Kipekee niwapongeze Azam fc, mlidhamiria hatimaye mmepata cha kusema, kumfunga bingwa si haba...
Feisal Salum hatimaye umepooza maumivu, hongera pia!
Mwisho kabisa niwaonye Makolo, kihere here chenu kitawaponza.
Jiandaeni kwa tano zingine...!!
Shuhuli sio yenu, mnatembea na ndizi, shen...zzyy...