baada ya kiongozi huyo wa zamani (79) kujisalimisha kwa mamlaka Jumatano ili kuanza kifungo cha miezi 15...
  16. J

    Waziri Ummy: Masoko na Stendi zote zinazomilikiwa na TAMISEMI kujengewa Visima vya Maji ili kukabiliana na moto

    Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Ummy Mwalimu amesema Serikali itajenga visima vya maji kwenye masoko na stendi za mabasi zote zinazomilikiwa na Halmashauri ili kukabiliana na majanga ya moto pindi yanapojitokeza. Chanzo: Radio One
  17. S

    Taasisi ya Benjamin William Mkapa imeandaa mdahalo kuhusu Maisha ya Rais Mkapa

    Marais walioacha legacy huandaliwa midahalo. Lkn wale wenye legacy' za kubumba....NEVER!. Wenye akili mshaelewa maudhui ya uzi huu.
  18. Ngongo

    Watetea Legacy ya Mwendazake wazidi kuishiwa pumzi

    Ni wazi watetea legacy ya mwendazake wamezidiwa vibaya sana.Ilikuwa ni kazi rahisi kupambana na CHADEMA,Team JK,Team kanda ya kambo sasa ni wazi watu wa makundi mbali mbali wameonyesha walichoshwa na mfumo au ukipenda utawala mbovu wa Mwendazake. Nawasilisha.
  19. mshale21

    Vijana msihangaikie legacy za wengine, jitumeni ili mweke zenu binafsi

    Wasalaam, Inashangaza na kusikitisha kuona kikundi cha vijana wa CCM wakihangaikia ujenzi wa legacy ya mwendazake huku wakisahau kuwa nao inatakiwa waweke legacy kabla ya kwendazao, yaani wanajitahidi kuweka legacy zao kupitia tarumbeta na pambio za ujenzi wa legacy za aliyekuwa Mwenyekiti wao...
  20. B

    Kibatala: Wanaopinga Katiba Mpya wana Maslahi Binafsi

    Wakili msomi bwana Peter Kibatala leo katika 360 ya clouds TV amefunguka kisomi kuhusiana na katiba mpya. "Katiba mpya ni hitajio la watanzania wengi. Wanaopinga, ni kwa sababu tu ya maslahi binafsi yatokanayo na katiba iliyopo." -- amesisitiza wakili huyo. Zaidi sana anasema Kibatala...
Back
Top Bottom