Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Godbles Lema, ameonyesha kuchukizwa na maneno ya Wanachama wa CCM mitandaoni kuhusu Huruma ya Rais Samia kwa Chadema.
Kupitia mtandao wake wa X Lema ameandika, "Kuna haya maneno mnasema , Mh Rais SSH amewafutia kesi,mlikimbia...