lionel messi

  1. Execute

    Messi anaenda kufunga 'hattrick' yake ya kwanza Kombe la Dunia katika mchezo dhidi ya Croatia

    Mwaka 1958 Pele alifunga hattrick kwenye nusu fainali na akaja kufunga mawili kwenye fainali. Siku ya leo rekodi hiyo inaenda kufikiwa na Messi maana atafunga magoli matatu. Vamos Argentina.
  2. Logikos

    Messi Walks a Lot (The seven tendencies Lionel Messi displayed in Argentina's win over Poland: Some familiar, some less so)

    Hii ni article ya muandishi Gab Marcotti aliyeamua kumuangalia Messi kwa dakika zote aone anchofanya - very interesting read... DOHA, Qatar -- The conceit was simple, ahead of Argentina's final group game against Poland: What if you simply watched one player for 90 minutes? And that player, one...
  3. Execute

    Naipongeza Argentina ya Lionel Messi kwa kufikia Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2022

    Baada ya kuingia 16 bora, atacheza na Australia halafu kwenye robo fainali atakutana na mshindi kati ya Uholanzi na Marekani. Hapo Argentina wanawaza watakutana na nani kwenye nusu fainali maana hakuna timu yoyote ya kuwasumbua katika hizo tajwa hapo juu. Kiutani namna hii Argentina anakwenda...
  4. Slowly

    Christiano Ronaldo na Lionel Messi wote wamepost picha hii Kwa pamoja , comments zimevunja record ndani ya mda mfupi

  5. LegalGentleman

    Lionel Messi ni mchezaji wa ajabu

    Baadhi ya makocha na wachezaji wa zamani wamemzungumzia Messi Kwa aina tofauti: 𝐌𝐢𝐜𝐡𝐚𝐞𝐥 𝐎𝐰𝐞𝐧: "Sifikirii mtu yeyote anaweza kucheza mchezo wa soka kama vile Messi." 𝐅𝐫𝐚𝐧𝐤 𝐑𝐢𝐛𝐞𝐫𝐲: "Messi ni darasa. Kuna yeye, halafu kuna wengine." 𝐒𝐚𝐦𝐮𝐞𝐥 𝐄𝐭𝐨’𝐨: "Lionel Messi ni Mungu, kama mtu na hata zaidi...
  6. Championship

    Lionel Messi kumpiku Karim Benzema kwenye tuzo ya Ballon d'or mwaka 2022

    Mara baada ya mechi ya jana kwenye UEFA Cup of Champions (Finalissima) wachezaji wa Argentina walionekana kumbeba Messi na kumrusha juu katikati yao. Kwa kawaida hili huwa anafanyiwa kocha wa timu kama ikitokea wamebeba kombe. Kitendo hiki kinatafsiriwa kwamba Messi ndiye aliyeibeba timu...
  7. John Haramba

    TANZIA Shabiki aliyeandika mabao yote ya Messi katika makaratasi afariki dunia

    Hernan Mastrangelo ambaye alijulikana zaidi kwa jina la Don Hernandied amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 101, huyu anasifika kuwa shabiki wa Lionel Messi ambaye aliandika katika makaratasi mabao yote ambayo yalifungwa na mchezaji huyo. Mjukuu wa mzee huyo, Julián ndiye ambaye alianza...
  8. C

    He is a Captain of Messi, Ramos, Neymar, Mbappe who is he?

    Just a Reminder, Marquinhos will Remain PSG's Captain for 2021-22 Season. ©️😎 He will be The Captain of: — Lionel Messi 🐐(Former Barça Captain & Current Argentina Captain) — Sergio Ramos 🐐(Former Real Madrid Captain & Current Spain Captain) — Neymar Jr — Kylian Mbappe — Angel Di Maria —...
  9. Suley2019

    Utata dili la Messi kwenda PSG, Perez adaiwa kutia mkono wake ili ampate Mbappe

    Punde baada ya Lionel Messi kutangaza kuondoka Barcelona, baadhi ya Wajumbe walianza kujiuzulu nyadhfa zao ndani ya klabu wakilalamika kusalitiwa na Rais Laporta Wengi wanadai dili la Messi kwenda PSG ni Rais Perez wa Real Madrid anahusika, wakiamini ndie aliemshauri Rais Laporta kwakuwa ni...
  10. Mr Putin

    Messi ndio huyo na Visit Rwanda

    Aiseee
  11. Replica

    Lionel Messi akubali kujiunga na PSG kwa mkataba wa miaka miwili, kulipwa £ milioni 25 kwa mwaka

    Messi (34) amekubali kujiunga na PSG baada ya kuondoka katika Klabu ya FC Barcelona aliyoichezea kwa miaka 21 Inaelezwa atasaini mkataba wa miaka 2 wa thamani ya kulipwa Paundi Milioni 25 (baada ya kodi) kwa mwaka. --- ✍Lionel Messi amefikia makubaliano na PSG kujiunga nao akiwa mchezaji huru...
  12. Ziroseventytwo

    Usajili wa Lionel Messi utaifanya PSG kuwa ya moto sana

    Qatar confirms Lionel Messi is signing for PSG 10 hours ago / autty Developments regarding Lionel Messi's immediate future are coming quicker than anyone expected, and after Barcelona announced he wasn't staying as recently as Thursday night, the brother of the Emir of Qatar has confirmed that...
  13. Influenza

    Rasmi: Barcelona yatangaza Messi kuondoka Klabuni hapo baada ya kushindwa kuongeza Mkataba

    Barcelona imethibitisha kuwa Mchezaji wao mahiri, Lionel Messi ataondoka Klabuni hapo kutokana na vikwazo vya kimfumo na kifedha (Sheria za Ligi ya Uhispania) Klabu imesema yenyewe pamoja na Messi wamesikitishwa na hatua hiyo kwani awali pande zote mbili ziliridhia kuongeza mkataba wa Mchezaji...
  14. C

    ‌Lionel Messi kuhusu kuwaheshimu makocha ambao hawajawahi kumfundisha′′

    ‌Lionel Messi kuhusu kuwaheshimu makocha ambao hawajawahi kumfundisha:′′ ingawa nawaheshimu makocha wote wa mpira wa miguu, lakini naweka heshima maalum kwa Jose Mourinho na Sir Alex Ferguson. Sir Alex alinikumbatia na kunibusu kwenye paji langu la uso kwa hisia baada ya kuifunga timu yake ya...
  15. C

    Ronaldo and Messi is it coincidence?

    ▪️Cristiano Ronaldo is 869 days older than Lionel Messi ▪️ Cristiano Ronaldo Jr is 869 days older than Thiago Messi ▪️Cristiano Ronaldo’ second son is named Mateo ▪️Lionel Messi’s second son is named Mateo ▪️Cristiano Ronaldo won his first international trophy on July 10 ▪️Lionel Messi won his...
  16. mugah di matheo

    Je, Messi anaweza kustaafu sasa hivi?

    Habari za asubuhi hii wanabodi. Nimejaribu kufikiri kwa sauti kuwa Messi huwa anafanya Mambo kimya kimya. Kwa kuzingatia hilo na yeye kugoma kusaini mkataba mpya na Barcelona inadhihirisha huenda akawa na agenda ya Siri, siku akifanikiwa kuchukua Copa di America basi atatangaza kustaafu alafu...
  17. Shadow7

    Barcelona working on deal to unite Cristiano Ronaldo & Lionel Messi

    With Barcelona now confident Lionel Messi will stay at Camp Nou, president Joan Laporta is understood to be focusing on how to build a new super-team - and is working on a deal to bring Juventus forward Cristiano Ronaldo to the club. © Provided by 90min Ronaldo and Messi met in last season's...
  18. britanicca

    Uzi wa mafanikio ya Pele, Màradona, Messi na Ronaldinho Gaucho

    Uzi maalumu wa kulinganisha mafanikio Ya wakongwe hawa 1.Pele 2.Maradona 3.Ronaldinho 4. Messi Wingi wa makombe Pele 36 Messi 25 Gaucho 18 Màradona 12 Kwa upande wa makombe makubwa yenye hadhi za juu Pele ameonekana kuwa juu Sana Kwa kuwa na world cup 3 , na mengine yenye uzito kama Copa...
  19. pipi mti

    Hatimaye Lionel Messi athibitisha kwamba yeye ndio mchezaji bora wa dunia

    Tangu muda mrefu pamekua na hali ya mfananisho wa nani zaidi kati ya Lionel Messi na wachezaji wengine hasa Christian Ronaldo wa real Madrid. Na clip hii imeweza kutatua mjadala wa mda mrefu na naamini itafunga mabishano yasiyo na maana. [emoji116] [emoji116] Update Wachezaji wenye thamani...
Back
Top Bottom