lionel messi

Lionel Andrés Messi (Spanish pronunciation: [ljoˈnel anˈdɾes ˈmesi] (listen); also known as Leo Messi, (born 24 June 1987) is an Argentine professional footballer who plays as a forward and captains both Spanish club Barcelona and the Argentina national team. Often considered the best player in the world and widely regarded as one of the greatest players of all time, Messi has won a record six Ballon d'Or awards, a record six European Golden Shoes, and in 2020 was named to the Ballon d'Or Dream Team. He has spent his entire professional career with Barcelona, where he has won a club-record 34 trophies, including ten La Liga titles, seven Copa del Rey titles and four UEFA Champions Leagues. A prolific goalscorer and creative playmaker, Messi holds the records for most goals in La Liga (474), a La Liga and European league season (50), most hat-tricks in La Liga (36) and the UEFA Champions League (8), and most assists in La Liga (192), a La Liga and European league season (21) and the Copa América (13). He has scored over 750 senior career goals for club and country, and has the most goals ever by a player for a single club.
Born and raised in central Argentina, Messi relocated to Spain to join Barcelona at age 13, for whom he made his competitive debut aged 17 in October 2004. He established himself as an integral player for the club within the next three years, and in his first uninterrupted season in 2008–09 he helped Barcelona achieve the first treble in Spanish football; that year, aged 22, Messi won his first Ballon d'Or. Three successful seasons followed, with Messi winning four consecutive Ballons d'Or, making him the first player to win the award four times and in a row. During the 2011–12 season, he set the La Liga and European records for most goals scored in a single season, while establishing himself as Barcelona's all-time top scorer. The following two seasons, Messi finished second for the Ballon d'Or behind Cristiano Ronaldo (his perceived career rival), before regaining his best form during the 2014–15 campaign, becoming the all-time top scorer in La Liga and leading Barcelona to a historic second treble, after which he was awarded a fifth Ballon d'Or in 2015. Messi assumed the captaincy of Barcelona in 2018, and in 2019 he secured a record sixth Ballon d'Or.
An Argentine international, Messi is both his country's highest appearance-maker and their all-time leading goalscorer. At youth level, he won the 2005 FIFA World Youth Championship, finishing the tournament with both the Golden Ball and Golden Shoe, and an Olympic gold medal at the 2008 Summer Olympics. His style of play as a diminutive, left-footed dribbler drew comparisons with his compatriot Diego Maradona, who described Messi as his successor. After his senior debut in August 2005, Messi became the youngest Argentine to play and score in a FIFA World Cup during the 2006 edition, and reached the final of the 2007 Copa América, where he was named young player of the tournament. As the squad's captain from August 2011, he led Argentina to three consecutive finals: the 2014 FIFA World Cup, for which he won the Golden Ball, and the 2015 and 2016 Copa América. After announcing his international retirement in 2016, he reversed his decision and led his country to qualification for the 2018 FIFA World Cup, and a third-place finish at the 2019 Copa América.
Messi has endorsed sportswear company Adidas since 2006. According to France Football, he was the world's highest-paid footballer for five years out of six between 2009 and 2014, and was ranked the world's highest-paid athlete by Forbes in 2019. Messi was among Time's 100 most influential people in the world in 2011 and 2012. In February 2020, he was awarded the Laureus World Sportsman of the Year, thus becoming the first footballer and also the first team sport athlete to win the award. Later that year, Messi became the second footballer (and second team-sport athlete) to surpass $1 billion in career earnings.

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    Messi is a GOAT for a reason

    GOAT for a reason 🐐 1: If you did 140 successful dribbles every season in all tournaments for 22 seasons, you will have 3080 dribbles. Messi has 3368 dribbles👑 2: If you scored 5 goals from outside the penalty area every season for 18 seasons, you will have 90 goals. Messi has 96 goals👑...
  2. Damaso

    Lionel Messi katika miaka 21

    Lionel Messi amefunga goli kuanzia mwaka: 2005 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016 2017 2018 2019 2020 2021 2022 2023 2024 2025 MBUZI 🐐 🇦🇷
  3. JanguKamaJangu

    Lionel Messi effects at Inter Miami

  4. Yopinto

    Messi au Ronaldo, leo utatambua mashabiki wa Ronaldo wengi wao hawana akili

    Nataka kuonyesha kuwa mashabiki wengi wa Ronaldo hawana akili japo sio wote kuna vipengele hapa nitaviweka hapa na utambue kuwa wewe kama utaamini Ronaldo ni bora kuliko Messi basi Huna akili timamu 1. Magoli 900+ sio kigezo cha mchezaji kuwa bora kuliko mwingine lakini hii inaonyesha kwamba...
  5. JanguKamaJangu

    Miaka 20 tangu Lionel Messiacheze mechi ya kwanza Barcelona

    Siku ya 1: Mechi dhidi ya Espanyol Siku ya 198: Anafunga goli lake la kwanza Siku ya 876: Hat Trick ya kwanza dhidi ya Real Madrid Siku ya 915: Anafunga Goli ‘kali’ dhidi ya Getafe Siku ya 1,873: Ashinda Ballon d'Or ya kwanza Siku ya 1,999: Anaifunga Arsenal Magoli Manne Siku ya 2,700...
  6. Lady Whistledown

    Nani kuwarithi Messi na Ronaldo katika Ballon d'Or 2024?

    Kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2003, nguli wa Soka Duniani, Lionel Messi na Cristiano Ronaldo hawamo kwenye orodha ya wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya Ballon d'Or. Messi alishinda tuzo huyo Mara 8 huku Ronaldo akishinda mara 5 Orodha ya wachezaji 30 walioteuliwa imewajuisha Jude...
  7. akili akili

    KWELI Picha ya Lionel Messi na Yamal akiwa mtoto

    Kuna picha inasambaa ikimuonesha Messi akiwa anamuogesha Yamal wakati Yamal akiwa mtoto. Naomba kufahamu ukweli wa ile picha na ilikuwaje Messi akakatuna na Wazazi wa Yamal enzi hizo.
  8. Roving Journalist

    Hiki ndio kikosi bora cha Ronaldo Nazario De Lima, kawataja Messi na Ronaldo

    Straika wa zamani wa Brazil, Ronaldo Nazario De Lima ambaye pia amewahi kuchezea Klabu za Barcelona, Real Madrid, InterMilan, AC Milan ametaja kikosi chake bora cha muda wote wakiwemo Lionel Messi na Cristiano Ronaldo. Hiki ndio kikosi chake; 1. Gianluigi Buffon 2. Cafu 3. Roberto Carlos 4...
  9. JanguKamaJangu

    Messi aongoza wanasoka waliotazamwa mara nyingi Mtandaoni 2023

    Utafiti Tovuti ya FBref.com inayojihusisha na takwimu za michezo mbalimbali, umeonesha nyota wa Inter Miami, Lionel Messi ndiye mchezaji wa soka aliyetazamwa mara nyingi mtandaoni katika Nchi mbalimbali kwa Mwaka 2023. Utafiti huo umeonesha mafanikio ya Kombe la Dunia na uhamisho wake kutoka...
  10. Roving Journalist

    Messi atwaa tuzo ya Ballon d’Or kwa mara ya nane

    Fuatilia yanayojiri kwenye usiku wa utoaji tuzo za Ballon jijini Paris, Ufaransa, leo Oktoba 30, 2023. === Ballon d'Or ni tuzo inayoheshimika sana katika ulimwengu wa kandanda, iliyoanzishwa na jarida la France Football mnamo 1956, na Lionel Messi anatarajiwa kutwaa tuzo ya wanaume kwa mara ya...
  11. NEGAN

    Tetesi: Lionel Messi kushinda Ballon d'or ya 8

    Kwa mujibu wa mtandao wa hispania wa SPORT mwanasoka wa Argentina Lionel Messi atashinda tuzo yake ya 8 ya Ballon d'or akimshinda mpinzani wake Erling Haaland. Aidha kwa upande wa wanawake tuzo hiyo atashinda Aitana Bonmati.
  12. NEGAN

    Cristiano Ronaldo hatimaye ametupa taulo

    Ule mchuano mkali uliodumu kwa takribani miaka 18 wa wanasoka nguli kuwahi kutokea duniani wenye vipaji vya hali ya juu hatimaye unaelekea ukingoni. Si mwingine bali ni mchuano kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo. https://www.jamiiforums.com/threads/messi-vs-ronaldo-nani-zaidi.13334/...
  13. JanguKamaJangu

    Mlinzi wa Lionel Messi anamlinda hadi wakati wa kushangilia uwanjani

    Mlinzi huyo Yassine Chueko ambaye ni Mwanajeshi wa zamani wa Marekani ameajiriwa na Inter Miami kwa mapendekezo ya mmiliki wa Klabu hiyo, David Beckham kumlinda Lionel Messi popote anapokwenda akiwa katika majukumu ya kazi yake. Kilichowashangaza watu wengi ni kuona Mlinzi huyo ambaye pia ni...
  14. JanguKamaJangu

    Baada ya kumkosa Messi, Al-Hilal yamuwania Neymar

    Klabu hiyo ya Saudi Arabia inamuwania mshambuliaji huyo wa Paris Saint-Germain (PSG) aliyesajiliwa kikosini hapo Mwaka 2017 kwa Pauni Milioni 198. Neymar yuko mbioni kuondoka PSG baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na Klabu huyo ambapo wababe hao wa Saudi Arabia wanahitaji kumsajili baada ya...
  15. JanguKamaJangu

    Lionel Messi aipiku rekodi ya Ronaldo kwa kufunga magoli mengi Ulaya

    Lionel Messi amefunga goli moja wakati timu yake ya Paris St-Germain ikitangaza ubingwa wa Ligi Kuu ya Ufaransa ‘Ligue 1’ licha ya sare ya 1-1 dhidi ya Strasbourg. Goli alilofunga Messi limemfanya kuwa machezaji anayeongoza kwa kufunga magoli mengi katika Ligi tano kubwa Ulaya, kwa kufikisha...
  16. JanguKamaJangu

    Tetesi za Usajili: Lionel Messi kutua Saudi Arabia kwa Trilioni 1.5, Baba yake akanusha

    Awali ilidaiwa kuwa mchakato wa nyota huyo wa Paris Saint-Germain, Lionel Messi (35) kusaini mkataba wa Pauni Milioni 522 (Tsh. Trilioni 1.5) umekamilika na anaweza kujiunga na Klabu ya Al-Hilal kuanzia msimu ujao. Jorge ambaye pia ni Wakala wa Messi amedai hakuna mazungumzo yoyote kuhusu...
  17. JanguKamaJangu

    Lionel Messi asimamishwa kazi PSG kwa wiki mbili

    Paris Saint-Germain imechukua uamuzi huo kutokana na kusafiri kwenda Saudi Arabia kufanya matangazo ya biashara bila ridhaa ya klabu yake. Wachezaji wa PSG walitakiwa kupata mapumziko ikiwa wangeifunga Lorient katika Ligue 1 lakini walipoteza kwa magoli 3-1, hivyo Kocha Christophe Galtier...
  18. JanguKamaJangu

    Picha linaanza upya, Kocha mpya wa Ronaldo asema alitaka kumsajili Messi

    Katika kile kinachoonekana anataka ‘kutikisa kiberiti’ japo haijajulikana kama alikuwa anamaanisha au anatania, Kocha huyo wa Al-Nassr, Rudi Garcia ametoa kauli hiyo mbele ya waandishi wa habari wakati alipoulizwa juu ya ujio wa Cristiano Ronaldo kikosini hapo. Amesema “Nilitaka kumsajili...
  19. Greatest Of All Time

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Michuano ya Kombe la Dunia inatarajiwa kufanyika kuanzia November 20 mpaka December 18 mwaka huu. Michuano ya mwaka huu ni mara ya kwanza kwa Kombe la Dunia kufanyika katika nchi ya Kiarabu lakini ni mara ya pili kwa michuano hiyo kufanyika katika bara la Asia mara baada ya Korea Kusini na Japan...
  20. Execute

    Shughuli imemalizika pale Qatar, Argentina ya Lionel Messi inaenda kubeba Ubingwa wa Dunia 2022

    Tumekuwa na wakati mzuri sana kuangalia kombe la dunia na sasa tunakaribia kufika mwisho. Kila timu imevuna ilichopanda. Argentina ndio timu bora zaidi kwenye michuano hii. Lionel Messi anaenda kuwa kinara baada ya mchezo mkali dhidi ya Ufaransa. Atastaafu kwa heshima kama mchezaji bora zaidi...
Back
Top Bottom