liz truss

  1. P

    Uingereza: Waziri Mkuu Liz Truss ajiuzulu baada ya siku 45 madarakani

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss ametangaza kujiuzulu nafasi yake Liz Truss alichukua madaraka kutoka kwa Boris Johnson tarehe 05/09/2022 Liz Truss amechukua hatua hiyo baada ya baadhi ya mawaziri na wabunge wa chama chake cha Conservative kusema kuwa hawaridhishwi na kazi yake na...
  2. babu M

    Liz Truss sacks Kwasi Kwarteng as chancellor

    Liz Truss has sacked Kwasi Kwarteng as chancellor following the disastrous reception to last months’ tax-cutting budget. The decision comes after unfunded tax cuts unveiled in the fiscal statement saw the Pound tank and the price of mortgages and government debt surge. On Thursday Mr Kwarteng...
  3. Richard

    Waziri wa Fedha wa Uingereza, Kwasi Kwarteng ajiuzulu

    Breaking News: Waziri wa fedha wa Uingereza Kwasi Kwarteng amejiuzulu. Serikali ya Uingereza chini ya waziri mkuu Liz Truss na waziri wake wa fedha bwana Kwasi Kwateng ipo matatani kwa kushindwa kusimamia uzuri suala la uchumi. Taarifa mbalimbali zasema serikali hiyo imezidisha kiwango cha...
  4. The Sunk Cost Fallacy

    Waziri Mkuu wa Uingereza ametoka hadharani kutetea sera za Waziri wake wa Fedha. Tanzania Waziri wa Fedha anabebeshwa mzigo bila sababu

    Hili swala linafikirisha.. Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss ametoka hadharani na kutetea sera za Uchumi za Serikali yake zilizowasilishwa na Waziri wake wa Fedha Kwasi Kwarteng.. Kwarteng aliwasilisha mpango wa kufufua uchumi ulioainisha msururu wa kukata Kodi Ili kuvhochea uchumi...
Back
Top Bottom