Mbunge wa Jimbo la Kisesa, mkoani Simiyu, Luhaga Mpina, amesema hatakaa kimya wakati baadhi ya watu wakiendelea kuendeleza ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma, hali inayorudisha nyuma maendeleo ya wananchi.
Soma Pia:
Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar...