Mwaka 1958 Pele alifunga hattrick kwenye nusu fainali na akaja kufunga mawili kwenye fainali.
Siku ya leo rekodi hiyo inaenda kufikiwa na Messi maana atafunga magoli matatu.
Vamos Argentina.
Hii ni article ya muandishi Gab Marcotti aliyeamua kumuangalia Messi kwa dakika zote aone anchofanya - very interesting read...
DOHA, Qatar -- The conceit was simple, ahead of Argentina's final group game against Poland: What if you simply watched one player for 90 minutes? And that player, one...
Baada ya kuingia 16 bora, atacheza na Australia halafu kwenye robo fainali atakutana na mshindi kati ya Uholanzi na Marekani.
Hapo Argentina wanawaza watakutana na nani kwenye nusu fainali maana hakuna timu yoyote ya kuwasumbua katika hizo tajwa hapo juu.
Kiutani namna hii Argentina anakwenda...
Baadhi ya makocha na wachezaji wa zamani wamemzungumzia Messi Kwa aina tofauti:
𝐌𝐢𝐜𝐡𝐚𝐞𝐥 𝐎𝐰𝐞𝐧: "Sifikirii mtu yeyote anaweza kucheza mchezo wa soka kama vile Messi."
𝐅𝐫𝐚𝐧𝐤 𝐑𝐢𝐛𝐞𝐫𝐲: "Messi ni darasa. Kuna yeye, halafu kuna wengine."
𝐒𝐚𝐦𝐮𝐞𝐥 𝐄𝐭𝐨’𝐨: "Lionel Messi ni Mungu, kama mtu na hata zaidi...
Mara baada ya mechi ya jana kwenye UEFA Cup of Champions (Finalissima) wachezaji wa Argentina walionekana kumbeba Messi na kumrusha juu katikati yao.
Kwa kawaida hili huwa anafanyiwa kocha wa timu kama ikitokea wamebeba kombe. Kitendo hiki kinatafsiriwa kwamba Messi ndiye aliyeibeba timu...
Hernan Mastrangelo ambaye alijulikana zaidi kwa jina la Don Hernandied amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 101, huyu anasifika kuwa shabiki wa Lionel Messi ambaye aliandika katika makaratasi mabao yote ambayo yalifungwa na mchezaji huyo.
Mjukuu wa mzee huyo, Julián ndiye ambaye alianza...
Punde baada ya Lionel Messi kutangaza kuondoka Barcelona, baadhi ya Wajumbe walianza kujiuzulu nyadhfa zao ndani ya klabu wakilalamika kusalitiwa na Rais Laporta
Wengi wanadai dili la Messi kwenda PSG ni Rais Perez wa Real Madrid anahusika, wakiamini ndie aliemshauri Rais Laporta kwakuwa ni...
Messi (34) amekubali kujiunga na PSG baada ya kuondoka katika Klabu ya FC Barcelona aliyoichezea kwa miaka 21
Inaelezwa atasaini mkataba wa miaka 2 wa thamani ya kulipwa Paundi Milioni 25 (baada ya kodi) kwa mwaka.
---
✍Lionel Messi amefikia makubaliano na PSG kujiunga nao akiwa mchezaji huru...
Qatar confirms Lionel Messi is signing for PSG
10 hours ago / autty
Developments regarding Lionel Messi's immediate future are coming quicker than anyone expected, and after Barcelona announced he wasn't staying as recently as Thursday night, the brother of the Emir of Qatar has confirmed that...
Barcelona imethibitisha kuwa Mchezaji wao mahiri, Lionel Messi ataondoka Klabuni hapo kutokana na vikwazo vya kimfumo na kifedha (Sheria za Ligi ya Uhispania)
Klabu imesema yenyewe pamoja na Messi wamesikitishwa na hatua hiyo kwani awali pande zote mbili ziliridhia kuongeza mkataba wa Mchezaji...
Lionel Messi kuhusu kuwaheshimu makocha ambao hawajawahi kumfundisha:′′ ingawa nawaheshimu makocha wote wa mpira wa miguu, lakini naweka heshima maalum kwa Jose Mourinho na Sir Alex Ferguson.
Sir Alex alinikumbatia na kunibusu kwenye paji langu la uso kwa hisia baada ya kuifunga timu yake ya...
▪️Cristiano Ronaldo is 869 days older than Lionel Messi
▪️ Cristiano Ronaldo Jr is 869 days older than Thiago Messi
▪️Cristiano Ronaldo’ second son is named Mateo
▪️Lionel Messi’s second son is named Mateo
▪️Cristiano Ronaldo won his first international trophy on July 10
▪️Lionel Messi won his...
Habari za asubuhi hii wanabodi.
Nimejaribu kufikiri kwa sauti kuwa Messi huwa anafanya Mambo kimya kimya.
Kwa kuzingatia hilo na yeye kugoma kusaini mkataba mpya na Barcelona inadhihirisha huenda akawa na agenda ya Siri, siku akifanikiwa kuchukua Copa di America basi atatangaza kustaafu alafu...
Uzi maalumu wa kulinganisha mafanikio
Ya wakongwe hawa
1.Pele
2.Maradona
3.Ronaldinho
4. Messi
Wingi wa makombe
Pele 36
Messi 25
Gaucho 18
Màradona 12
Kwa upande wa makombe makubwa yenye hadhi za juu
Pele ameonekana kuwa juu Sana Kwa kuwa na world cup 3 , na mengine yenye uzito kama Copa...
Tangu muda mrefu pamekua na hali ya mfananisho wa nani zaidi kati ya Lionel Messi na wachezaji wengine hasa Christian Ronaldo wa real Madrid. Na clip hii imeweza kutatua mjadala wa mda mrefu na naamini itafunga mabishano yasiyo na maana.
[emoji116] [emoji116]
Update
Wachezaji wenye thamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.