GOAT for a reason 🐐
1: If you did 140 successful dribbles every season in all tournaments for 22 seasons, you will have 3080 dribbles.
Messi has 3368 dribbles👑
2: If you scored 5 goals from outside the penalty area every season for 18 seasons, you will have 90 goals.
Messi has 96 goals👑...
Nataka kuonyesha kuwa mashabiki wengi wa Ronaldo hawana akili japo sio wote kuna vipengele hapa nitaviweka hapa na utambue kuwa wewe kama utaamini Ronaldo ni bora kuliko Messi basi Huna akili timamu
1. Magoli 900+ sio kigezo cha mchezaji kuwa bora kuliko mwingine lakini hii inaonyesha kwamba...
Siku ya 1: Mechi dhidi ya Espanyol
Siku ya 198: Anafunga goli lake la kwanza
Siku ya 876: Hat Trick ya kwanza dhidi ya Real Madrid
Siku ya 915: Anafunga Goli ‘kali’ dhidi ya Getafe
Siku ya 1,873: Ashinda Ballon d'Or ya kwanza
Siku ya 1,999: Anaifunga Arsenal Magoli Manne
Siku ya 2,700...
Kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2003, nguli wa Soka Duniani, Lionel Messi na Cristiano Ronaldo hawamo kwenye orodha ya wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya Ballon d'Or.
Messi alishinda tuzo huyo Mara 8 huku Ronaldo akishinda mara 5
Orodha ya wachezaji 30 walioteuliwa imewajuisha Jude...
Kuna picha inasambaa ikimuonesha Messi akiwa anamuogesha Yamal wakati Yamal akiwa mtoto. Naomba kufahamu ukweli wa ile picha na ilikuwaje Messi akakatuna na Wazazi wa Yamal enzi hizo.
Straika wa zamani wa Brazil, Ronaldo Nazario De Lima ambaye pia amewahi kuchezea Klabu za Barcelona, Real Madrid, InterMilan, AC Milan ametaja kikosi chake bora cha muda wote wakiwemo Lionel Messi na Cristiano Ronaldo.
Hiki ndio kikosi chake; 1. Gianluigi Buffon 2. Cafu 3. Roberto Carlos 4...
Utafiti Tovuti ya FBref.com inayojihusisha na takwimu za michezo mbalimbali, umeonesha nyota wa Inter Miami, Lionel Messi ndiye mchezaji wa soka aliyetazamwa mara nyingi mtandaoni katika Nchi mbalimbali kwa Mwaka 2023.
Utafiti huo umeonesha mafanikio ya Kombe la Dunia na uhamisho wake kutoka...
Fuatilia yanayojiri kwenye usiku wa utoaji tuzo za Ballon jijini Paris, Ufaransa, leo Oktoba 30, 2023.
===
Ballon d'Or ni tuzo inayoheshimika sana katika ulimwengu wa kandanda, iliyoanzishwa na jarida la France Football mnamo 1956, na Lionel Messi anatarajiwa kutwaa tuzo ya wanaume kwa mara ya...
Kwa mujibu wa mtandao wa hispania wa SPORT mwanasoka wa Argentina Lionel Messi atashinda tuzo yake ya 8 ya Ballon d'or akimshinda mpinzani wake Erling Haaland.
Aidha kwa upande wa wanawake tuzo hiyo atashinda Aitana Bonmati.
Ule mchuano mkali uliodumu kwa takribani miaka 18 wa wanasoka nguli kuwahi kutokea duniani wenye vipaji vya hali ya juu hatimaye unaelekea ukingoni.
Si mwingine bali ni mchuano kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo.
https://www.jamiiforums.com/threads/messi-vs-ronaldo-nani-zaidi.13334/...
Mlinzi huyo Yassine Chueko ambaye ni Mwanajeshi wa zamani wa Marekani ameajiriwa na Inter Miami kwa mapendekezo ya mmiliki wa Klabu hiyo, David Beckham kumlinda Lionel Messi popote anapokwenda akiwa katika majukumu ya kazi yake.
Kilichowashangaza watu wengi ni kuona Mlinzi huyo ambaye pia ni...
Klabu hiyo ya Saudi Arabia inamuwania mshambuliaji huyo wa Paris Saint-Germain (PSG) aliyesajiliwa kikosini hapo Mwaka 2017 kwa Pauni Milioni 198.
Neymar yuko mbioni kuondoka PSG baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na Klabu huyo ambapo wababe hao wa Saudi Arabia wanahitaji kumsajili baada ya...
Lionel Messi amefunga goli moja wakati timu yake ya Paris St-Germain ikitangaza ubingwa wa Ligi Kuu ya Ufaransa ‘Ligue 1’ licha ya sare ya 1-1 dhidi ya Strasbourg.
Goli alilofunga Messi limemfanya kuwa machezaji anayeongoza kwa kufunga magoli mengi katika Ligi tano kubwa Ulaya, kwa kufikisha...
Awali ilidaiwa kuwa mchakato wa nyota huyo wa Paris Saint-Germain, Lionel Messi (35) kusaini mkataba wa Pauni Milioni 522 (Tsh. Trilioni 1.5) umekamilika na anaweza kujiunga na Klabu ya Al-Hilal kuanzia msimu ujao.
Jorge ambaye pia ni Wakala wa Messi amedai hakuna mazungumzo yoyote kuhusu...
Paris Saint-Germain imechukua uamuzi huo kutokana na kusafiri kwenda Saudi Arabia kufanya matangazo ya biashara bila ridhaa ya klabu yake.
Wachezaji wa PSG walitakiwa kupata mapumziko ikiwa wangeifunga Lorient katika Ligue 1 lakini walipoteza kwa magoli 3-1, hivyo Kocha Christophe Galtier...
Katika kile kinachoonekana anataka ‘kutikisa kiberiti’ japo haijajulikana kama alikuwa anamaanisha au anatania, Kocha huyo wa Al-Nassr, Rudi Garcia ametoa kauli hiyo mbele ya waandishi wa habari wakati alipoulizwa juu ya ujio wa Cristiano Ronaldo kikosini hapo.
Amesema “Nilitaka kumsajili...
Michuano ya Kombe la Dunia inatarajiwa kufanyika kuanzia November 20 mpaka December 18 mwaka huu. Michuano ya mwaka huu ni mara ya kwanza kwa Kombe la Dunia kufanyika katika nchi ya Kiarabu lakini ni mara ya pili kwa michuano hiyo kufanyika katika bara la Asia mara baada ya Korea Kusini na Japan...
Tumekuwa na wakati mzuri sana kuangalia kombe la dunia na sasa tunakaribia kufika mwisho. Kila timu imevuna ilichopanda. Argentina ndio timu bora zaidi kwenye michuano hii.
Lionel Messi anaenda kuwa kinara baada ya mchezo mkali dhidi ya Ufaransa. Atastaafu kwa heshima kama mchezaji bora zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.