lugumi enterprises

Lugumi Enterprises
Lugumi Enterprises

Is a forensics and ict company famous for huge annd shoddy deals in Tanzania and now crossing to other East African countries. The key clients are government institutions including the Tanzania Police Force which until recently was under Said Lugumi‘s father inlaw – Said Mwema (former Inspector General of Police in Tanzania).

Unlike other suppliers to the government, Lugumi Enterprises payments aren’t delayed and are cleared within days or few weeks of any business. This has been a controversial issue and widely discussed within Tanzania’s most famous political forum, The Jamii Forums. Pictured, KZ Security, a new MESSRS Lugumi subsidiary.

Key shareholders in this firm are Said Lugumi, Said Mwema and Ridhiwani Kikwete.
The company has been one of the key symbols of corruption in Tanzania’s government under President Kikwete and a symbol of law enforcement willingness from the Tanzania’s government. (A list of businesses between the company and government institutions like the Police Force shows a clear violations of Public Procurement Procedures)

International affiliations

Where Lugumi Enterprises stands today brings a lot of “fear” on it’s future in business within and outside Tanzania. It’s shaky reputation will soon chase away international partners and it’s illegal patronage from the Tanzania government under former President Kikwete, which ended in November 2015.

Some of it’s international partners are Jino Motors, Foster & Freeman and Bio Metrica. It’s now in the hands of these reputable international firms and other players in forensics and ict who are interested on investing in Tanzania and East Africa to rethink if this is a company that they would like to partner with.
  1. S

    Mkataba wa Lugumi wapelekwa kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama!

    Hii ndio Tanzania. Hii habari imeandikwa na gazeti la mtanzania la leo na Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge, Balozi Adadi Rajabu amethibitisha mkataba huo kati ya Jeshi la Polisi na Kampuni ya Lugumi Enterprises kuwasilishwa mbele ya Kamati yake siku ya jana. =============== Njama nzito...
  2. S

    Kuibuka sasa kwa kashfa ya LUGUMI ni mpango wa Mungu Watanzania wamjue waliomuamini na kumsifia

    Mungu ana makusudio kwa watu wake waliokuwa wameanza kulishwa matango pori kupitia vyombo vya habari kuwa amepatikana malaika tena mtenda haki asiyestahili hata kukoselewa na ukimkusoa wewe si mzalendo bali una wivu tu na chuki dhidi yake. Tumeaminishwa haangali sura,hana chama, anasimamia...
  3. chakii

    Bunge latoa siku tatu kwa Jeshi la Polisi kuwasilisha mkataba wa Lugumi

    Bunge latoa siku tatu kwa Jeshi la Polisi kuwasilisha mkataba wa Lugumi wenye kiasi cha takribal Bil 37. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati za Bunge Aishi Hilali ili mkataba huo uweze kupitiwa tena Bunge. Chanzo: East Africa Radio.
  4. S

    Sakata la Kampuni ya Lugumi: IGP na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani watupiana mpira

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,Ernest Mangu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani,Jaji Meja Jenerali Projest Rwegasira, wameripotiwa kutupiana mpira kuhusu kuhusu ni nini kimesababisha kutokuwasilishwa kwa mkataba huo kwa kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali siku ya jana. Mangu anasema...
  5. accused

    Suala la LUGUMI ni mtihani mgumu kwa Rais Magufuli, akiiweza hii basi tena

    Wandugu. Wengi kwasasa tunaelewa kinachoendelea kati ya uongozi wa jeshi la polisi na kamati ya bunge (PAC) katikati akicheza Saidi Lugumi na timu yake ya vigogo. Hii Leo jeshi la polisi lilipaswa kua limewasilisha mkataba wao na Lugumi Enterprises ikiwa ni pamoja na payment trends in which 99...
  6. M

    Mkataba wa kifisadi wa Lugumi kuwasilishwa mbele ya Kamati ya Bunge leo

    Mtakumbuka ule mkataba uliozua mjadala mkubwa kati ya jeshi la polisi na kampuni ya Lugumi ambayo mtoto wa rais mstaafu Ridhiwan Kikwete amekiri kuwa na urafiki na mmiliki wake. Leo mbivu na mbichi inajulikana baada ya kuwekwa hadharani mbele ya kamati ya bunge. Kashfa hiyo inatarajiwa kukigawa...
Back
Top Bottom