The pluriarc, also called paata, mapu, luku, kissanga, and bow lute is a stringed musical instrument of West Africa, classified as a type of lute. It has a hollow body and several curved, pliable necks made of reeds. The strings stretch from the necks to the bridge, which stands approximately 1.5 inches (38 mm) above the body. The body may be round, rectangular, or triangular, and is usually made of light wood. The top of the body can either be a separate board, bound or nailed to the lower part, or made from the same piece of wood as the rest. A hole may exist on the underside that can be opened or closed to change the timbre.It is played by plucking the strings, which are usually open but sometimes contain a stop. The strings may be plucked with fingers or a plectrum. The flexible nature of the necks means the instrument cannot be tuned precisely.Pluriarc designs have been characterized into three types by country of origin: those of southwestern Africa, central west Africa, and western Nigeria.
Kwa wenye experience. Kuna mpangaji amewekewa LUKU yake hana mwezi.
Asubuhi ya leo wanaweka umeme hauingii. Kuangalia Nje wanakutana na nyaya LUKU hazipo imenishangaza sana.
Nimemshauri aende TANESCO akatoe ripoti.
Habari zenu JF
Naomba kuuliza mwenye kuelewa anijuze, nimenunua LUKU mwisho mwa meseji nimeona wameandika DEBT COLLECTED, Hili deni wanalokusanya ni deni Gani?, Kodi ya nyumba au ni Nini?,
Hali ni mbaya sana sasa hivi kwa mitandao ya simu kuhusu swala la kununua umeme kupitia simi za viganjani.
Imagine unanunua umeme kupitia twigoopesa unakaa masaa matatu hakuna token na giza linaingia ukipiga simuzao zinakatwa hakuna majibu.
Kwanini nyie Tanesco msiwe na line zenu za simcard...
Kumekuwa na changamoto ya kununua LUKU kupitia mitandao ya simu.
Ukinunua hupati token na wenye mitandao wanajua kuna shida kwasababu ukiwapigia wanakiri. Lakini bado unakatwa pesa!
Kwa nini maelezo ya kuwepo kwa shida yasitolewe kupitia menu za apps ili mteja ajipange kivingine badala ya...
Habari Wadau! Hapo chini ni kipande cha maelezo ya umeme nilionunua kwenye simu.
Nimejaribu kupiga hesabu hizo asilimia hapo chini za VAT, REA na EWURA zote zinaonekana zimepigiwa hesabu kutoka kwenye shilingi 4098. Kwa gharama ya shilingi 5000, unaweza ona karibu shilingi 902 haipo hapo...
TANESCO kufanya Maboresho ya miundombinu ya Mfumo wa LUKU siku ya Jumatatu tarehe 21/10/2024 kuanzia saa 5:59 usiku hadi saa 9:00 usiku wa kuamkia Jumanne.
Shirika limewahimiza wateja wake wote kununua umeme wa kutosha mapema nje ya muda wa maboresho ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza...
Ama kweli kujaribu siyo kushindwa.
Jana ndugu zangu luku ilikata na kwa bahati pekee nikaamua nijaribu kuingiza namba zangu Nida na nilistaajabu umeme ukawaka!
Tusiogope kujaribu.
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Bi. Irene Gowelle akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Mha Gissima Nyamo-Hanga kutoa taarifa ya zoezi la Maboresho ya mfumo wa LUKU kwa wateja wa Kanda ya Kati...
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuhusu zoezi la maboresho ya mfumo wa mita za Luku ambapo sasa ni zamu ya mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Tanga.
Zoezi hilo litaanza kufanyika katika mikoa hiyo kuanzia tarehe 26 Agosti 2024...
Jumamosi, 17 Agosti 2024
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuhusu zoezi la maboresho ya mfumo wa mita za Luku ambapo sasa ni zamu ya mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Tanga.
Zoezi hilo litaanza kufanyika katika mikoa hiyo kuanzia...
KAA TAYARI: Ni zoezi la Maboresho ya Mfumo wa LUKU kwa wateja wa Mikoa ya
Morogoro, Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Kilimanjaro na Tanga
Sasa ni zamu yenu, tunawafikia hivi karibuni..!
USIBAKI NYUMA
Usiache kufuatilia Taarifa kwenye Mitandao ya kijami na vyombo vya habari
kuhusu zoezi hili...
Salaam, Shalom!!
Lile ongezeko la TSH 500 lililoletwa kinyemela miezi miwili iliyopita, imeondolewa kinyemela kimya kimya bila taarifa yoyote.
Ikumbukwe kuwa, ongezeko hili halikuletwa kupitia Utaratibu wowote kisheria, baada ya kelele na malalamiko mengi Toka Kwa wananchi, imeondolewa bila...
Miongoni mwa waliohudhuria kwenye mikutano ya Rais Samia huko Katavi na mimi nilikuwepo
Kwenda kwangu kwenye mikutano hiyo, siyo kwamba ndio namkubali Rais katika utendaji wake, hapana
Nimepatwa na shida sana kichwani kuamini kwamba, huyo ndiye aliyezunguka na JPM kuomba kura huku wakituahidi...
Hivi karibuni Watanzania kupitia mitandao mbalimbali walionesha ghadhabu juu ya ongezeko la kodi kwenye LUKU kutoka Tsh 1500 mpaka 2000 pasipo kutoa notice kwa umma. Baadae TANESCO walitoa maelezo kwamba ongezeko hilo ni deni la nyuma kwa baadhi ya wateja, cha kushangaza mambo yamekuwa tofauti...
Huyo siyo mtu ni kupe, na kama siyo kupe basi hafai kuwa mke, maana hatokuwa msaada kwako.
Ndiyo! Kama ameshindwa kutafuta hela kwa ajili ya vitu vidogo kama hivyo unaoa kwa ajili ya nn sasa? Kuzaa tu? Hata panya anazaa.
Acha ujinga wewe, chukuwa mke atakayekuwa msaidizi wako kiuchumi...
Watu wengi wanaweza kuwa wamesahau, wakati Serikali ya awamu ya tano inaingia madarakani ilikuta shirika la umeme nchini(TANESCO) wanakata 7000 kila mwezi kama gharama ya kuhudumia laini. Ilikuwa pesa flani ya mtelezo kwa Serikali na shirika la umeme, 7000 ukizidisha na wateja wote wa kawaida...
CHANGAMOTO.
LUKU kuisha kwa na umeme kukatika pasipo watu kuwa na taarifa
SULUHISHO
kuunda mfumo wa KIELECTRONIC utakao gundua LUKU kuisha na kutuma sms kwa mteja mfano kiasi Cha LUKU kilicho Baki ni 5% kumpa angalizo pasipo kuangalia umeme mwenyewe
Kuunda mfumo wa kutuma control number kwa...
TANESCO mbona hamtoi taarifa kwa wateja tukajua. Najaribu kuweka umeme toka saa 12 jioni hadi muda huu unagoma.
Toeni basi taarifa kama kuna shida tujue na kama ipo mseme mnashughulikia hadi lini itakuwa imeisha.
MABORESHO YA MITA ZA LUKU KWA WATEJA WA TANESCO KANDA YA ZIWA NA KANDA YA MAGHARIBI
Jumatatu, 27 Mei 2024
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa mikoa ya Mwanza, Kagera, Mara, Geita, Simiyu, Tabora, Katavi na Shinyanga kuwa zoezi la maboresho ya mfumo wa LUKU litaanza...
Sijui niseme halmshauri zetu zimeshindwa hili suala la uzoaji takataka kwani miji mingi naona ni michafu sana na pia wananchi wenyewe wabishi kutoa hela za taka wajumbe wa halmshauri ya kijiji wanalalamikia hili.
So me naona japo ni suala dogo ambalo hata private sector inaweza kuifanya ikipewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.