Leveling seats (Danish: tillægsmandat, Swedish: utjämningsmandat, Norwegian: utjevningsmandater, Icelandic: jöfnunarsæti, German: Ausgleichsmandat), commonly known also as adjustment seats, are an election mechanism employed for many years by all Nordic countries (except Finland) in elections for their national legislatures. In 2013, Germany also introduced national leveling seats for their national parliament, the Bundestag. Leveling seats are seats of additional members elected to supplement the members directly elected by each constituency. The purpose of these additional seats is to ensure that each party's share of the total seats is roughly proportional to the party's overall shares of votes at the national level.
RC MAKALLA: UVAAJI BARAKOA KWENYE VYOMBO VYA USAFIRI NI LAZIMA
- Awataka LATRA kusimamia Level seat.
- Aelekeza Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya kusimamia Utekelezaji wa Mwongozo wa Wizara ya Afya
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla amewataka Wananchi kuchukuwa tahadhari...
Wakuu,
Kumekuwa na tetesi na minong'ono miingi siku za karibuni kuhusu utumiaji wa usafiri wa umma (daladala), abiria wapande level seat lakini nimesikia huko Dodoma agizo limeshatoka tayari.
Turudi nyuma kidogo,ambapo mwaka jana tukiwa katika hali kama hiyo, ikumbukwe shule zilikua...
Nafikiri ni muda sahihi sasa wa Serikali kulazimisha usafiri wa umma kubeba level seat Ili si tu kukabiliana na COVID bali hata magonjwa mengine ikiwamo TB,Magonjwa yote ya kuambukiza kuanzia UTI,CHOLERA n k.
Watu wanahemeana sana mpaka wanapakana majasho na kuhemeana usoni kabisa.
Serikali...
Mwandishi: Kwanini unanisalimia hivi(Alimpa mkono, Diallo akampa gonga), wakati fulani tulipita hapa tukawa tunaamini tumeshatoka kwenye Covid. Awamu iliyopita tulikuwa tunasali na kumuomba Mungu, Covid haipo. Bado una wasiwasi na Covid
Dr. Diallo: Covid ipo, jana nilimsikia mkuu wa mkoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.